Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
UWT hamuwezi kuandamanaSisi CHADEMA wa Mbeya ndo tunarud kwetu maandamano yamedoda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UWT hamuwezi kuandamanaSisi CHADEMA wa Mbeya ndo tunarud kwetu maandamano yamedoda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Issue ni uongozi wa hovyo wa mazaHivi main issue ni nini ?
Ushindi wa CHADEMA au CCM; au Incompetence inayopelekea maisha ya watanzania kuwa ndivyo sivyo na watu kukosa imani na mamlaka hivyo kupelekea chaos ?
Sababu naona ni kama nyumba inaungua na badala ya kuzima watu mnarumbana ni nani aliyeanzisha moto....
Nenda kaandamane nenda kaandamane na siyo kupiga makelele yako humu.nenda ufundishwe adabu na kutii sheria bila shurutiSi wakuonee hata basi wakupe uteuzii mkuuu ,miaka yote unatumia bando ,unatumia muda lako hawakupi hata mia ,unakesha mtandaoni kutetea wauwaji,
hAWAKUPIA HATA MIA MBOVU ,KAZI KUJIPENDEKEZAAA TUUU ,KUNGUNI TUU WEWE ,
JIBU HOJA TOKA WEEK SASA POLISI WANAZURURA TUU ,LEO WAMEKESHA KWA VIONGOZI WA CDM ,WAKIWALINDAA USIKU KUCHA JIBU HOJA ACHA MAROPOKO HUNA HOJA YOYOTE MROPOKOO
KUNGUNI WEWE UNAONEKANA USIKU TUU!
Dogo naona umegoma kabisa kuandamana😀😀😀UWT hamuwezi kuandamana
Kaandamane na siyo kuleta ujinga wako hapa wewe .si ulisema utaandamana?.Issue ni uongozi wa hovyo wa maza
Acha kuniambukiza ujinga na uoga, mbona polisi wenu wamenizuia mpk sasa hapa Kinondoni kwa Manyanya?Dogo naona umegoma kabisa kuandamana😀😀😀
Kwanini UWT mnaumia sn sisi kuandamana?Kaandamane na siyo kuleta ujinga wako hapa wewe .si ulisema utaandamana?.
Nasubiri matapeli wengine akina .
Manyaza,Tido,SAGAI GALGANO waliosema wataandamana.
Kaandamane sasa.Nchi ya viongozi wajinga sana yaani mtu anafurahia kuua raia wake?!
Kwani muda wa maandamano bado hadi muda huu?Ukute wewe ni 30+ na unaishi kwa shemeji yako
Na watanzania wameyapuuza kabisa baada ya kuona kuna watu wana ajenda zao za siri na hatarishi kwa Taifa letu.Hatuwezi kuandamana kisa dini flani tu haimtaki Mama samia, Mama ni rais wa watanzania wote, udini pelekeni hukoooo kwenu
Naumia kuona hujaandamana ili wakakushikishe adabu mpaka akili ikukae sawa.Kwanini UWT mnaumia sn sisi kuandamana?
Wewe huna akili nimezuiwa na polisi tangu saa 3:09 hapa Kinondoni, si waniachie niende Magomeni?Naumia kuona hujaandamana ili wakakushikishe adabu mpaka akili ikukae sawa.
ThubutuuuuuuKaandamane sasa.
Kama tulivyopuuza maandamano.Wewe ni wakupuuzwa
Ma CHADEMA yamebaki yanatukana matusi tu badala ya kwenda kuandamana Mitaani ili yashikishwe adabu kisawasawa mpaka akili ziyakae sawa.Kama tulivyopuuza maandamano.
hivi wananchi wameyapuuza au polisi wamezuia maandamano? Mtu mwenyewe unakaa kijijini,halafu unazungumzia mambo ya Dar uko vizuri kweliNdugu zangu Watanzania,
CHADEMA imepata pigo kubwa sana baada ya wananchi kuyapuuza na kuyakataa maandamano yao haramu na yaliyopigwa marufuku na jeshi la police pamoja na kulaaniwa na mamilioni ya watanzania,kutokana na kauli zake zenye kuhamasisha vurugu na machafuko hapa Nchini.
Wananchi wanasema hawaoni sababu wala hoja yenye mashiko ya kuunga mkono na kushiriki kwenye maandamano hayo haramu,.zaidi ya kuona ajenda iliyojificha ya kutaka kuvuruga amani ya nchi yetu na kuchochea machafuko hapa Nchini.
Wana Dar es salaam waliyakataa maandamano haya tangia muda mrefu sana ,ndio sababu CHADEMA wakawa wanatumia nguvu na gharama kubwa kuwaomba watu wa mikoani wasafiri kuja kuandamana Dar. Embu jiulize ndugu yangu inakuwaje CHADEMA wasafirishe watu kuja kuandamana Dar es Salaam yenye watu zaidi ya Millioni 6? Kwanini wanatumia gharama kubwa na pesa nyingi kusombelea watu kuja dar wakati chama hicho hicho kinashindwa hata kujenga ofisi za chama mikoani?
CHADEMA ina Ombwe kubwa sana la uongozi.ndio maana inakwenda tu kama gari bovu linaloendeshwa na kipofu gizani. Chama hakina mwelekeo wala Dira wala mvuto wala ushawishi kwa watu ,hakina uungwaji mkono wala nguvu ya Umma,hakina watu wa kukitetea wala kukipigania.zaidi utakuta wachache wapo huko Twitter wakitukana Mimatusi yao huku wakiogopa kuingia barabarani kuandamana kama walivyokuwa wakiwadanganya wengine waandamane.
Uzuri ni kuwa watanzania wanafahamu utapeli na ubabaishaji wa CHADEMA ndio sababu hawapo tayari kamwe kuwaunga mkono.wanajuwa ni wasaka Tonge, wachumia tumbo na watu wenye kupigania maslahi yao binafsi. Ndio maana kuna wakati walipendekeza uwepo wa wabunge wawili wawili katika kila jimbo.lengo likiwa kuongeza upana wa njia ya wao kupata ubunge ili wakavune pesa na kujilimbikizia, halafu baadaye wakishiba waje kuwatukana watanzania kuwa ni maskini na wanaofanya kazi za kimaskini na zilizolaaniwa.kama ambavyo nyote ni mashahidi wa kauli za Godbless Lema akiwatukana watanzania.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
- LIVE - Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Kweli dogo una vituko sana.ungekwenda uandamane ili ubondwe mpaka akili ikuruke.Wewe huna akili nimezuiwa na polisi tangu saa 3:09 hapa Kinondoni, si waniachie niende Magomeni?