Maandiko haya mbona kama yana ukakasi na mashaka makubwa?

Ila Wakristo wenzako wanakataa hakuwa Nabii
Binadamu tunapishana level ya maarifa lakini whether ni Nabii or not it doesn't change anything. The story was told as it happened. What they did was wrong and God didn't approve and it has been shown in History of Ammonites and Moabites.
 
I always find myself sorry for whoever underestimate Blackman everyone thinks to be better than the other and you know what that's actually the meaning of stupidity. wrong Quotation again from Xin Jinping
Black men lack collective intelligence, which is the ability of a crowd to make wise, brilliant decisions and execute it. Individually black men are intelligent and smart, some are even highly gifted intellectually, but evidence has not pointed us to any instance where groups of Black men have made smart decisions that positively affect and improve their quality of life.
 
Sisi kwetu hakulala na Binti zake ndio mana ni Nabii
Nimeweka utofauti wa Allah na Jehovah kwa kutumia maandiko
Jehovah anachukia dhambi na biblia imeandika mpaka maisha ya dhambi ya watu wengi tu kina Daudi kina Suleiman , na unaona mfano Daudi kafanya dhambi na adhabu unaiona

Allah kwake hakuna dhambi
Ndio maana unaona wewe apo amekufanya uone kawaida kabisa kama kisa Cha Muhammad kuoa mtoto wa miaka 6 Yani waislamu mnaona ni sawa na Allah pia
 
Ifike mahali tuwe na ustaarabu na kuheshimu dini za watu n jambo la ajabu sana TANZANIA leo et mtu unakaa mbele za watu ati unakosoa vitabu vya dini flani mi sioni km kun umhm wa kufnya hvyo cha mxingi kil mmj aamin kwa iman yake n misingi anayoon yy itamp uzima na itamfaa #UDINI_sio inshu nchi zinapgan kila sku lkn nchi yetu ina mixingi mizur wew unakaa unaanza kukosoa au kutfta madhaifu ya dini as if huna kazi za kufanya ifike mahali tutafte pesa na tutunze aman ya nchi yetu hayo mmb hayatatufikisha popote
 
Pia usomaji mzuri wa Biblia ni ule ambao msomaji anasoma huku akiwa na hali ya kupambanua mema na mabaya. Tena asome kwa ajili yake binafsi na siyo kumsomea mwingine au kwenda kushindana na kutafuta mapungufu
 
Tatizo waislamu wanafananisha biblia na Quran lakin ni vitabu viwili tofauti
Actually wanafosi iwe hivyo ili wapate aunthencity ionekane kuwa tunaabudu the same God ila tumekengeuka kitu ambacho sio cha kweli.
Christianity and The Bible never changed.Stories were told as they happened.
 
Kwanza ujue Kuna watu walioegemea dini na Kuna watu wanaofuata Imani, hawa ni watu tofauti wanaolinganishwa
 
Tena kamuoa akiwa na miaka 6 akashiriki naye tendo akiwa na miaka 9.

Imagine a full grown man at night anaingia kwenye hema ya katoto ka miaka 9 na kushiriki nako tendo. Just imagine.
 
Tena kamuoa akiwa na miaka 6 akashiriki naye tendo akiwa na miaka 9.

Imagine a full grown man at night anaingia kwenye hema ya katoto ka miaka 9 na kushiriki nako tendo. Just imagine.
Dhambi kwa Allah Kwa mtume wake hakuna , NDio maana unaona child molester hakuna karipio la Allah wala hakuna kutubu kwa Muhammad
 
Makachu Allah Kwa Muhammad alikuwa analeta mpaka verse kumruhusu kufanya dhambi

Muhammad karuhusiwa kufanya uzinzi na Allah akampa kabisa aya mwanamke yeyeto aende kwa muhammad akafanye ngono nae, Aisha akawa akiwaona wamejipanga wanasubiria kupigwa show anasema ni Disgusting
I used to look down upon those ladies who had given themselves to Muhammad (ο·Ί) and I used to say, "Can a lady give herself (to a man)?" But when Allah revealed: " Muhammad can postpone whom you will of them , and you may receive any of them whom you will; and there is no blame on you if you invite one whose turn you have set aside (temporarily).' (33.51) I said (to the Prophet), "I feel that your Lord hastens in fulfilling your wishes and desires."Sahih al-Bukhari 4788
 
Aisha alikuwa anaona kinyaa wanawake kuja kujipanga kwa muhammad awapige mkuyati , Allah ndie kashusha Aya kuruhusu hilo ,

Aisha akawa anamwambia Muhammad naona mungu wako anajali Sana πŸ˜‚ dudu Yako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

I used to look down upon those ladies who had given themselves to Muhammad (ο·Ί) and I used to say, "Can a lady give herself (to a man)?" But when Allah revealed: " Muhammad can postpone whom you will of them , and you may receive any of them whom you will; and there is no blame on you if you invite one whose turn you have set aside (temporarily).' (33.51) I said (to the Prophet), "I feel that your Lord hastens in fulfilling your wishes and desires."Sahih al-Bukhari 4788
 
Hapana mzee,Lutu alikuwa ni jamaa tu wa Ibrahimu,kwanza pia hakuna Biblical records zikizungumzia Abrahamu kumfundisha mtu yeyote much less Lutu. Na hata kama angekuwa amefundishwa na Abraham bado haimfanyi kuwa nabii.
Biblia haijaweka wazi mambo mengi sana mzee, Kuna mambo mengi sana hayajaandikwa kwenye Biblia ambayo yalipaswa pia kuandikwa ila yameandikwa haya machache tu kwa ajili ya msomaji kuamini na pia kumpatia mwongozo
 
Actually wanafosi iwe hivyo ili wapate aunthencity ionekane kuwa tunaabudu the same God ila tumekengeuka kitu ambacho sio cha kweli.
Christianity and The Bible never changed.Stories were told as they happened.
Wanatumia nguvu kubwa sana na hii inferiority complex ilianzia kwa mtume Muhammad
 
Jamaa alikua sex predator
 
Hivi Manabii wa Sasa na Lutu nani ni zaidi?

Hivi hujui Lutu alitembelewa mpaka na Malaika? Manabii wa sasa wametembelewa na Malaika gsni?
Hakuna zaidi kati ya Lutu na manabii wa siku hizi, mtu ni mtu tu kwa kuwa mtu ni roho ina nafsi inaishi katika mwili. Kuona Malaika yeyote yule anaweza kuona ila kuelewa huyu ni Malaika inategemea sana na kiwango cha kiroho cha mtu husika na hasa hasa ufahamu alionao
 
Na tena hutegemea sana kusudi lililokusudiwa mtu huyo kumwona Malaika. Kama ni msomaji wa Biblia utakuwa umenielewa bila shaka
 
Biblia haijaweka wazi mambo mengi sana mzee, Kuna mambo mengi sana hayajaandikwa kwenye Biblia ambayo yalipaswa pia kuandikwa ila yameandikwa haya machache tu kwa ajili ya msomaji kuamini na pia kumpatia mwongozo
Ni kweli na ndo maana nakataa kumpa mtu status ambayo Biblia haikumpa. Kama Mungu angetaka tumtambue mtu kama Nabii angeainisha tu hata kwa mstari mmoja. Though sijamuondolea status ya kuwa mtu mwema.
 
Ungejiuliza kwa Adam. Je ni sahihi kumwoa mtu aliyetoka ubavuni pake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…