Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Upumbavu ni Nini ? Kwa wewe unavyoelewa... Hivi Makosa ya Mungu unaweza kuyagundua wazi wazi ?..... Nikupe mfano: Adam hakujua kuwa Mungu alikosea kumuweka peke ake Eden ila Mungu mwenyewe kwa Mara ya kwanzA akaona si vema Adam awe peke ake.
Vp ulijua kuwa alifanya kosa ?
Bible ngumu kwa kichwa panzi.
#Vladdy anaviashiria vyetu vile
View attachment 2383081
Huo ni uongo. Ina maana Mungu hakuwa na fikra kuhusu adam atakuwa peke yake hapa duniani mpaka alivyomuumba ndio akagundua?
Niwaeleze kuwa ukiona andiko linakasoro hilo hakuandika Mungu.
 
Kwanza Lutu sio nabii,sio kila character anayetokea kwenye Biblia ni Nabii,wengi ni maarufu lakini sio manabii wala mitume.

Nyie kama mmeamua kumpa Unabii mpeni hatushangai lakini vitabu vya kale kabisa vinatupa habari ya Lutu. Lutu kimsingi hakuwa mtu mbaya na ndio maana yeye na familia yake walisalimika isipokuwa mkewe aliyegeuka jiwe la chumvi.

Matendo yalitajwa kufanywa na Binti za Lutu ndio kama hayo na kwa kukusaidia tu baada ya hao mabinti kupata mimba kila mmoja alijifungua mtoto wa kiume ambao ni mmoja ndio kizazi cha Waammoni na mwingine ndio ameleta kizazi cha Wamoabi.Haya mataifa mawili ndiyo kati ya mataifa yaliyowasumbua Wanawaisrael kinoma na ilikuwa ni matokeo ya hiyo laana waliyoitafuta mama zao.

Sasa anayebisha atueleze Waamoni na Wamoabi asili yao ni wapi?
Hiyo laana wapi imesemwa? Unajitungia stori yako[emoji15]
 
Biblia inaweza gawanywa mara nne namna ya kuisoma ili uelewe vizuri,inaweza gawanywa katika makundi kama ifuatavyo
1.Nyakati za Ujinga(Anguko la mwanadamu)
Hiki nikipindi kabla Mungu hajaweka sheria kali ya kumuongoza binadamu ndio maana matukio kama ya Lutu kuzaa na binti zake haikuwa shida ni makusudi tu ya Mungu mwenyewe na hicho nikipindi kabla ya torati.
2.Nyakati za sheria(Torati) ya Musa Mungu alikuwa akiwaandaa watu wake waachane na mambo machafu waliyokuwa wakitenda utumwani ili wafike caanan wakiwa safi, Ndip tunaona katazo la kula baadhi ya wanyama lakin nyuma ya hapo watu walikuwa wanakula hovyo tu.Na ukisoma Walawi 18:6 nakuendelea utaona ni chukizo kwa Mungu kufanya kama Lutu.
3.Neema kwa mataifa
Hiki ndicho kipindi tulichonacho sasa ambapo Injili inahubiliwa hado uchochoroni, yaani watu wa mataifa ndio wanashauku kubwa zaidi kumtafuta na kumhubiri Kristo kuliko hata ilikotokea hiyo imani..Tunaishi kwa neema ya kristo kila dhambi ina msamaha kasoro kukufuru roho mtakatifu.Lakin enzi ya Musa mzinzi alipigwa mawe hadi kifo.
4.Nyakati za Ufufuo na kunyakuliwa
Ndicho kipindi kinachokuja mbele yetu..
Kwahiy ili uisome Bible vizuri kwanza ujue mambo hayo....
Hapana!!!
 
Kumtetea Mtume kwa kuleta ajenda za Lutu ni uchizi,we ushawahi kukuta mkristu yeyote anamtaja Lutu kama Nabii?Lutu ni character tu kama Character wengine wengi ambao ni mashuhuri lakini hawana jambo,kuna akina Lutu hao,akina Yefta,akina Samson na wengine wengi ambao nyie kwa kutokujua kwenu mmeamua kuwapa Unabii.

Biblia haiwezi kupepesa macho kwa sababu inasema ukweli,eti kwa sababu ni ndugu yake Ibrahimu so Biblia ifiche habari za aibu kuhusu yeye. Hapana.

