Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Je, unaweza kuthibitisha hilo?Habari yako imekaa kiimani zaidi.
Kwasababu habari ya Mungu na shetani ni hadithi tu
Hakuna Mungu, hakuna shetani katika ulimwengu halisi.
Yote haya ni mapokeo ya kidini yanayopandikizwa vichwani mwa waamini ili kuzifurahisha hisia zao.
Unaelewaje ^usizitegemee akili zako mwenyewe^ na ^usizitumie akili zako^?Bado kauli hii ina ukakasi, nadhani na wewe unajua ila hautaki tu kukiri
Ukatoliki ndio umekuwa ukifundisha tangu karne na karne hadi sasa kwamba fikra ya mwanadamu haipaswi kuwa huru nje ya mafundisho ya Ukatoliki.Hili si kweli, hata maneno yako yanakiri kwamba binadamu hatakiwi kufuata utashi wake mwenyewe
Kama nilivyojibu kwenye swali lililopita, si kweli hata kidogo kwamba mwanadamu akiwa chini ya mamlaka ya Mungu hawezi kupata maendeleo na wala kufanikiwa.ambayo kwa tafsiri nyingine utashi huo unaweza kuhusishwa na kutafuta maarifa na maendeleo.
Elimu nzito katika mistari michache.Shetani yupo na kwa kweli kwa asili yake ni kiumbe mwenye nguvu nyingi mno kulinganisha na viumbe wengine wema na wabaya. Hata kati ya malaika shetani ni malaika wa daraja ya juu sana! Yapo madaraja 9 ya malaika (angelic hierarchies) or angelic choirs kama ifuatavyo:
Seraphims
Cherubim
Thrones
Dominions
Virtues
Powers
Principalities
Archangels
Angels
Shetani yupo katika kundi la pili la malaika yaani Cherubims (Makerubi)!!!
Kundi la pili kutoka mwisho ni malaika wakuu (archangels) mfano wao ni Michael, Gabriel na Rafael. Hawa tu wanatisha na wana nguvu za ajabu mno na hutawala juu ya makundi na makundi ya malaika!!
LAKINI USIOGOPE! Thanks to God! Shetani amefungwa sana hapo alipo yeye pamoja na malaika wenzake walioasi ambapo wengine nao ni mi-viumbe ya hatari iliyopo kwenye rank za juu sana na yenye uwezo wa kutisha!
Kwa kifupi jua kwamba Shetani na malaika zake hawajaachwa wafanye watakavyo ulimwenguni, God is in control. Pia jua kwamba pamoja na nguvu za ajabu walizopewa viumbe hawa, bado Mungu ni mkuu mno na hawezi kamwe kufananishwa hata kidogo na Maserafi (Seraphims)!!!
Sitazungumzia: Utukufu wa Mwanadamu na nafasi yake kati ya malaika. Ila Mungu asifiwe sana kwa jinsi alivyotuumba!!!
Mwisho: Jua pia kuna viumbe wengine walio pale Patakatifu pa Patakatifu juu ya majeshi ya malaika kama wale Wazee Wanne n..k. na kuna hatua zisizopimika kabla ya kumfikia boss mwenyewe; M.U.N.G.U.!!!
Shetani anaishi kwa malengo. Tangu aasi mbinguni na kutupwa chini, na kuiweka dunia chini ya mamlaka yake, hufanya kila jitihada za kuongeza raia wa ufalme wake.Kazi kweli kweli
Bado haujajibu swali langu. Sijaongea mpaka umsujudie shetani, nimeongea kwa utashi wake mwenyewe hawezi kuleta hivyo?
Anayeweza kuwa kila pahali kwa wakati mmoja ni Mungu Mwenyezi pekee, wengine wote huwa pahali pamoja kwa wakati mmoja.Ni katika ile miaka elfu baada ya watakatifu kuingia mbinguni, ndipo Shetani atakuwa ^amefungwa asirande rande^ ili asiweze kumdanganya yeyote. Ufunuo 20:1-3.
Baada ya miaka hiyo elfu, ndipo ataangamia na kutoweka milele yeye, malaika zake waovu pamoja na wanadamu wafuasi wake ambao wamechagua kumfuata na kumtumikia, badala ya kumtii Mungu. Ufunuo 20:14.
Kabla ya muda huo, Shetani yuko kila mahali duniani alikotupwa (Ufunuo 12:9), baada ya Mikaeli kumshinda katika vita mbinguni.
