Maandamano ya CHADEMA yapuuzwa na kukataliwa na Wananchi

Maandamano ya CHADEMA yapuuzwa na kukataliwa na Wananchi

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndugu zangu Watanzania,

CHADEMA imepata pigo kubwa sana baada ya wananchi kuyapuuza na kuyakataa maandamano yao haramu na yaliyopigwa marufuku na jeshi la police pamoja na kulaaniwa na mamilioni ya watanzania,kutokana na kauli zake zenye kuhamasisha vurugu na machafuko hapa Nchini.

Wananchi wanasema hawaoni sababu wala hoja yenye mashiko ya kuunga mkono na kushiriki kwenye maandamano hayo haramu,.zaidi ya kuona ajenda iliyojificha ya kutaka kuvuruga amani ya nchi yetu na kuchochea machafuko hapa Nchini.

Wana Dar es salaam waliyakataa maandamano haya tangia muda mrefu sana ,ndio sababu CHADEMA wakawa wanatumia nguvu na gharama kubwa kuwaomba watu wa mikoani wasafiri kuja kuandamana Dar. Embu jiulize ndugu yangu inakuwaje CHADEMA wasafirishe watu kuja kuandamana Dar es Salaam yenye watu zaidi ya Millioni 6? Kwanini wanatumia gharama kubwa na pesa nyingi kusombelea watu kuja dar wakati chama hicho hicho kinashindwa hata kujenga ofisi za chama mikoani?

CHADEMA ina Ombwe kubwa sana la uongozi.ndio maana inakwenda tu kama gari bovu linaloendeshwa na kipofu gizani. Chama hakina mwelekeo wala Dira wala mvuto wala ushawishi kwa watu ,hakina uungwaji mkono wala nguvu ya Umma,hakina watu wa kukitetea wala kukipigania.zaidi utakuta wachache wapo huko Twitter wakitukana Mimatusi yao huku wakiogopa kuingia barabarani kuandamana kama walivyokuwa wakiwadanganya wengine waandamane.

Uzuri ni kuwa watanzania wanafahamu utapeli na ubabaishaji wa CHADEMA ndio sababu hawapo tayari kamwe kuwaunga mkono.wanajuwa ni wasaka Tonge, wachumia tumbo na watu wenye kupigania maslahi yao binafsi. Ndio maana kuna wakati walipendekeza uwepo wa wabunge wawili wawili katika kila jimbo.lengo likiwa kuongeza upana wa njia ya wao kupata ubunge ili wakavune pesa na kujilimbikizia, halafu baadaye wakishiba waje kuwatukana watanzania kuwa ni maskini na wanaofanya kazi za kimaskini na zilizolaaniwa.kama ambavyo nyote ni mashahidi wa kauli za Godbless Lema akiwatukana watanzania.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

- LIVE - Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
 
“Enyi mlioamini! Kuweni wasimamizi wa uadilifu, kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, mashahidi kwa uadilifu. Wala chuki ya watu isikufanyeni kutenda isivyo haki. Tendeni haki; hiyo ndiyo iliyo karibu zaidi na ucha Mungu. Na mcheni Mwenyezi Mungu; hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye khabari za yale myatendayo.

”Aya hizi zinafundisha kuwa haki lazima ipewe kipaumbele katika hukumu, na kuhukumu kwa usawa ni sehemu ya ucha Mungu. Qur'an inaweka msingi thabiti wa maadili ya haki katika hukumu na inawataka Waislamu kuwa waaminifu na waadilifu katika kila jambo la hukumu na maamuzi.
 
“Enyi mlioamini! Kuweni wasimamizi wa uadilifu, kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, mashahidi kwa uadilifu. Wala chuki ya watu isikufanyeni kutenda isivyo haki. Tendeni haki; hiyo ndiyo iliyo karibu zaidi na ucha Mungu. Na mcheni Mwenyezi Mungu; hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye khabari za yale myatendayo.

”Aya hizi zinafundisha kuwa haki lazima ipewe kipaumbele katika hukumu, na kuhukumu kwa usawa ni sehemu ya ucha Mungu. Qur'an inaweka msingi thabiti wa maadili ya haki katika hukumu na inawataka Waislamu kuwa waaminifu na waadilifu katika kila jambo la hukumu na maamuzi.
Haki inakwenda sambamba na wajibu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

CHADEMA imepata pigo kubwa sana baada ya wananchi kuyapuuza na kuyakataa maandamano yao haramu na yaliyopigwa marufuku na jeshi la police pamoja na kulaaniwa na mamilioni ya watanzania,kutokana na kauli zake zenye kuhamasisha vurugu na machafuko hapa Nchini.

Wananchi wanasema hawaoni sababu wala hoja yenye mashiko ya kuunga mkono na kushiriki kwenye maandamano hayo haramu,.zaidi ya kuona ajenda iliyojificha ya kutaka kuvuruga amani ya nchi yetu na kuchochea machafuko hapa Nchini.

Wana Dar es salaam waliyakataa maandamano haya tangia muda mrefu sana ,ndio sababu CHADEMA wakawa wanatumia nguvu na gharama kubwa kuwaomba watu wa mikoani wasafiri kuja kuandamana Dar.Embu jiulize ndugu yangu inakuwaje CHADEMA wasafirishe watu kuja kuandamana Dar es salaam yenye watu zaidi ya Millioni 6? Kwanini wanatumia gharama kubwa na pesa nyingi kusombelea watu kuja dar wakati chama hicho hicho kinashindwa hata kujenga ofisi za chama mikoani?