Ulichoandika kuhusu Mungu kwenye Wakorinto ni mfano mdogo sana wa kundi kubwa lenye upeo mdogo sana na hivyo kukujibu na kukuelezea ni kupoteza muda.
Ni kisingizio cha kuficha udhaifu. Kwa nini hutaki kumjibu kama kweli una hoja?
 
Kuna point kubwa unashindwa kuzi catch unaposoma biblia ,
  • Biblia haifichi uchafu wa character alieandikwa inauweka wazi na unaona adhabu kabisa imetoka kwa tendo lililofanyaka , visa vipo vingi na adhabu unazikuta humo humo , Mungu wa kwenye Biblia anachukizwa na dhambi zikitendeka ata iwe ni nabii wake
Allah dhambi zote aliziruhusu kwa mUhammad tena kwa kumpa aya kabisa
  • Muhammad karuhusiwa kufanya uzinzi na Allah akampa kabisa aya mwanamke yeyeto aende kwa muhammad akafanye ngono nae, Aisha akawa akiwaona wamejipanga wanasubiria kupigwa show anasema ni Disgusting
  • I used to look down upon those ladies who had given themselves to Muhammad (ﷺ) and I used to say, "Can a lady give herself (to a man)?" But when Allah revealed: " Muhammad can postpone whom you will of them , and you may receive any of them whom you will; and there is no blame on you if you invite one whose turn you have set aside (temporarily).' (33.51) I said (to the Prophet), "I feel that your Lord hastens in fulfilling your wishes and desires."Sahih al-Bukhari 4788
  • Kula mjakazi, muhammad aifumaniwa anatafuna house girl , akajiapiza hatarudia , allah akashusha aya akamkanya sana asiche kula kwani ni haki yake
    • Koran 66:1. Ewe Muhammad! Kwa nini unaharimisha alicho kuhalilishia Allah?....
  • Bado wake zake wawili wakawa wanamletea noma sana , Allah akasema kama wataendelea anashuka na jeshi la malaika na waumini wote duniani kupigana na wanawake hao wawili wanaomkataza muhammad kula mjakazi
    • Koran 66:4. Kama nyinyi wawili hamkutubia kwa Allah, basi nyoyo zenu zimekwisha elekea huko. Na mkisaidiana dhidi yake muhammad, basi hakika Allah ndiye kipenzi chake, na Jibrili, na Waumini wema, na zaidi ya hayo Malaika pia watasaidia.
  • Allah akasema Mwanamke muhumini yupo huru kwenda kwa muhammad akajitoe kwa muhammad bila mahari
    • Koran 33:50 ....na mwanamke Muumini akijitoa mwenyewe kwa Nabii,.....
  • Muhammad alitamani mke wa mtoto wake wa ku adopt , allah akaja haraka akamwambia kwa nini unajizuia nilichokuruhusu mchukue, Allah akasababisha mtoto wa muhammad amuache mke wake, na akapiga marufuku ku adopt mtoto kuanzia siku hiyo
    • Koran 33:37. Na ulipo mwambia yule Allah aliye mneemesha, nawe ukamneemesha: Shikamana na mkeo, na mche Allah. Na ukaficha nafsini mwako aliyo taka Allah kuyafichua, nawe ukawachelea watu, hali Allah ndiye mwenye haki zaidi kumchelea. Basi Zaid alipo kwisha haja naye tulikuoza wewe,
  • Allah akaona haitoshi akampa leseni ya dhambi kabisa
    • 48:2 That Allah may forgive thee of thy sin that which is past and that which is to come.....
Quran ya kwenye google[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukiona mtu mpaka leo hii bado anawaza mambo ya hizi Dini za kuletewa ujue anakabiliwa na umasikini uliokithiri na Elimu yake inatia mashaka. Binafsi naamini Dini zetu za asili Afrika ni bora zaidi kuliko hizi Dini zilizokuja na Majahazi.
Tafuta pesa ndugu, mambo ya Dini achana nayo yatakupotezea muda.