Ibilisi yuko mitaani, nyumbani, kanisani, msikitini, kwenye baa, baharini, msituni, angani, na kila mahali duniani.
Okay nafikiri kuna watu wana shuhuda za kweli za matukio ya kweli ya kujichanganya na kufanya kazi na shetani ni kweli shuhuda hizi zinasisimua na kufungua macho sana. Kama unapenda story hizo nitakuelekeza wapi utazipata.Hizi ni nadharia ambazo ndiyo zinatufanya tushindwe kuyaelewa haya mambo. Naomba turudi kwenye uhalisia wa kweli wa maisha
Sahihi.Anayeweza kuwa kila pahali kwa wakati mmoja ni Mungu Mwenyezi pekee
Sahihi.wengine wote huwa pahali pamoja kwa wakati mmoja.
Siyo kweli.Shetani kamwe siku hizi hana access ya moja kwa moja na wanadamu,
Sahihihutumia human agents kuwafikia wanadamu.
Kuzimu ni nini na wapi? Unapaelewaje?Hata wazamia kuzimu hukutana na kiumbe mwenye kubadilika badikika aijitambuisha kama Shetani lakini sio, ila ni human agent wake, mostly a powerful marine spirit ajilikanaye pia kama Queen of the Coast.
Biblia ina mashairi, mithali na hekima, historia, unabii, vielelezo ama mifano, sheria, riwaya na visa, falsafa, sayansi, nk.Biblia imeandikwa kwa lugha ya picha na inahitaji tafsiri nzuri, maarifa ya kiroho, na taarifa kutoka kwenye shuhuda zilizothibitika.
Makerubi sio malaika, ni sawa na kusema kingdom ya wanyama kuna akina simba,nyati,chui, ng'ombe mpaka binadamu.Shetani yupo na kwa kweli kwa asili yake ni kiumbe mwenye nguvu nyingi mno kulinganisha na viumbe wengine wema na wabaya. Hata kati ya malaika shetani ni malaika wa daraja ya juu sana! Yapo madaraja 9 ya malaika (angelic hierarchies) or angelic choirs kama ifuatavyo:
Seraphims
Cherubim
Thrones
Dominions
Virtues
Powers
Principalities
Archangels
Angels
Shetani yupo katika kundi la pili la malaika yaani Cherubims (Makerubi)!!!
Kundi la pili kutoka mwisho ni malaika wakuu (archangels) mfano wao ni Michael, Gabriel na Rafael. Hawa tu wanatisha na wana nguvu za ajabu mno na hutawala juu ya makundi na makundi ya malaika!!
LAKINI USIOGOPE! Thanks to God! Shetani amefungwa sana hapo alipo yeye pamoja na malaika wenzake walioasi ambapo wengine nao ni mi-viumbe ya hatari iliyopo kwenye rank za juu sana na yenye uwezo wa kutisha!
Kwa kifupi jua kwamba Shetani na malaika zake hawajaachwa wafanye watakavyo ulimwenguni, God is in control. Pia jua kwamba pamoja na nguvu za ajabu walizopewa viumbe hawa, bado Mungu ni mkuu mno na hawezi kamwe kufananishwa hata kidogo na Maserafi (Seraphims)!!!
Sitazungumzia: Utukufu wa Mwanadamu na nafasi yake kati ya malaika. Ila Mungu asifiwe sana kwa jinsi alivyotuumba!!!
Mwisho: Jua pia kuna viumbe wengine walio pale Patakatifu pa Patakatifu juu ya majeshi ya malaika kama wale Wazee Wanne n..k. na kuna hatua zisizopimika kabla ya kumfikia boss mwenyewe; M.U.N.G.U.!!!
Mmelishwa Matango pori. Hakuna kitu kiitwacho shetani. Hizo ni nadharia za kuwapumbaza. Ebu fanya kama shetani hayupo, je Mungu atakuwepo?Shetani yupo na kwa kweli kwa asili yake ni kiumbe mwenye nguvu nyingi mno kulinganisha na viumbe wengine wema na wabaya. Hata kati ya malaika shetani ni malaika wa daraja ya juu sana! Yapo madaraja 9 ya malaika (angelic hierarchies) or angelic choirs kama ifuatavyo:
Seraphims
Cherubim
Thrones
Dominions
Virtues
Powers
Principalities
Archangels
Angels
Shetani yupo katika kundi la pili la malaika yaani Cherubims (Makerubi)!!!
