Maandamano ya CHADEMA yapuuzwa na kukataliwa na Wananchi

Maandamano ya CHADEMA yapuuzwa na kukataliwa na Wananchi

Ndugu zangu Watanzania,

CHADEMA imepata pigo kubwa sana baada ya wananchi kuyapuuza na kuyakataa maandamano yao haramu na yaliyopigwa marufuku na jeshi la police pamoja na kulaaniwa na mamilioni ya watanzania,kutokana na kauli zake zenye kuhamasisha vurugu na machafuko hapa Nchini.

Wananchi wanasema hawaoni sababu wala hoja yenye mashiko ya kuunga mkono na kushiriki kwenye maandamano hayo haramu,.zaidi ya kuona ajenda iliyojificha ya kutaka kuvuruga amani ya nchi yetu na kuchochea machafuko hapa Nchini.

Wana Dar es salaam waliyakataa maandamano haya tangia muda mrefu sana ,ndio sababu CHADEMA wakawa wanatumia nguvu na gharama kubwa kuwaomba watu wa mikoani wasafiri kuja kuandamana Dar. Embu jiulize ndugu yangu inakuwaje CHADEMA wasafirishe watu kuja kuandamana Dar es Salaam yenye watu zaidi ya Millioni 6? Kwanini wanatumia gharama kubwa na pesa nyingi kusombelea watu kuja dar wakati chama hicho hicho kinashindwa hata kujenga ofisi za chama mikoani?

CHADEMA ina Ombwe kubwa sana la uongozi.ndio maana inakwenda tu kama gari bovu linaloendeshwa na kipofu gizani. Chama hakina mwelekeo wala Dira wala mvuto wala ushawishi kwa watu ,hakina uungwaji mkono wala nguvu ya Umma,hakina watu wa kukitetea wala kukipigania.zaidi utakuta wachache wapo huko Twitter wakitukana Mimatusi yao huku wakiogopa kuingia barabarani kuandamana kama walivyokuwa wakiwadanganya wengine waandamane.

Uzuri ni kuwa watanzania wanafahamu utapeli na ubabaishaji wa CHADEMA ndio sababu hawapo tayari kamwe kuwaunga mkono.wanajuwa ni wasaka Tonge, wachumia tumbo na watu wenye kupigania maslahi yao binafsi. Ndio maana kuna wakati walipendekeza uwepo wa wabunge wawili wawili katika kila jimbo.lengo likiwa kuongeza upana wa njia ya wao kupata ubunge ili wakavune pesa na kujilimbikizia, halafu baadaye wakishiba waje kuwatukana watanzania kuwa ni maskini na wanaofanya kazi za kimaskini na zilizolaaniwa.kama ambavyo nyote ni mashahidi wa kauli za Godbless Lema akiwatukana watanzania.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

- LIVE - Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Siungu mkono chadema ila simuungi mkono chawa mwashamba eti mama aendelee muhula mwingine. Kwanza ukweli mama hajashinda muhula wowote kwa hivyo hajawahi kuchaguliwa kua rais wa jamhuri. Mama ni mrithi tu wa chaguo la kipenzi chao magufuli aliyetwaliwa mapenzi ya mungu. Mama alipwaya sana mwanzo hadi kuwachukiza sana wapenzi wa chaguo lao magufuli. Siku za karibuni mama inaelekea amerudi kwenye mstari kwa kujitenga na wahuni na kuwaondoa wale vinara serikali.
Wanamapinduzi ndani ya ccm tunachotegemea kwa mama ni kuhakikisha nchi inampata kiongozi mwingine shupavu mwenye maarifa na mzalendo kama magufuli. Mama akilitendea taifa hivyo hakika tutamkumbuka kwa heshima kubwa na kuthamini mchango wake mtukufu.
 
Siungu mkono chadema ila simuungi mkono chawa mwashamba eti mama aendelee muhula mwingine. Kwanza ukweli mama hajashinda muhula wowote kwa hivyo hajawahi kuchaguliwa kua rais wa jamhuri. Mama ni mrithi tu wa chaguo la kipenzi chao magufuli aliyetwaliwa mapenzi ya mungu. Mama alipwaya sana mwanzo hadi kuwachukiza sana wapenzi wa chaguo lao magufuli. Siku za karibuni mama inaelekea amerudi kwenye mstari kwa kujitenga na wahuni na kuwaondoa wale vinara serikali.
Wanamapinduzi ndani ya ccm tunachotegemea kwa mama ni kuhakikisha nchi inampata kiongozi mwingine shupavu mwenye maarifa na mzalendo kama magufuli. Mama akilitendea taifa hivyo hakika tutamkumbuka kwa heshima kubwa na kuthamini mchango wake mtukufu.
Tutaendelea kuwa na mama mpaka 2030 na tukitaka tunaweza kumuongezea hadi 2035 panapo Majaliwa ya Mwenyezi Mungu
 
Badala ya kuhangaika na tatizo watu wanahangaika na matokeo ya tatizo. Akili za kuambiwa........
 
