Kwa kuwa Umeshindwa kutuonyesha ndani ya BIBLIA yako Andiko linaloonyesha kwamba Mwanamke mpaka afikishe Umri wa Miaka 18 na Kuendelea ndio anapaswa kuolewa.....Nyie wapenda ngono na unajisi hapa mnataka kusema binti akivunja ungo basi aolewe hapohapo?
Wanyanyasaji wakubwa nyie. Lizee kama Muhammad linabaka wajukuu wake.
Wewe hujitambui,Bukhari juzuu ya 8.82.1 na.794-795 uk.520 ni kukata watu mikono na miguu, kuchoma macho yao, na kuwanyima maji hadi kufa baada ya kukatwa miguu na mikono. Angalia Bukhari juzuu ya 8.82.3 na.796 sura ya 4 uk.797; Bukhari juzuu ya 6 sura ya 150 kabla ya na.198 uk.158-159 pia Fiqh us-Sunnah juzuu ya 1 uk.133.
Bila shaka utakubali kwamba hizi ni dhambi nzito sana. Kwa vile Muhammad alifanya hivi, alihitaji sana msamaha. Swali la kidadisi ni hili: "Ni nani hasa anayelipa gharama ya dhambi zako?" Yesu alisema alilipa fidia ya dhambi zetu. Uislam haufundishi kuwa kuna mtu yeyote aliyelipa gharama. Je, dhambi zako zinalipwaje, au Allah anazifumbia macho baadhi ya dhambi na kuadhibu nyingine??
Watu wengine wanaweza kufikiri kuwa uovu hauna madhara yoyote ili mradi mtu anajiita Muislam. Katika karne hii Waislam wanawaua wakiristo na kufanya mauaji ya kinyama kwenye vijiji vyao katika nchi za Sudan, Nigeria na Indonesia. Wakati watu walioitwa wakristo waliwaua Waislam, watu walisema kuwa wanafanya kinyume cha tabia ya Kristo.
Wakati Waislam wanawaua Wakristo, wanaomwabudu Mungu wa kweli, sijawahi kusikia mtu yeyote akisema wanafanya kinyume cha tabia ya Muhammad.
Nisamehe kwa kusema bila kuficha kiasi hiki, lakini mauaji ya watu wanaomwabudu Mungu yanayofanywa na Waislam lazima yaachwe. Waislam wanapohalalisha mauaji haya kwa sababu hata nabii wao alifanya hivyo, watu hushangazwa na nabii wao, na Allah wao ambaye anatengua neno lake, na chimbuko la Uislam.
Samson was a judge yaani mwamuzi kama Barak.Kumtetea Mtume kwa kuleta ajenda za Lutu ni uchizi,we ushawahi kukuta mkristu yeyote anamtaja Lutu kama Nabii?Lutu ni character tu kama Character wengine wengi ambao ni mashuhuri lakini hawana jambo,kuna akina Lutu hao,akina Yefta,akina Samson na wengine wengi ambao nyie kwa kutokujua kwenu mmeamua kuwapa Unabii.
Biblia haiwezi kupepesa macho kwa sababu inasema ukweli,eti kwa sababu ni ndugu yake Ibrahimu so Biblia ifiche habari za aibu kuhusu yeye. Hapana.
Ulichoandika kuhusu Mungu kwenye Wakorinto ni mfano mdogo sana wa kundi kubwa lenye upeo mdogo sana na hivyo kukujibu na kukuelezea ni kupoteza muda.
Wewe nawe ulikuwa hujitambui, mara kizazi kimefutika hakipo mara kizazi kipo ila kimefutika hakipo kama taifa.Kaka mi nimeamua kuacha kuendelea kuongea maana nimegundua napoteza muda bure huyu bwana kichwa yake haiko sawa.
Tuanzie hapo na mm nipate kufaham hilo, kivipi mkuu?Nikikuambia biblia ni kiumbe halisi utaamini hili, it can bless and curse you?
Hata quraan ni kiumbe pia ambacho kina bariki na kulaani.Tuanzie hapo na mm nipate kufaham hilo, kivipi mkuu?
Kwahiyo kwa mujibu wa bibilia yesu alikua nani?Sio kila Mtumishi wa Mungu alikua nabii waislamu mnashida sana, mfano YESU hakua nabii, watu wengi kwenye biblia hawakua manabii
MunguKwahiyo kwa mujibu wa bibilia yesu alikua nani?
