Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Tena kamuoa akiwa na miaka 6 akashiriki naye tendo akiwa na miaka 9.

Imagine a full grown man at night anaingia kwenye hema ya katoto ka miaka 9 na kushiriki nako tendo. Just imagine.
Adam alimlala hawa baada ya kufikisha umri wa miaka mingapi?
 
Makachu Allah Kwa Muhammad alikuwa analeta mpaka verse kumruhusu kufanya dhambi

Muhammad karuhusiwa kufanya uzinzi na Allah akampa kabisa aya mwanamke yeyeto aende kwa muhammad akafanye ngono nae, Aisha akawa akiwaona wamejipanga wanasubiria kupigwa show anasema ni Disgusting
I used to look down upon those ladies who had given themselves to Muhammad (ﷺ) and I used to say, "Can a lady give herself (to a man)?" But when Allah revealed: " Muhammad can postpone whom you will of them , and you may receive any of them whom you will; and there is no blame on you if you invite one whose turn you have set aside (temporarily).' (33.51) I said (to the Prophet), "I feel that your Lord hastens in fulfilling your wishes and desires."Sahih al-Bukhari 4788
Hapo mnapokamamaa kuleta ushahidi wa ubaya wa Muhammad mnaniacha hoi kitu kimoja tu. Kutumia kingereza.
Kwanini hamtaki kuchukua maandishi yaliyoandikwa kwa lugha ya kiswahili? Ubaya wa Muhammad unapatikana kwa lugha ya kingereza tu? Kuna nini kimo kwenye hayo maandiko? Au maandiko ya kiswahili ubaya wa Muhammad hakuna?
 
Biblia haijaweka wazi mambo mengi sana mzee, Kuna mambo mengi sana hayajaandikwa kwenye Biblia ambayo yalipaswa pia kuandikwa ila yameandikwa haya machache tu kwa ajili ya msomaji kuamini na pia kumpatia mwongozo
Acha uongo wewe!
 
Bible is much deep coded book, kila kilichopo kipo kwasababu maalum na siri za Ajabu note this!
Yaani mfano suala la Luttu kutembea na watoto wake hadi kuwapa ujauzito bado unasema ni coded book?

Hivi huwa mnalishwa nini makanisani hata msifungue bongo zenu kwa mambo yanayoonekana?

Kwamba biblia imeandikwa kwa mafumbo kama taarabu kwa faida ya nani?

Maandiko yote yapo clear ili binafami yeyote anaposoma ama kuambiwa aweze kuelewa.

Yaani Mungu akuwekee mafumbo halafu usipoelewa akuadhibu tena kwa kitu ambacho hakikueleweka?
 
Biblia haisemi kuwa hicho kitendo Ni kitendo kizuri,ndio maana hicho kizazi kilichotokea hapo Ni kizazi kilicholaaniwa.ndio maana huko mbeleni biblia inakataza mahusiano ya kimaprnzi Kati wa ndugu wa karibu
Kwamba watu walilaaniwa kwa makosa ambayo sio yao?

Kama waliolaaniwa ni Lutu na watoto zake wawili aliolala nao sawa, ila kama waliolaaniwa ni pamoja na watoto waliopatikana baada ya Lutu kuzaa na wanae basi sio sahihi.

Hao watoto waliozaliwa kulaaniwa ni kuwaonea maana hawakutaka kuzaliwa hivyo.

Naomba nieleweshe hapa waliolaaniwa ni kina nani?
 
Embu Waafrika Mjitambue haya mashindano ya kidini yamewapa faida gani Ina maana hakuna kitu Cha kujadili kabisa ni Dini Biblia na Quran
Kwa wenzetu wazungu ba waarabu husikii haya mambo
 
Yaani mfano suala la Luttu kutembea na watoto wake hadi kuwapa ujauzito bado unasema ni coded book?

Hivi huwa mnalishwa nini makanisani hata msifungue bongo zenu kwa mambo yanayoonekana?

Kwamba biblia imeandikwa kwa mafumbo kama taarabu kwa faida ya nani?

Maandiko yote yapo clear ili binafami yeyote anaposoma ama kuambiwa aweze kuelewa.

Yaani Mungu akuwekee mafumbo halafu usipoelewa akuadhibu tena kwa kitu ambacho hakikueleweka?
Hii ni sawa tu na quraan ilivyosema Jua huwa linazama matopeni wakati wa usiku.
 
Kwa sababu umeleta mada hii JF naamini una upeo na uwezo wa kujadili mada na kujifunza bila mikwaruzano. Kama dhumuni lako ni kujifunza basi naomba nikueleze kuwa Biblia haisomwi kama hivyo unavofanya.

