Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Huyu jamaa ana ndoto ya muda mrefu ya kuutaka Ukubwa wa Nchi, lakini bahati mbaya hana connection na Watoto wa Mjini.
Amezuia hizo gharama wapi?
Utakuwa ulikeketwa mchana wa jua kali tena sokoni.Haya ndugu zangu inafaa kumpongeza Dr. Nchemba Kwa bajeti makini ya kuondoa utegemezi na umaskini
Uliza uelekezwe huyu jamaa ana-connection ya moja kwa moja na Msoga kupitia Riz-moko toka wanasoma UDHuyu jamaa ana ndoto ya muda mrefu ya kuutaka Ukubwa wa Nchi, lakini bahati mbaya hana connection na Watoto wa Mjini.
Akipanda sana anaweza kupewa uPM tu π
Au njoo Kisiwandui mambo yasiwe mengiHapa Unguja tunakutana wapi? Nipo Bwejuu
FAIZA LEO NIMEKUPENDAApongezwe nini na yeye anafanya kazi zake kwa maagizo ya Rais?
Tuondokeeni hapa na mambo hayo ya kijinga.
Hunisomi vizuri tu, sina kuremba-remba.FAIZA LEO NIMEKUPENDA