Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nipo na wananchi wenzangu tunaendelea na shughuli zetu ,huku hata wana CHADEMA wenyewe wakiwa wameyapuuza maandamano hayo yaliyotangazwa na viongozi wao.wakisema kuwa viongozi wao ni wachumia tumbo tu na wasaka TongeUnaandika huku umejifungia Lumumba ,umepita mitaani uone hali halisi?
Ungeenda uandamane ukione cha mtema kuni
Ungekua mzima wa afya ya akili usinge shangilia matumizi ya nguvu za jeshi kuzima maandamano ya amani tena yenye kusisitiza serikali kuwajibika kudhibiti vitendo vya utekaji na mauaji.Usilete hasira zako hapa.kama una hasira nenda kaandamane huko ushikishwe adabu.
Mimi nipo na wananchi wenzangu tunaendelea na shughuli zetu ,huku hata wana CHADEMA wenyewe wakiwa wameyapuuza maandamano hayo yaliyotangazwa na viongozi wao.wakisema kuwa viongozi wao ni wachumia tumbo tu na wasaka Tonge
Sasa wamezuiwa na naniAcheni porojo zenu.si mlisema mtaandamana na hakuna wa kuwazuia.
Kwenda zako huko ukaandamane na siyo kulialia hapa.U
ngekua mzima wa afya ya akili usinge shangilia matumizi ya nguvu za jeshi kuzima maandamano ya amani tena yenye kusisitiza serikali kuwajibika kudhibiti vitendo vya utekaji na mauaji.
Barabara ya wapi hiyo? Hapa ndio barabarani? Kweli ma CHADEMA ni matapeli kwelikweli.yaani hadi Ninyi mmempuuza Mbowe.Sasa kama unaendelea na shughuli zako tathmini ya maandano nchi nzima umeyatoa wapi? Sisi Arush huku tupo barabarani tunaandamana.
Nenda barabarani ukaulize maswali hayo.Sasa wamezuiwa na nani
Sawa lakini usihadae umma mambumbu kama weweKumbe saccos huwa zina wenyeviti wa kudumu! kuwa kitaga uchumi cha familia sioni ubaya wa hilo hata wewe mkuu chochote unacokifanya ni kitega uchumi cha familia yako unless uwe huna familia
Half minded endelea kudhihirisha u empty set kuhusu umuhimu wa utawala BoraKwenda zako huko ukaandamane na siyo kulialia hapa.
Muda huu si ulitakiwa uwe kwenye maandamano? Sasa huku unachomoza pua lako kufanya nini?Half minded endelea kudhihirisha u empty set kuhusu umuhimu wa utawala Bora
Barabara ya wapi hiyo? Hapa ndio barabarani? Kweli ma CHADEMA ni matapeli kwelikweli.yaani hadi Ninyi mmempuuza Mbowe.
Siku moja ipi hiyo? Utaandamana wewe na nani?Sku moja tutaandamana wenyewe bira ya chadema na hivyo vyombo vya usalama ambayo ukiunganisha vyote hupati askar milion 1 havitoonekana
Lete hayo maandamano tuyaone ukiwa chumbani kwako umejificha.Kwani simu haishiki JF? Au ili uchat lazima uwe ndani ukiwa barabarani hauwezi kuchat au kuingia mtandaoni?
Haki ya kuishi inaenda sambamba na wajibu gani??Haki inakwenda sambamba na wajibu.
Ukute wewe ni 30+ na unaishi kwa shemeji yakoMuda huu si ulitakiwa uwe kwenye maandamano? Sasa huku unachomoza pua lako kufanya nini?
Lete hayo maandamano tuyaone ukiwa chumbani kwako umejificha.