Maandamano ya kudai katiba mpya Eswatini yadaiwa kumfanya Mfalme Mswati III kukimbia nchi

Maandamano ya kudai katiba mpya Eswatini yadaiwa kumfanya Mfalme Mswati III kukimbia nchi

Kweli kuna watu wa ajabu
Waziri mkuu wao akanusha kuwa hakuna kitu kama hicho ila simshangai hata Waziri yule wa Iraq alitetea sana serikali yao
 
Kafaidi sana bikra huyu bwg😂😂

Ova
 
Bikira nyingi zilikua za kutengeneza na hospital zipo hizo Johannesburg upo mwaka alipobambikiwa ya kutengeneza alifukuza watu kazi balaa ...
Then mabinti wengi wamezaliwa +ve HIV, so anaweza kuwa bikra ila ndio hivo.
Japo ngoma ni homa tu nowdays. Kuna kaka zake TB, kisukari, kansa n. K
 
Sio kuongeza wake tu mkuu, nchi nzima kila mtu anakatwa kodi kwa ajili ya kuitunza familia ya mfalme, kwahiyo yeye haoni uchungu kuendelea kuoa na kuzaa, anajua mnamchangia.
[emoji848]duh,kwakweli bora Tz tena ,khaaa
 
Back
Top Bottom