Maandamano ya kumpongeza Dkt. Nchemba kwa bajeti nzuri

Maandamano ya kumpongeza Dkt. Nchemba kwa bajeti nzuri

πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈ

IMG-20220831-WA0044.jpg
 
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈπŸƒπŸΏβ€β™‚οΈ

View attachment 3027957
Amezuia hizo gharama wapi?

Labda amezuia hizo gharama Nchini kwake Singida lakini sio Tanzania hii ambayo Kwa makusudi walipandisha bei ya Petrol kutoka 1,850 Mwaka 2021 hadi 3,420 Mwaka 2022

Saivi wameishusha hadi 3,185 badala ya kuishusha hadi 1,850 waliyoikuta Mwaka 2021 πŸ™Œ
 
Huyu jamaa ana ndoto ya muda mrefu ya kuutaka Ukubwa wa Nchi, lakini bahati mbaya hana connection na Watoto wa Mjini.

Akipanda sana anaweza kupewa uPM tu 😜
Uliza uelekezwe huyu jamaa ana-connection ya moja kwa moja na Msoga kupitia Riz-moko toka wanasoma UD
 
Back
Top Bottom