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Africa tuna dini gani?
 
no offence but Biblia sio gazeti eti kwa kuwa unajua kusoma ndio basi, unahitaji hekima utulivu wa akili na moyo na sana mwongozo wa Roho ndio maana ya sala kabla ya kusoma wala sio hamu ya kutafuta kosa. Kuna wasomi wa maandiko wamepitia tafsiri mbali mbali za maandiko na nakala zilizoandikwa kwa lugha halisi na hawajasema upuuzi huu. Labda nikusidie hilo andiko la 1Kor 1:25 maana yake ni kua hata ikitokea Mungu akiona kafanya chini ya kiwango hauwezi kulinganisha na hekima na bidii za juu za mwanadamu, bado ziko chini sana, yaani ni sawa na kumwambia Chama leo ulikua chini ya kiwango chako lakini bado uwezo wako ulikua zaidi ya ule wa Mayele (nimetafuta uchokozi hapo). Turudi Lutu kitendo cha mabinti zake hakijapewa tiki kwenye Biblia ingawa walifanya kwa nia njema lakini hakikuhesabiwa haki na Biblia imekemea kwenye maandiko mengi sana yaliyofuata baada ya Lutu. Biblia haijadhalilisha imesema ukweli wala usitegemee kuama kua nabii kunamfanya mtu kuwa bora zaidi ya wengine wala haubadiliki eti unakua sio mwanadamu tena NO! kipimo chetu ni kilekile mbele za Mungu
Uongo! Mungu hawezi kufanya jambo chini ya kiwango!!
 
Makachu jibu huu uchafu wa muhamed na allah.
Uongo wa waandishi. Hakuna jambo kama hilo.
Ukitaka kuthibitisha angalia lugha. Pale pachafu ametumia English. Na pale safi ametumia Kiswahili. Ni mkakati tu wa kumchafua.
 
Jambo linalowaumiza wa ISLAM wengi kama sio wote ni kuwa DINI ya KIKRISTO ndio dini pekee halili duniani. Na kwamba baraka nyingi zipo kwa Jews + Christians.

Hivyo miaka nenda rudi mnajaribu kwa nguvu kubwa kuichafua DINI. Licha ya Kwamba Quran inawatambua Wakristo+ Jews (wayahudi). Na mafundisho yenu mengi mmetoa kwenye BIBLIA.

Shida ni kwamba Waislam wengi ni wafwata mkumbo na sio wasoma dini na kuielewa.

Kwa huu ujumbe wako, umechukua BIBLIA na kuanza kuisoma kama GAZETI. na unakuja na tafsiri zako binafsi.


Kusoma na kuielewa BIBLIA inakuhitaji Uwe na ROHO MTAKATIFU apate kukuongoza uielewe. Kama Quran mnaisoma kama kitabu cha kawaida kwa BIBLIA haipo hivyo.

UKITAKA KUJIFUNZA NA KUJUA MISINGI YA KIKRISTU TAFUTA KANISA AU MTU WA DINI AKUELEWESHE. SIO KILA KUKICHA MNATAFUTA MANENO YA REJAREJA.

CHRISTIANITY IS LOVE
Biblia ni gazeti kweli. Imeandikwa na watu!
 
Nimekata na ku hit point, sio kujaza server , NDio maana nimeweka nukuu vizuri kabisa

Nimekujibu Kwenye biblia imeandika mpaka dhambi zilizofanyika na adhabu zake
Tofauti na Koran Muhammad anashushiwa Aya kumsapoti kufanya dhambi
Aya za kizungu? Mbona umeshibdwa kuweka za kiswahili?
 
Ndugu hapo kwenye Wakorinto labda hukuielewa tu hiyo lugha. Mtume Paulo hakumaanisha kwamba Mungu ni mpumbavu. Anamaanisha yapo mengi ya hekima ya kimungu ambayo kwa wanadamu huonekana ni upumbavu. Mfano umwelezee mwanasayansi kwamba Mungu ameumba vitu vyote from nothing. ataona huo ni upumbavu, japo yeye mwenyewe hana jibu la maana kuhusu the origin of matter.
Unamtetea? Chukua kifutio ufute
 
Ushaambiwa alinywesha mvinyo akalewa!!hivyo hakujua kinachoendelea' na hapo baba hana kosa kosa liko kwa ma bint genye iliwazidi
Katika waktristo wote duniani wewe ndio unajitambua. Umejibu kitaalam. Ki quran kabisa!
 
Back
Top Bottom