Kundi la pili kutoka mwisho ni malaika wakuu (archangels) mfano wao ni Michael, Gabriel na Rafael. Hawa tu wanatisha na wana nguvu za ajabu mno na hutawala juu ya makundi na makundi ya malaika!!
LAKINI USIOGOPE! Thanks to God! Shetani amefungwa sana hapo alipo yeye pamoja na malaika wenzake walioasi ambapo wengine nao ni mi-viumbe ya hatari iliyopo kwenye rank za juu sana na yenye uwezo wa kutisha!
Kwa kifupi jua kwamba Shetani na malaika zake hawajaachwa wafanye watakavyo ulimwenguni, God is in control. Pia jua kwamba pamoja na nguvu za ajabu walizopewa viumbe hawa, bado Mungu ni mkuu mno na hawezi kamwe kufananishwa hata kidogo na Maserafi (Seraphims)!!!
Sitazungumzia: Utukufu wa Mwanadamu na nafasi yake kati ya malaika. Ila Mungu asifiwe sana kwa jinsi alivyotuumba!!!
Mwisho: Jua pia kuna viumbe wengine walio pale Patakatifu pa Patakatifu juu ya majeshi ya malaika kama wale Wazee Wanne n..k. na kuna hatua zisizopimika kabla ya kumfikia boss mwenyewe; M.U.N.G.U.!!!
"Shetani" siyo kiumbe tofauti, ni binaadam mwenyewe, ushetani ni sifa tu.Kwanza naomba mods msihamishe uzi huu kwa kuupeleka kwenye jukwaa la dini maana nataka tumjadili huyu Shetani katika misingi ya maisha yetu ya kila siku na si katika misingi ya dini.
Naileta mada hii kwa tahadhari kubwa sana. Sina nia ya kumpromote huyu jamaa ila nadhani imefika wakati tumuangalie katika uhalisia. Siwezi kuimagine dunia bila kuwa na miongozo ya maisha yenye kusisitiza upendo, amani, mshikamano na umoja kati ya wanadamu. Miongozo yote hii tumeambiwa ndiyo njia ambayo Mwenyezi Mungu anataka tupite. Shetani kwa upande mwingine tumefundishwa, mambo yake na njia zake ni potofu, ovu na zitakazopelekea uangamie katika moto wa milele. Maandiko yameenda mbali zaidi na kutuambia tajiri atapata wakati mgumu sana kuuona ufalme wa Mungu. Hili jambo ukilifirkia vizuri, linafikirisha sana.
Kutokuwa na maarifa kumeelezewa katika maandiko kuwa ni kitu hatari na kibaya, lakini pia kuwa na maarifa na kwenyewe kumehusishwa na shetani kwa sababu kunaweza kumfanya mtu kuwa na majivuno na kwamba majivuno yanakuja kabla ya maangamizi. Kwa hiyo kiufupi maandiko yame discourage sana kuwa na maarifa kutokana na sababu nyingi ambazo ukiziangalia kweli zina mashiko.
Mimi nimeanza kufikiri kuna jinsi ambayo maandiko yamepotoshwa sehemu. Upotofu unaweza kuwa kwa njia ya kuficha taarifa muhimu kuhusu mtu au kitu fulani, taarifa ambazo kama ukiwa nazo zinaweza kubadili ufahamu wako kuhusu jambo hilo. Nayasema maneno haya kwa tahadhari kubwa naomba nieleweke vizuri. Nahisi kuna watu wamehodhi maarifa haya na wanayatumia kwa ajili ya ku control watu na dunia.
Tunaishi maisha ambayo hatujijui sisi ni nani, asili yetu, nguvu zetu na hata madhaifu yetu. Wakati huo huo ufahamu wa shetani ni mdogo saaana. Ukikaa ukafikiria jinsi gani hatumjui shetani utashangaa sana. Sun Tzu aliwahi kusema ili kumshinda adui yako inabidi kwanza ujijue wewe vizuri na umjue adui yako vizuri, hapo unajiweka katika nafasi ya kushinda vita. Kama Shetani ni adui yetu namba moja kama tunavyofundishwa, nadhani tuanze kwanza kufundishana ili mimi na wewe kila mmoja wetu ajijue YEYE NI NANI na pia kuwe na mafundisho ya kutosha na deep sana kuhusu Shetani.
