kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Labda mvua ndio italeta lakini kwa hayo matembezi yamshikamano sahau!Tlulionya Mapema sana kwamba haya maandamano ya Chadema yataleta madhara makubwa sana lakini tukapuuzwa .
Ikiwa ndio kwanza yameanza leo , Tayari viongozi wa ccm washaanza kutoa machozi ya damu .
Hebu mwangalieni Pedeshee Amos Makalla akilalamika huko Mbinga .
View attachment 2971202View attachment 2971203
chadema jisukeni upya toka 2015 mekua kama kiroba cha tumbaku iliyoloasasa mbona mnamwaga chozi ?
Soma comments hapa chini ππTlulionya Mapema sana kwamba haya maandamano ya Chadema yataleta madhara makubwa sana lakini tukapuuzwa .
Ikiwa ndio kwanza yameanza leo , Tayari viongozi wa ccm washaanza kutoa machozi ya damu .
Hebu mwangalieni Pedeshee Amos Makalla akilalamika huko Mbinga.
Tamthilia ya The Brothers inawafumbua macho watazamaji kuhusu kinachojiri , sio huko Ufilipino tu...Sera za CCM ziko wazi sana bwashee
Sijawahi kuhangaika na WajingaSoma comments hapa chini ππView attachment 2971310View attachment 2971311View attachment 2971312
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
ππππSijawahi kuhangaika na Wajinga
Mbona sasa anaieneza CDM!?. πTlulionya Mapema sana kwamba haya maandamano ya Chadema yataleta madhara makubwa sana lakini tukapuuzwa .
Ikiwa ndio kwanza yameanza leo , Tayari viongozi wa ccm washaanza kutoa machozi ya damu .
Hebu mwangalieni Pedeshee Amos Makalla akilalamika huko Mbinga.
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !Mbona sasa anaieneza CDM!?. π
Mbona sasa anaieneza CDM!?. πTlulionya Mapema sana kwamba haya maandamano ya Chadema yataleta madhara makubwa sana lakini tukapuuzwa .
Ikiwa ndio kwanza yameanza leo , Tayari viongozi wa ccm washaanza kutoa machozi ya damu .
Hebu mwangalieni Pedeshee Amos Makalla akilalamika huko Mbinga.
Ila we mtu kuna wkt unazingua kama Lucas π,jitahidi kua objective kwenye threads zako,ushauri tu lknUtukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
Kwa hiyo Makala alikuwa anaeleza sera za CCM kwa kuzungumzia maandamano ya Chadema?Maandamano bila sera. Kazi kuongea utumbo tu.
Zinatafutwa ruzuku za wafadhili. Miezi ya kupanga bajeti hii duniani.
Wanao andika hivi wapo geto na hela ya bando wanaomba omba. Ndo Tanzania hii. Kama wewe hufanyanyi maandamano waache wanaofanya wafanye watakavyo sababu hata hawakusumbui.Soma comments hapa chini ππView attachment 2971310View attachment 2971311View attachment 2971312
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Walioandamana wakapewa hela ya bando au? UpuuziWanao andika hivi wapo geto na hela ya bando wanaomba omba. Ndo Tanzania hii. Kama wewe hufanyanyi maandamano waache wanaofanya wafanye watakavyo sababu hata hawakusumbui.
Ameongea kama nilivyoongea mimi.Kwa hiyo Makala alikuwa anaeleza sera za CCM kwa kuzungumzia maandamano ya Chadema?
π€Kuna watu walienda kusikilizia sera za CCM, wakaambulia kutaarifiwa juu ya maandamano ya CDM,
Cc: johnthebaptist
Kila anayenilinganisha na Huyo mshamba namuona Mjinga na mgeni sana Jf , sifanani na yeyote hapa jf , labda kama wako wanaofanana na mimiMbona sasa anaieneza CDM!?. π
Ila we mtu kuna wkt unazingua kama Lucas π,jitahidi kua objective kwenye threads zako,ushauri tu lkn
Futa huu ushuzi wakoTlulionya Mapema sana kwamba haya maandamano ya Chadema yataleta madhara makubwa sana lakini tukapuuzwa .
Ikiwa ndio kwanza yameanza leo , Tayari viongozi wa ccm washaanza kutoa machozi ya damu .
Hebu mwangalieni Pedeshee Amos Makalla akilalamika huko Mbinga.
CCM ilishajifia kabisaKuna watu walienda kusikilizia sera za CCM, wakaambulia kutaarifiwa juu ya maandamano ya CDM,
Cc: johnthebaptist
Maza ameamua kujaza wazee kwenye hizi nafasiHata cheo hakimpendezei yaani Katakata pumzi mapema sana.
Mpaka naye anajistukia..Nchimbi hata hatishi hana mvuto tena!
Bwana mdogo tu anawafunika mpaka miguuni
Na wewe ni kilaza kama Makala!Ameongea kama nilivyoongea mimi.