Pia Biblia 'utakatifu' wake sio kuwa ni mazuri tu yameandikwa humo bali kuna mabaya pia mengi yameandikwa humo. Kwa sababu gani??
Biblia yenyewe inakujibu ila kwa sababu hujasoma yote basi itakuwa ngumu kuelewa, hayo mabaya na mazuri yameandikwa ili:

1 Wakorintho 10:6 Basi mambo hayo yalikuwa mifano kwetu, kusudi sisi tusiwe watu wa kutamani mabaya, kama wale nao walivyotamani...11 Basi mambo hayo yaliwapata wao kwa jinsi ya mifano, yakaandikwa ili kutuonya sisi, tuliofikiwa na miisho ya nyakati.

Mambo hayo yameandikwa ili kutuonya na kutufunza sisi. Na utakatifu wa Biblia hautapungua kwa sababu hiyo, Ni kama jua linavowaka juu ya kinyesi cha mbolea na hauchafuki!!

Kama unahamaki kwa hadithi ya Lutu, vipi kuhusu Daudi, vipi kuhusu mtoto wake wa kiume kumbaka dada yake, vipi kuhusu Yuda kuzaa na mkwewe, kuna habari za aina hio nyingi ila hazijandikwa ili na sisi tuzifate maana kila mmoja aliyofanya hayo alipata adhabu na wengine hata kufa maana mshahara wa dhambi ni mauti.

Ni kama Solomoni alioa wanawake elfu 1 sasa watu wanatafsiri vibaya kuwa kisa imeandikwa kwenye Biblia basi na wao wanaanza ufuska bila kujua Solomoni alisababisha ufalme wa Israel kuvunjika kwa sababu ya tamaa zake za mwili na kuanzia kwake Israel haikuwa na umoja tena lakini pia watoto wake walifarakana mara kwa mara amani ikatoweka!!!!

Sasa nikujibu maswali yako:
(1) JE, NI SAHIHI NABII LUTU KUTEMBEA NA BINTI ZAKE?
HAPANA, SIO SAHIHI NA NDO MAANA IMEANDIKWA ILI WEWE NA MIMI TUJIFUNZE ATHARI ZA VILEO
PIA WATOTO WA HAO MABINTI YAANI WAAMONI NA WAMOAB WALIKUJA KUWA WAABUDU SANAMU NA HAWAKUMJUA MUNGU NA WALIKUWA KIKWAZO

UKISOMA HESABU 25 UTAKUJA KUJUA UZAO WA MOAB ULIKUA UKIENDEKEZA DHAMBI YA UASHERATI VIZAZI HADI VIZAZI NA BAADAYE WALIANGAMIA KWA SABABU YA DHAMBI HII

SOMO NI REFU ILA JIBU NADHANI NIMEKUPA


(2) HUYU NABII LUTU(NDUGU YAKE NA NABII IBRAHIMU) HAMUONI KAMA AMEDHALILISHWA NDANI YA BIBLIA?
HAJADHALILISHWA, MAANA ATA IBRAHIMU MWENYWE ALISEMA UONGO , ALIZAA NA KIJAKAZI PIA
BIBLIA IMEONYESHA UTOFAUTI WAO, IBRAHIM ALIMTEGEMEA MUNGU ZAIDI, LUTU ALIPENDA DUNIA ZAIDI

HAKUNA ALIYE MKAMILIFU, ILA UKINYENYEKEA NA KUJIRUDI NA KUTUBU MUNGU HUSAMEHE YOTE
SOMA HABARI ZA PETRO NA YUDA UTAELEWA SOMO HILI

YUDA ALIMKANA BWANA YESU, AKAJINYONGA
PETRO ALIMKANA PIA ILA ALITUBU NA KUACHA MWENENDO HUO, AKASAMEHEWA AKAPONA


(3) KWANI SIKU YA KWANZA KATEMBEA NA MKUBWA NA HAKUSHTUKA NA KESHO YAKE SIKU YA PILI AKATEMBEA NA MDOGO?

UKIELEWA NGUVU YA POMBE UTAJUA NINI KIMETOKEA
KWA MWANAUME UKILALA NA MWANAMKE UKIWA UMELEWA INAEZEKANA KESHO USIPATE HISIA
NDO MAANA WAHUNI WANAOLEWESHA WANAWAKE KUWAINGILIA KIMWILI WANAWAKE HAO HUTAMBUA WAKIZINDUKA MAANA MAUMBILE YAO HUTUNZA KUMBUKUMBU WALIINGILIWA, HI HAITOKEI KWA MWANAUME


PIA UKIANGALIA LUTU ALIISHI SODOMA NA GOMORA, NCHI ILIYOJAA UFUSKA WA KILA AINA, SI AJABU WANAWE WALIATHIRIKA NA TABIA ZA NCHI HIYO!!!