Uzi huu ni wa maarifa hatari. Naomba tujadili mada hii kwa staha ili wote tutoke na kitu cha kutujenga katika maisha yetu hapa duniani.
Wow! Haya sasa ndiyo maarifa hatari."Shetani" siyo kiumbe tofauti, ni binaadam mwenyewe, ushetani ni sifa tu.
Shetani mbona tunaishi naye mkuu, kama wewe ni Muislam unafikiri unamuabudu nani?Kwanza naomba mods msihamishe uzi huu kwa kuupeleka kwenye jukwaa la dini maana nataka tumjadili huyu Shetani katika misingi ya maisha yetu ya kila siku na si katika misingi ya dini.
Naileta mada hii kwa tahadhari kubwa sana. Sina nia ya kumpromote huyu jamaa ila nadhani imefika wakati tumuangalie katika uhalisia. Siwezi kuimagine dunia bila kuwa na miongozo ya maisha yenye kusisitiza upendo, amani, mshikamano na umoja kati ya wanadamu. Miongozo yote hii tumeambiwa ndiyo njia ambayo Mwenyezi Mungu anataka tupite. Shetani kwa upande mwingine tumefundishwa, mambo yake na njia zake ni potofu, ovu na zitakazopelekea uangamie katika moto wa milele. Maandiko yameenda mbali zaidi na kutuambia tajiri atapata wakati mgumu sana kuuona ufalme wa Mungu. Hili jambo ukilifirkia vizuri, linafikirisha sana.
Kutokuwa na maarifa kumeelezewa katika maandiko kuwa ni kitu hatari na kibaya, lakini pia kuwa na maarifa na kwenyewe kumehusishwa na shetani kwa sababu kunaweza kumfanya mtu kuwa na majivuno na kwamba majivuno yanakuja kabla ya maangamizi. Kwa hiyo kiufupi maandiko yame discourage sana kuwa na maarifa kutokana na sababu nyingi ambazo ukiziangalia kweli zina mashiko.
Mimi nimeanza kufikiri kuna jinsi ambayo maandiko yamepotoshwa sehemu. Upotofu unaweza kuwa kwa njia ya kuficha taarifa muhimu kuhusu mtu au kitu fulani, taarifa ambazo kama ukiwa nazo zinaweza kubadili ufahamu wako kuhusu jambo hilo. Nayasema maneno haya kwa tahadhari kubwa naomba nieleweke vizuri. Nahisi kuna watu wamehodhi maarifa haya na wanayatumia kwa ajili ya ku control watu na dunia.
Tunaishi maisha ambayo hatujijui sisi ni nani, asili yetu, nguvu zetu na hata madhaifu yetu. Wakati huo huo ufahamu wa shetani ni mdogo saaana. Ukikaa ukafikiria jinsi gani hatumjui shetani utashangaa sana. Sun Tzu aliwahi kusema ili kumshinda adui yako inabidi kwanza ujijue wewe vizuri na umjue adui yako vizuri, hapo unajiweka katika nafasi ya kushinda vita. Kama Shetani ni adui yetu namba moja kama tunavyofundishwa, nadhani tuanze kwanza kufundishana ili mimi na wewe kila mmoja wetu ajijue YEYE NI NANI na pia kuwe na mafundisho ya kutosha na deep sana kuhusu Shetani.
Uzi huu ni wa maarifa hatari. Naomba tujadili mada hii kwa staha ili wote tutoke na kitu cha kutujenga katika maisha yetu hapa duniani.
Kwa maana hiyo Mohammed alishukiwa na mwanadamu mwenzake na kupewa haya za Qur'an? Kumbuka baada ya kushukiwa, Mohammed akawa kichaa na kupotea kusikojulikana kwa miaka kadhaa, kisha akarudi baada ya kupona ukichaa na kujifanya kashukiwa na Mungu na kupewa Qur'an. Usicheze na shetani wewe, uliza Mohammed akuambie ukweli."Shetani" siyo kiumbe tofauti, ni binaadam mwenyewe, ushetani ni sifa tu.
Sasa nimeharibu wapi hapa? Kuna nilichosema cha uwongo hapa?Nashukuru kwa mchango wako ila naomba usiharibu uzi tafadhali. Hakukuwa na haja ya kuandika hicho ulichoandika.