baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Sema Israel na Usa wanaua, Usimung'unye meno, si tulikubaliana hao ni watu wazuri na marafiki wa Israel? Tukawasafisha na media zote za Magharibi?Waislamu wenzio wanaua watu wasioamini dini yenu (Christians & Alawites) Huko Syria wee uko busy na wapalestina.
Hawa wengine wanaouwawa siyo watu?Mbona husemi kitu?