(4) MTUME MUHAMADI KUMUOA BI AISHA NA NABII LUTU KUTEMBEA NA BINTI ZAKE NANIVYUKO SAHIHI?

WOTE HAWAKO SAHIHI, WALIFANYA MAKOSA, MAANA NI BINADAMU NA SIO WAKAMILIFU!!!


(5) SWALI LA NYONGEZA:
MTU AKIWA AMELEWA KIASI KWAMBA HAJITAMBUI, ANAWEZAJE KUSIMAMISHA MASHINE NA KUSHIRIKI TENDO?

LEO USIKU NENDA BAA, AGIZA BAPA MBILI ZA KONYAGI, CHANGANYA NA SHOT KADHAA ZA JOHN WALKER, KISHA FANYA MAJARIBIO UTAPATA JIBU

UNADHANI KWANINI MADADA POA WENGI HUKAA BAA, NA KWA NINI WATU WENGI WAKILEWA DISKO HUENDA KUZINI USIKU HUO HUO???

(B) Pia ukisoma 1 WAKORINTHO 1:25 utakutana na ukakasi mkubwa wa MWENYEZI MUNGU kufananishwa na UPUMBAVU au tuseme MWENYEZI MUNGU ameitwa MPUMBAVU KABISAAAA ndani ya BIBLE.

inaonekana hukusoma literature na fasihi sekondari, maana ungesoma basi ungejua lugha za picha na vitu kama hivi
metaphor, simile, alliteration, metonymy, synecdoche, and personification.

kwa leo tuishie apa.
asante
 
Kwamba watu walilaaniwa kwa makosa ambayo sio yao?

Kama waliolaaniwa ni Lutu na watoto zake wawili aliolala nao sawa, ila kama waliolaaniwa ni pamoja na watoto waliopatikana baada ya Lutu kuzaa na wanae basi sio sahihi.

Hao watoto waliozaliwa kulaaniwa ni kuwaonea maana hawakutaka kuzaliwa hivyo.

Naomba nieleweshe hapa waliolaaniwa ni kina nani?
Hao watoto waliozaliwa nje ya utaratibu

Kuna kanuni za kiMungu kama hizi

Kutoka 20:5 Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, Bwana, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,

Wewe unavosema wanaonewa ndio hauko sahihi.

Inabidi tufike mahali tutambue ukubwa wa dhambi. Dhambi mtu anayofanya leo haimdhuru yeye tu bali hata watoto na wajukuu zake.

Hili ni muhimu kulijua. Ndo maana ukija kuangalia hao wamoabu walikuja kuwa watu wa zinaa tu na waliwarubuni waisrael kulala nao na kuabudu miungu yao kwa kushiriki ngono kama mama zao walivofanya huko zamani!!

Mshahara wa dhambi ni mauti ndugu hio ni kanuni ingine. Mauti inatafuna kuanzia muanzilishi wa dhambi mpaka kitukuu

Ndo maana Adamu alifanya dhambi ila binadamu wote wameathirika


Anayeweza kukata huo mnyororo ni Bwana Yesu tu.
 
Uk
Kwa wenzetu wazungu ba waarabu husikii haya mambo
Ukijadili maendeleo hakuna anayechangia watu wanapenda mada za "kula tunda kimasihara" huko ndo kuna changamka

Bora hawa wajadili hizo dini kujua hatima yao baada ya maisha ya hapa duniani.

Cha muhimu kuheshimiana na kuwa na akili tunduizi!
 
Embu Waafrika Mjitambue haya mashindano ya kidini yamewapa faida gani Ina maana hakuna kitu Cha kujadili kabisa ni Dini Biblia na Quran
Competition zipo nyingi kuna Simba na Yanga,Dar na Arusha USA Ukraine v NATO Dar v Nairobi CCM v Chadema Ruto v Odinga so unachagua uruke na mjadala upi full demokrasia.
 
