Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Angelia Makalla ?Matembezi ya mshikamano 🐼
Hilo ni jambo Muhimu sanaKuna watu walienda kusikilizia sera za CCM, wakaambulia kutaarifiwa juu ya maandamano ya CDM,
Cc: johnthebaptist
Sasa imekuwa tofautiMlistahili kubezwa na kupuuzwa.
CCM hawana sera zaidi ya kila mtu kula kwa urefu wa kamba yakeKuna watu walienda kusikilizia sera za CCM, wakaambulia kutaarifiwa juu ya maandamano ya CDM,
Cc: johnthebaptist
Sera za CCM ziko wazi sana bwasheeKuna watu walienda kusikilizia sera za CCM, wakaambulia kutaarifiwa juu ya maandamano ya CDM,
Cc: johnthebaptist
Kama hayana madhara anayazungumzia nini.Aache watumie haki yao ya kikatiba. Tusipeane taabu za kusomaTlulionya Mapema sana kwamba haya maandamano ya Chadema yataleta madhara makubwa sana lakini tukapuuzwa .
Ikiwa ndio kwanza yameanza leo , Tayari viongozi wa ccm washaanza kutoa machozi ya damu .
Hebu mwangalieni Pedeshee Amos Makalla akilalamika huko Mbinga .
View attachment 2971202View attachment 2971203
Masikini wanawaza ngono tuWEWEEEEEE MAANDAMANO BILA MIPANGO THABITI NI NA SAWA NA KUMTAKA DEMU NA HUMPI HELA
View attachment 2971231
Umetoka jela jjioni hii ?Maandamano Yako wapi kwani?
Miguu inawashawasha kuandamana..!
Nani kawaka huko.Tlulionya Mapema sana kwamba haya maandamano ya Chadema yataleta madhara makubwa sana lakini tukapuuzwa .
Ikiwa ndio kwanza yameanza leo , Tayari viongozi wa ccm washaanza kutoa machozi ya damu .
Hebu mwangalieni Pedeshee Amos Makalla akilalamika huko Mbinga .
View attachment 2971202View attachment 2971203
Hata cheo hakimpendezei yaani Katakata pumzi mapema sana.Tlulionya Mapema sana kwamba haya maandamano ya Chadema yataleta madhara makubwa sana lakini tukapuuzwa .
Ikiwa ndio kwanza yameanza leo , Tayari viongozi wa ccm washaanza kutoa machozi ya damu .
Hebu mwangalieni Pedeshee Amos Makalla akilalamika huko Mbinga .
View attachment 2971202View attachment 2971203
nimecheka sana ,mumeo kazi anayo unandoa kweli weweMaandamano bila sera. Kazi kuongea utumbo tu.
Zinatafutwa ruzuku za wafadhili. Miezi ya kupanga bajeti hii duniani.
sasa mbona mnamwaga chozi ?mandamano ya chadema ni ushuzi mtupu
huo ndio ukweli ndugu