Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Hivi Manabii wa Sasa na Lutu nani ni zaidi?

Hivi hujui Lutu alitembelewa mpaka na Malaika? Manabii wa sasa wametembelewa na Malaika gsni?
Lutu wa kwenye bible ni character tofauti na lutu wa Koran
 
Ni
Ni sawa ubakwe afu tukulaumu,

Au ulitaka lutu akut©mb€ wewe
 
Asalam alaikum.

Hapo kabla ya ujio wa mtume wetu mtukufu Muhammad (saw) pombe ilikuwa inatumika namaanisha haikukatazwa,ila baada ya kuja kuna vitu baadhi viliangaliwa faida na hasara zake hapa ulimwenguni na kuonekana ya kuwa pombe ni haramu.
 
Makachu jibu huu uchafu wa muhamed na allah.
Nijibu nini? Kaandika vitu vingi anakatakata Aya tu.

Mfano Sentensi kamili inasema:

“Juma amefumwa na Baba Johari, akimgegeda Mwanae"

Sasa yeye anakata anachukua

“Baba Johari akimgegeda Mwanae"

Asome Aya vizuri kwa mtiririko ili apate maana. Asome kwa mtiririko kwakuanzia juu alafu aone anavyoumbuka
 
Endelea Kujidanganya tu
 
Asalam alaikum.

Hapo kabla ya ujio wa mtume wetu mtukufu Muhammad (saw) pombe ilikuwa inatumika namaanisha haikukatazwa,ila baada ya kuja kuna vitu baadhi viliangaliwa faida na hasara zake hapa ulimwenguni na kuonekana ya kuwa pombe ni haramu.
Ila Koran imesema kwa zabibu mnatengeza pombe kali
 
Uko Gizani Ondoka huko
 
Hatuzungumziii Makosa hapa, tunachozungumzia hapa ni hilo neo upumbavu na Mungu kufananishwa na upumbavu na kuitwa Mdhaifu.

Kumbuka Mungu hafananishwi na kitu chochote.

Ndugu hapo kwenye Wakorinto labda hukuielewa tu hiyo lugha. Mtume Paulo hakumaanisha kwamba Mungu ni mpumbavu. Anamaanisha yapo mengi ya hekima ya kimungu ambayo kwa wanadamu huonekana ni upumbavu. Mfano umwelezee mwanasayansi kwamba Mungu ameumba vitu vyote from nothing. ataona huo ni upumbavu, japo yeye mwenyewe hana jibu la maana kuhusu the origin of matter.
 
Njoo chambua moja moja , hakuna kuumbuka , nimekuwekea mpaka surah na verse number
 

Ushaambiwa alinywesha mvinyo akalewa!!hivyo hakujua kinachoendelea' na hapo baba hana kosa kosa liko kwa ma bint genye iliwazidi
 
Dini zetu za asili za ku-sacrifice Albino na Walemavu zina ubora gani ukilinganisha na hizi unazodai za kuletewa?

Dini zetu zilizokuwa zinasuggest chief akizikwa azikwe na mtu hai kwa ajili ya kumlinda na kumuhudumia? Hebu nieleze ubora wake over hizi 'zakuletewa' labda na mimi nijue.
 
Unamzungumzia mungu yupi hapo,mungu muumba wa vitu vyote au una mzungumzia yesu, maana wengine kati yenu huyo yesu mnamuita mungu,
"utasikia yesu ni mungu"
 
Sisi kwetu hakulala na Binti zake ndio mana ni Nabii
Sisi ambaye tumewapa story yake ya awali kabisa miaka mingi sana kabla hamjasimulia ya kwenu tumewaeleza hali halisi sasa nyie endeleeni kujidanganya hivyo hivyo .

Hivi pia mnafahamu kuwa Mfalme Daudi alimuua Jemedari wake ili azuie mke wa jamaa au na hii pia mmeedit?

The good thing about bible it never lies.It potrays Human being at face value. Mungu anaonyesha over and over again mwanadamu no matter how hard you try,how favoured you are and how good you are you will always miss the mark that God desire. This is why we need JESUS and thats why he came.

Some people thinks Jesus was just a good teacher,no actually the Best teacher is The Holy Spirit.Jesus IS the SAVIOUR of MANKIND from the bondege of SIN.
 
Hebu iweke vizuri nikujibu vizuri kaka,pombe kali unaweza tengeneza hata kwa mahindi,ila kabla hujajibu angalia na ukielewe kile nilicho kiandika.
Inamaana unataka kusema hujui Aya ambayo Allah kajisifu kwa Kuweka matunda ambayo mnatengeza pombe kali na akasema ni Kwa watu wenye uelewa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…