Maandamano ya kudai katiba mpya Eswatini yadaiwa kumfanya Mfalme Mswati III kukimbia nchi

Maandamano ya kudai katiba mpya Eswatini yadaiwa kumfanya Mfalme Mswati III kukimbia nchi

Mswati mda wote anawaza kubikiri akili ya kuwaza uchumi itoke wapi hali yeye ni kula kulala haitaji kubeba zege ndo ale
 
Mbona wanaharibu nchi, kutakua hakuna tena mabikira, at least ndiyo nchi pekee chini ya jangwa la Sahara lenye concentration kubwa ya bikira
 
Ila mfumo wa swaziland wa hovyo sana. Jamaa anajichagulia tu wanawake tena kwa kodi za umma
 
My God Yaani; the value of Grace Papuc•• was then equal to the whole Zimbabwe and its subjects ???!! .🤣🤣
Thus jeshi waliona anazeeka vibaya wakampindua.
Watawala wanapenda Sana kitu hii
 
Back
Top Bottom