CHADEMA ina Ombwe kubwa sana la uongozi.ndio maana inakwenda tu kama gari bovu linaloendeshwa na kipofu gizani. Chama hakina mwelekeo wala Dira wala mvuto wala ushawishi kwa watu ,hakina uungwaji mkono wala nguvu ya Umma,hakina watu wa kukitetea wala kukipigania.zaidi utakuta wachache wapo huko Twitter wakitukana Mimatusi yao utafikiri vichaa au wendawazimu. huku wakiogopa kuingia barabarani kuandamana kama walivyokuwa wakiwadanganya wengine waandamane.

Uzuri ni kuwa watanzania wanafahamu utapeli na ubabaishaji wa CHADEMA ndio sababu hawapo tayari kamwe kuwaunga mkono.wanajuwa ni wasaka Tonge,wachumia tumbo na watu wenye kupigania maslahi yao binafsi.ndio maana kuna wakati walipendekeza uwepo wa wabunge wawili wawili katika kila jimbo.lengo likiwa kuongeza upana wa njia ya wao kupata ubunge ili wakavune pesa na kujilimbikizia ,halafu baadaye wakishiba waje kuwatukana watanzania kuwa ni maskini na wanaofanya kazi za kimaskini na zilizolaaniwa.kama ambavyo nyote ni mashahidi wa kauli za Godbless Lema akiwatukana watanzania.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Maelezo mengi ila pointi ya muhimu haionekani labda uchawa tu.

Kwanini kama yamekataliwa mnatumia nguvu kubwa kuyazuia?

Hamna na hamtakuwa nao uwezo wakushindana na upinzani bila ya nguvu hizo za upoliccm. Mnateka na kuuwa wananchi kisa mlengo wa kisiasa na kuja huku kuandika ujinga tu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

CHADEMA imepata pigo kubwa sana baada ya wananchi kuyapuuza na kuyakataa maandamano yao haramu na yaliyopigwa marufuku na jeshi la police pamoja na kulaaniwa na mamilioni ya watanzania,kutokana na kauli zake zenye kuhamasisha vurugu na machafuko hapa Nchini.


Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Hivi huwezi hata siku moja kukaa kimya angalau Uwe na hekima hata kidogo tu!?
 
Ndugu zangu Watanzania,

CHADEMA imepata pigo kubwa sana baada ya wananchi kuyapuuza na kuyakataa maandamano yao haramu na

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Baba yako alipoteza ada bure kukupeleka Shule. Maandamano ni haki ya kikatiba, polisi wanazuia kwa mabomu. Wewe unakuja na ushabiki hapa.
 
Mchumia Tumbo ni Mbowe au Lisu au wote ? unaweza kufafanua kidogo?
Kwa ufupi CHADEMA ni kama Sacco's tu ya wachumia tumbo na wasaka Tonge .ndio maana unaona kuna Mwenyekiti wa kudumu pale ambaye anakitumia chama kama kitega uchumi cha familia.
 
Haki inakwenda sambamba na wajibu.

“Wallahi, lau Fatma binti Muhammad angeiba, hakika ningemkata mkono.”
(Hadithi hii imepokewa katika Sahih al-Bukhari na Sahih Muslim).

Kauli hii inasisitiza umuhimu wa kutekeleza haki kwa usawa bila upendeleo au huruma kwa misingi ya undugu, urafiki, au hali ya mtu katika jamii. Mtume Muhammad (SAW) alikuwa mfano wa uadilifu na alitaka kuondoa dhana ya kwamba watu wenye vyeo au familia fulani wanastahili kutendewa tofauti. Haki inapaswa kutekelezwa kwa kila mtu sawa, bila kujali nafasi yake au uhusiano wake na mtoa hukumu.
 
“Wallahi, lau Fatma binti Muhammad angeiba, hakika ningemkata mkono.”
(Hadithi hii imepokewa katika Sahih al-Bukhari na Sahih Muslim).

Kauli hii inasisitiza umuhimu wa kutekeleza haki kwa usawa bila upendeleo au huruma kwa misingi ya undugu, urafiki, au hali ya mtu katika jamii. Mtume Muhammad (SAW) alikuwa mfano wa uadilifu na alitaka kuondoa dhana ya kwamba watu wenye vyeo au familia fulani wanastahili kutendewa tofauti. Haki inapaswa kutekelezwa kwa kila mtu sawa, bila kujali nafasi yake au uhusiano wake na mtoa hukumu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

CHADEMA imepata pigo kubwa sana baada ya wananchi kuyapuuza na kuyakataa maandamano yao haramu na yal
hi la police pamoja na kulaaniwa na mamilioni ya watanzania,kutokana na kauli zake zenye kuhamasisha vurugu na
iyopigwa marufuku na jesTOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ukiangalia muvi ya sarafina Kuna jamaa moja ivi bonge bonge jeusi lilikua ni li puppet la makaburu.

Huyo jamaa namfananisha na Lucas mwashambwa.

Unafanya ivyo kwa faida ya Nani ili iweje Lucas mwashambwa.
 
Baba yako alipoteza ada bure kukupeleka Shule. Maandamano ni haki ya kikatiba, polisi wanazuia kwa mabomu. Wewe unakuja na ushabiki hapa.
Unafanya nini huku sasa badala ya kwenda kuandamana? Nenda uandamane ili ukione cha mtema kuni
 
Ndugu zangu Watanzania,

CHADEMA imepata pigo kubwa sana baada ya wananchi kuyapuuza na kuyakataa maandamano yao haramu na wafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Luka sasa hivi huweki kabisa namba ya simu, umekata tamaa kabisa?
 
Back
Top Bottom