Hapo mnapokamamaa kuleta ushahidi wa ubaya wa Muhammad mnaniacha hoi kitu kimoja tu. Kutumia kingereza.
Kwanini hamtaki kuchukua maandishi yaliyoandikwa kwa lugha ya kiswahili? Ubaya wa Muhammad unapatikana kwa lugha ya kingereza tu? Kuna nini kimo kwenye hayo maandiko? Au maandiko ya kiswahili ubaya wa Muhammad hakuna?
Nina kitabu cha kingereza wewe kama unachakiswahili kinacho kuzuia ni kipi?
soma
Muhammad karuhusiwa kufanya uzinzi na Allah akampa kabisa aya mwanamke yeyeto aende kwa muhammad akafanye ngono nae, Aisha akawa akiwaona wamejipanga wanasubiria kupigwa show anasema ni Disgusting
I used to look down upon those ladies who had given themselves to Muhammad (ﷺ) and I used to say, "Can a lady give herself (to a man)?" But when Allah revealed: " Muhammad can postpone whom you will of them , and you may receive any of them whom you will; and there is no blame on you if you invite one whose turn you have set aside (temporarily).' (33.51) I said (to the Prophet), "I feel that your Lord hastens in fulfilling your wishes and desires."Sahih al-Bukhari 4788
 
Aya za kizungu? Mbona umeshibdwa kuweka za kiswahili?
Usijifiche kwenye lugha , nimeweka surah na verse number vipo wazi kabisa
aya twende kazi pangua moja moja
  • Muhammad karuhusiwa kufanya uzinzi na Allah akampa kabisa aya mwanamke yeyeto aende kwa muhammad akafanye ngono nae, Aisha akawa akiwaona wamejipanga wanasubiria kupigwa show anasema ni Disgusting
  • I used to look down upon those ladies who had given themselves to Muhammad (ﷺ) and I used to say, "Can a lady give herself (to a man)?" But when Allah revealed: " Muhammad can postpone whom you will of them , and you may receive any of them whom you will; and there is no blame on you if you invite one whose turn you have set aside (temporarily).' (33.51) I said (to the Prophet), "I feel that your Lord hastens in fulfilling your wishes and desires."Sahih al-Bukhari 4788
  • Kula mjakazi, muhammad aifumaniwa anatafuna house girl , akajiapiza hatarudia , allah akashusha aya akamkanya sana asiche kula kwani ni haki yake
    • Koran 66:1. Ewe Muhammad! Kwa nini unaharimisha alicho kuhalilishia Allah?....
  • Bado wake zake wawili wakawa wanamletea noma sana , Allah akasema kama wataendelea anashuka na jeshi la malaika na waumini wote duniani kupigana na wanawake hao wawili wanaomkataza muhammad kula mjakazi
    • Koran 66:4. Kama nyinyi wawili hamkutubia kwa Allah, basi nyoyo zenu zimekwisha elekea huko. Na mkisaidiana dhidi yake muhammad, basi hakika Allah ndiye kipenzi chake, na Jibrili, na Waumini wema, na zaidi ya hayo Malaika pia watasaidia.
  • Allah akasema Mwanamke muhumini yupo huru kwenda kwa muhammad akajitoe kwa muhammad bila mahari
    • Koran 33:50 ....na mwanamke Muumini akijitoa mwenyewe kwa Nabii,.....
  • Muhammad alitamani mke wa mtoto wake wa ku adopt , allah akaja haraka akamwambia kwa nini unajizuia nilichokuruhusu mchukue, Allah akasababisha mtoto wa muhammad amuache mke wake, na akapiga marufuku ku adopt mtoto kuanzia siku hiyo
    • Koran 33:37. Na ulipo mwambia yule Allah aliye mneemesha, nawe ukamneemesha: Shikamana na mkeo, na mche Allah. Na ukaficha nafsini mwako aliyo taka Allah kuyafichua, nawe ukawachelea watu, hali Allah ndiye mwenye haki zaidi kumchelea. Basi Zaid alipo kwisha haja naye tulikuoza wewe,
  • Allah akaona haitoshi akampa leseni ya dhambi kabisa
    • 48:2 That Allah may forgive thee of thy sin that which is past and that which is to come.....
 
Habarini wana JF,

Tuanze,

(A) Ukisoma MWANZO 19:30—38 kuna ukakasi mkubwa na mashaka makubwa juu ya hiyo Aya. Acha niinukuu.

MWANZO 19:30—38
Mwanzo 19:30-38 ( Lutu akapanda kutoka Soari akakaa mlimani, na binti zake wawili pamoja naye, kwa sababu aliogopa kukaa katika Soari. Akakaa katika pango, yeye na binti zake wawili.
Yule mkubwa akamwambia mdogo, Baba yetu ni mzee, wala hakuna mtu mume katika nchi atuingilie kama ilivyo desturi ya dunia yote.

Haya, na tumnyweshe baba yetu mvinyo, tukalale naye, ili tumhifadhie baba yetu uzao.

Wakamnywesha baba yao mvinyo usiku ule, akaondoka huyo mkubwa akalala naye, wala yeye hana habari alipolala wala alipoondoka.