Nipe ushahidi wa andiko ndani na hata nje ya biblia yesu kwa maneno yake alipojiita yeye ni MunguMungu
Understanding capacity yake ni ndogo mno ila kwa vile yupo kwa ajili ya kukosoa basi ni haki yake kujiona anajua.Si unaona sasa upuuzi wako. Kwahiyo unataka kuniambia Yesu ana jina Moja tu?
Waingereza wakimuita Jesus wanakuwa wamekosea?
Nikupe ushahid we kama nani kama huamin sio Mungu endelea kuamin hivyo hivyo unao uhuru huoNipe ushahidi wa andiko ndani na hata nje ya biblia yesu kwa maneno yake alipojiita yeye ni Mungu
[emoji23][emoji23][emoji23] Hao ni Magreat thinkerWahuni wanawaza sana
View attachment 2389729
1 Petro 3:15Nikupe ushahid we kama nani kama huamin sio Mungu endelea kuamin hivyo hivyo unao uhuru huo
Sio hasira mim kwangu YESU ni Mungu1 Petro 3:15
1 Petro 3:15 (Mwe tayari siku zote kumjibu kila mtu awaulizaye habari za tumaini lililo ndani yenu; lakini kwa upole na kwa hofu.)
Acha Hasira wewe.
Yesu ni mtu kama ww na ushahidi pale alipozaliwa baada ya kukaa tumboni mwa mama yake Maryam kama ulivyokaa ww na ukazsliwa baada ya mimba kukomaa.Nikupe ushahid we kama nani kama huamin sio Mungu endelea kuamin hivyo hivyo unao uhuru huo
yaliyofichwa muachie Mungu mwenyewe aliyeyaficha, ndiye anajua.Kwahiyo Lutu na Binti zake siku ya kiama wataenda Motoni au Mbinguni kwenye uzima wa milele?
Umetia nondo pia ni hoja nzitoBiblia inaweza gawanywa mara nne namna ya kuisoma ili uelewe vizuri,inaweza gawanywa katika makundi kama ifuatavyo
1.Nyakati za Ujinga(Anguko la mwanadamu)
Hiki nikipindi kabla Mungu hajaweka sheria kali ya kumuongoza binadamu ndio maana matukio kama ya Lutu kuzaa na binti zake haikuwa shida ni makusudi tu ya Mungu mwenyewe na hicho nikipindi kabla ya torati.
2.Nyakati za sheria(Torati) ya Musa Mungu alikuwa akiwaandaa watu wake waachane na mambo machafu waliyokuwa wakitenda utumwani ili wafike caanan wakiwa safi, Ndip tunaona katazo la kula baadhi ya wanyama lakin nyuma ya hapo watu walikuwa wanakula hovyo tu.Na ukisoma Walawi 18:6 nakuendelea utaona ni chukizo kwa Mungu kufanya kama Lutu.
3.Neema kwa mataifa
Hiki ndicho kipindi tulichonacho sasa ambapo Injili inahubiliwa hado uchochoroni, yaani watu wa mataifa ndio wanashauku kubwa zaidi kumtafuta na kumhubiri Kristo kuliko hata ilikotokea hiyo imani..Tunaishi kwa neema ya kristo kila dhambi ina msamaha kasoro kukufuru roho mtakatifu.Lakin enzi ya Musa mzinzi alipigwa mawe hadi kifo.
4.Nyakati za Ufufuo na kunyakuliwa
Ndicho kipindi kinachokuja mbele yetu..
Kwahiy ili uisome Bible vizuri kwanza ujue mambo hayo....
huoni kama mtu mzee kanyeshwa pombe af kabakwa hapoYaani mfano suala la Luttu kutembea na watoto wake hadi kuwapa ujauzito bado unasema ni coded book?
Hivi huwa mnalishwa nini makanisani hata msifungue bongo zenu kwa mambo yanayoonekana?
Kwamba biblia imeandikwa kwa mafumbo kama taarabu kwa faida ya nani?
Maandiko yote yapo clear ili binafami yeyote anaposoma ama kuambiwa aweze kuelewa.
Yaani Mungu akuwekee mafumbo halafu usipoelewa akuadhibu tena kwa kitu ambacho hakikueleweka?