Maandamano ya kudai uhuru wa Palestina, Marekani hayatakoma pamoja na mkwara wa Trump

Maandamano ya kudai uhuru wa Palestina, Marekani hayatakoma pamoja na mkwara wa Trump

Waislamu wenzio wanaua watu wasioamini dini yenu (Christians & Alawites) Huko Syria wee uko busy na wapalestina.
Hawa wengine wanaouwawa siyo watu?Mbona husemi kitu?
Sema Israel na Usa wanaua, Usimung'unye meno, si tulikubaliana hao ni watu wazuri na marafiki wa Israel? Tukawasafisha na media zote za Magharibi?
 
Waislamu wenzio wanaua watu wasioamini dini yenu (Christians & Alawites) Huko Syria wee uko busy na wapalestina.
Hawa wengine wanaouwawa siyo watu?Mbona husemi kitu?
Sikia wewe punguani mambo ya dini peleka jukwaa la dini hoja hapa ni.

Maandamano ya kudai uhuru wa Palestina, Marekani hayatakoma pamoja na mkwara wa Trump​


Kwa hiyo Wakiristo wenzako wanavyofungiswa ndoa za wasenge na mabasha Makanisani na wewe nikuunganishe.

Nyie si mlikuwa mnashangilia Assad kutolewa madarakani mnaumuiita Gaidi 😂
 
Uwa nacheka sana kuna Walokole wapo Itamboleo, Lugelele gava, wanachukia Wamarekani kuandama kuwaunga mkono Palestina😂
 
Mbona Saudi Arabia hawaandamani kuhusu ndugu zao.
Kafungue uzi…

Kwa kutekwa nyara na kufungwa kinyume cha sheria Mahmoud Khalil, kiongozi wa vuguvugu la wanafunzi wa Palestina, Donald Trump anaanza wimbi la ukandamizaji ambalo linahatarisha harakati zote za watu za kutafuta haki.

Lakini hatuendi nyumbani. Sisi si kuacha. Hatutaruhusu kampeni ya uoga ya Donald Trump ituzuie kuendelea kuingia barabarani na kutetea haki kwa watu wetu kila mahali!i


View: https://x.com/pslnational/status/1899242295112712198?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Hata kama vile Trump anapendekeza utekaji nyara haramu wa Mahmoud Khalil "ni wa kwanza kati ya wengi ujao," Maseneta wa New York wanakaa kimya. Wako wapi?

Trump anatengeneza barabara kwa ajili ya kumnyamazisha yeyote ambaye hakubaliani naye bila msingi wowote wa kisheria. Ni lazima sote tuzungumze dhidi ya hili.

MAHMOUD KHALIL HURU! MALIZA KUFUKUZWA KWA BARAFU!


View: https://x.com/medeabenjamin/status/1899203468918685894?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Hahahaha😂😂😂

Kumbe mambo ya kutekana yapo hata Marekani nilidhani Africa tu.
 
Sisi kampeni yetu ilikuwa ni Free Dr.Slaa na ameachiliwa baada ya kuteswa bila sababu.

Mbona mlikuwa kimya?!
 
Sasa walokole nanyinyi si muandamane uko uko nyakato musaport mashoga wenu!!!! Mkiona Wazungu wanasaport Palestina mnaumia Sana!!
 
Back
Top Bottom