Ndugu zangu Watanzania,

CHADEMA imepata pigo kubwa sana baada ya wananchi kuyapuuza na kuyakataa maandamano yao haramu na yaliyopigwa marufuku na jeshi la police pamoja na kulaaniwa na mamilioni ya watanzania,kutokana na kauli zake zenye kuhamasisha vurugu na machafuko hapa Nchini.

Wananchi wanasema hawaoni sababu wala hoja yenye mashiko ya kuunga mkono na kushiriki kwenye maandamano hayo haramu,.zaidi ya kuona ajenda iliyojificha ya kutaka kuvuruga amani ya nchi yetu na kuchochea machafuko hapa Nchini.

Wana Dar es salaam waliyakataa maandamano haya tangia muda mrefu sana ,ndio sababu CHADEMA wakawa wanatumia nguvu na gharama kubwa kuwaomba watu wa mikoani wasafiri kuja kuandamana Dar. Embu jiulize ndugu yangu inakuwaje CHADEMA wasafirishe watu kuja kuandamana Dar es Salaam yenye watu zaidi ya Millioni 6? Kwanini wanatumia gharama kubwa na pesa nyingi kusombelea watu kuja dar wakati chama hicho hicho kinashindwa hata kujenga ofisi za chama mikoani?

CHADEMA ina Ombwe kubwa sana la uongozi.ndio maana inakwenda tu kama gari bovu linaloendeshwa na kipofu gizani. Chama hakina mwelekeo wala Dira wala mvuto wala ushawishi kwa watu ,hakina uungwaji mkono wala nguvu ya Umma,hakina watu wa kukitetea wala kukipigania.zaidi utakuta wachache wapo huko Twitter wakitukana Mimatusi yao huku wakiogopa kuingia barabarani kuandamana kama walivyokuwa wakiwadanganya wengine waandamane.

Uzuri ni kuwa watanzania wanafahamu utapeli na ubabaishaji wa CHADEMA ndio sababu hawapo tayari kamwe kuwaunga mkono.wanajuwa ni wasaka Tonge, wachumia tumbo na watu wenye kupigania maslahi yao binafsi. Ndio maana kuna wakati walipendekeza uwepo wa wabunge wawili wawili katika kila jimbo.lengo likiwa kuongeza upana wa njia ya wao kupata ubunge ili wakavune pesa na kujilimbikizia, halafu baadaye wakishiba waje kuwatukana watanzania kuwa ni maskini na wanaofanya kazi za kimaskini na zilizolaaniwa.kama ambavyo nyote ni mashahidi wa kauli za Godbless Lema akiwatukana watanzania.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.

- LIVE - Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Hivi CCM pamoja na maprofesa na ma doctor wote wanashindwa kujibu simple questions mpaka watumie polisi waliofeli darasa la saba. Au hizo digrii zao ni feki kama chana chenyewe?
 
Hivi CCM pamoja na maprofesa na ma doctor wote wanashindwa kujibu simple questions mpaka watumie polisi waliofeli darasa la saba. Au hizo digrii zao ni feki kama chana chenyewe?
Nenda kaandamane ndugu yangu ndio utoe na dukuduku zako huko huko barabarani
 
Na muwalipe posho zao hao polisi mliowaswaga kuja kuandamana mjini kwa niaba ya wananchi sio mwezi ujao waje hapa jamvini kuomba tuwapazie sauti kwamba washapigwa na wakubwa wao kama kawaida, tusisikie mwingine kaenda kutumia mfuko wao SA tena
 
Na muwalipe posho zao hao polisi mliowaswaga kuja kuandamana mjini kwa niaba ya wananchi sio mwezi ujao waje hapa jamvini kuomba tuwapazie sauti kwamba washapigwa na wakubwa wao kama kawaida, tusisikie mwingine kaenda kutumia mfuko wao SA tena
Ulijificha wapi huko.
 
Back
Top Bottom