Ikawa siku ya pili, mkubwa akamwambia mdogo, Tazama, nimelala jana na baba yangu, tumnyweshe mvinyo tena usiku huu, ukaingie ukalale naye.

Wakamnywesha tena baba yao mvinyo usiku ule, akaondoka mdogo akalala naye, wala yeye hana habari alipolala wala alipoondoka.

Basi hao binti wote wawili wa Lutu wakapata mimba kwa baba yao.
Yule mkubwa akazaa mwana, akamwita jina lake Moabu; huyo ndiye baba wa Wamoabi, hata leo.

Na yule mdogo naye akazaa mwana akamwita jina lake Benami; huyo ndiye baba wa Waamoni hata leo.)

Ukisoma hiyo aya kuna mashaka Makubwa ya Nabii Lutu kudhalilishwa kiasi hicho, inawezekanaje Nabii Lutu katembea na Binti zake ndani ya Biblia na kuwapa Mimba? Tena alinyeshwa mvinyo(POMBE) kwa siku mbili mfululizo na kuwatombaz binti zake na kuzaa nao. Hii nadhani ni laana na hiki kizazi ni cha laana. Sasa sijui Bible nzima itakuwa na Laana au itakuwaje!!!

Kuna watu humu walikuwa wanamkashifu Mtume Wetu kwa kumuoa Bi Aisha, tena alimuoa kwa Ndoa kabisa. Na miaka hiyo Bi Aisha alikuwa ameshabalehe tayari.

MASAWLI

(1) JE, NI SAHIHI NABII LUTU KUTEMBEA NA BINTI ZAKE?

(2) HUYU NABII LUTU(NDUGU YAKE NA NABII IBRAHIMU) HAMUONI KAMA AMEDHALILISHWA NDANI YA BIBLIA?

(3) KWANI SIKU YA KWANZA KATEMBEA NA MKUBWA NA HAKUSHTUKA NA KESHO YAKE SIKU YA PILI AKATEMBEA NA MDOGO?

(4) MTUME MUHAMADI KUMUOA BI AISHA NA NABII LUTU KUTEMBEA NA BINTI ZAKE NANIVYUKO SAHIHI?

(5) SWALI LA NYONGEZA:
MTU AKIWA AMELEWA KIASI KWAMBA HAJITAMBUI, ANAWEZAJE KUSIMAMISHA MASHINE NA KUSHIRIKI TENDO?

(B) Pia ukisoma 1 WAKORINTHO 1:25 utakutana na ukakasi mkubwa wa MWENYEZI MUNGU kufananishwa na UPUMBAVU au tuseme MWENYEZI MUNGU ameitwa MPUMBAVU KABISAAAA ndani ya BIBLE. Acha niinukuu Aya.

1 WAKORINTHO 1:25
1 Wakorintho 1:25 (Kwa sababu upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya wanadamu, na udhaifu wa Mungu una nguvu zaidi ya wanadamu.)

Kwa upande wangu huo ni udhalilishaji Mkubwa wa Mungu ndani ya Biblia kwa kuambiwa Mpumbavu na pia kuambiwa ni Mdhaifu.

Chukulia uko Sebuleni na Baba yako Mzazi, alafu ghafla wakati mnaongea Mwambie hivi:-

“Unajua Baba wewe ni Mpumbavu ila upumbavu wako sio sawa na huyo jirani yetu Muuza duka hapo nje”

Alafu baada ya hapo msikilizie Baba yako atakavyokasirika, Sasa chukulia ndio anaambiwa Mungu katika hilo andiko hasira zake na gadhabu zitakuwa mara ngapi ya Baba yako na huo Moto wake siku ya Mwisho sijui itakuwaje.

MASWALI

(6) NI SAHIHI MUNGU KUFANANISHWA NA UPUMBAVU?

(7) JE KWELI MUGU NI MPUMBAVU NA NI DHAIFU?

Naombeni Majibu,
Nawasilisha.
Kwangu mm nasema "HAKIKA MUNGU WETU YUPO(YU HAI) BILA SHAKA YEYOTE PHYSICALLY AND EMOTIONALLY LAKINI HIVI VITABU TAKATIFU(VIWILI) TULIVYOLETEWA VINA UBINADAMU NDANI YAKE TENA MWINGI TU"
USHAURI WANGU: TAFUTA NAMNA BORA YA KUWASILIANA NA MUNGU WAKO DIRECT hakika utanikumbuka.
 
Umeshaambiwa luthu aliwachakata akiwa tungi, kwaiyo apo iliyodharilika ni pombe sio yeye
 
Back
Top Bottom