Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapotosha! Vita vya Iraq, Libya, Syria, Afghanistan na vikwazo wanavyowekewa Iran ni nchi tajiri kutaka kumonopolyse na kumiliki visima vingi vya mafuta na gesi! Mafuta hayatumiki kwenye magari tu.. Yanatumika katika products nyingi - mbolea, plastics, kuzalisha umeme etc. Hivyo bado yana hitajika kwa wingi sana.Ninaandika kwa mara nyingine kuhusu jambo hili ambalo wengi wenu hamtapenda kulisikia. Naandika kama mzalendo kwa nchi yangu Tanzania na sina interest nyingine yoyote kibiashara katika jambo hili. Naandika kwa kifupi tu hapa.
Ukweli ni kwamba dunia inakwenda kwa kasi sana. Mambo ya climate change sasa ni dhahiri na nchi zilizoendelea zimeonesha nia thabiti ya kuachana na mafuta ya miambani (fossil fuels) ambayo huchafua hewa na mazingira na kusababisha kuongezeka kwa joto na madhara ambatanishi.
Baadhi ya nchi za Ulaya kama Norway magari ya umeme yanazidi yale ya petrol/dizel na lengo ni kuondoa magari yatumiayo mafuta ifikapo 2030. Lengo hili limewekwa na nchi nyingi za Ulaya. China inaongoza kwa wingi wa magari ya umeme duniani ikiwa na magari milioni 7, ikifuatiwa na USA 2 milion na Germany 1.3 milioni.
Ukiangalia tunakokwenda utagundua kuwa future ya magari na mafuta ni fupi sana na sio zaidi ya miaka kumi kutoka sasa magari ya mafuta yatakuwa machache kuliko ya umeme duniani kote na hivyo soko la mafuta litaanguka.
Ndio kusema uwekezaji mkubwa ambao Tanzania na Uganda wanauweka kwenye bomba la mafuta ni upotevu wa fedha za maskini wa nchi hizi. Nani anawashauri viongozi wa nchi hizi?! Maaskofu katoliki acheni kuunga mkono msilolijua! Fuatilieni mambo yanayoendelea katika ulimwengu wa technologia ya engine za umeme na hydrogen, la sivyo mnachangia kuwafukarisha watanzania!
Nina uhakika bomba la mafuta la Hoima-Tanga litakuja kutumia kusafirisha maji ya kumwagilia kutoka ziwa Victoria na sio mafuta.
Ninaandika kwa mara nyingine kuhusu jambo hili ambalo wengi wenu hamtapenda kulisikia. Naandika kama mzalendo kwa nchi yangu Tanzania na sina interest nyingine yoyote kibiashara katika jambo hili. Naandika kwa kifupi tu hapa.
Ukweli ni kwamba dunia inakwenda kwa kasi sana. Mambo ya climate change sasa ni dhahiri na nchi zilizoendelea zimeonesha nia thabiti ya kuachana na mafuta ya miambani (fossil fuels) ambayo huchafua hewa na mazingira na kusababisha kuongezeka kwa joto na madhara ambatanishi.
Baadhi ya nchi za Ulaya kama Norway magari ya umeme yanazidi yale ya petrol/dizel na lengo ni kuondoa magari yatumiayo mafuta ifikapo 2030. Lengo hili limewekwa na nchi nyingi za Ulaya. China inaongoza kwa wingi wa magari ya umeme duniani ikiwa na magari milioni 7, ikifuatiwa na USA 2 milion na Germany 1.3 milioni.
Ukiangalia tunakokwenda utagundua kuwa future ya magari na mafuta ni fupi sana na sio zaidi ya miaka kumi kutoka sasa magari ya mafuta yatakuwa machache kuliko ya umeme duniani kote na hivyo soko la mafuta litaanguka.
Ndio kusema uwekezaji mkubwa ambao Tanzania na Uganda wanauweka kwenye bomba la mafuta ni upotevu wa fedha za maskini wa nchi hizi. Nani anawashauri viongozi wa nchi hizi?! Maaskofu katoliki acheni kuunga mkono msilolijua! Fuatilieni mambo yanayoendelea katika ulimwengu wa technologia ya engine za umeme na hydrogen, la sivyo mnachangia kuwafukarisha watanzania!
Nina uhakika bomba la mafuta la Hoima-Tanga litakuja kutumia kusafirisha maji ya kumwagilia kutoka ziwa Victoria na sio mafuta.
Swala la Ozone layer depletion siyo issue tena! Imetengenezwa. Imetengemaa kwa sasa.Yaani binadamu tumechelewa sana kuzuia matumizi ya mafuta (Fueli), maana Ozone layer imeishaharibika mno....jamani hima hima tuzuie matumizi ya fueli na kupunguza gesi ukaa
Mkipewa hela na mabosi wenu wa magharibi kuleni tu na familia zenu wala sisi mishipa haitupigi....ila MISHIPA inapwita pale tu mnapotaka kutufanya "mazwazwa" tuyaamini "matango pori" ya mabwana zenu hao.....Ninaandika kwa mara nyingine kuhusu jambo hili ambalo wengi wenu hamtapenda kulisikia. Naandika kama mzalendo kwa nchi yangu Tanzania na sina interest nyingine yoyote kibiashara katika jambo hili. Naandika kwa kifupi tu hapa.
Ukweli ni kwamba dunia inakwenda kwa kasi sana. Mambo ya climate change sasa ni dhahiri na nchi zilizoendelea zimeonesha nia thabiti ya kuachana na mafuta ya miambani (fossil fuels) ambayo huchafua hewa na mazingira na kusababisha kuongezeka kwa joto na madhara ambatanishi.
Baadhi ya nchi za Ulaya kama Norway magari ya umeme yanazidi yale ya petrol/dizel na lengo ni kuondoa magari yatumiayo mafuta ifikapo 2030. Lengo hili limewekwa na nchi nyingi za Ulaya. China inaongoza kwa wingi wa magari ya umeme duniani ikiwa na magari milioni 7, ikifuatiwa na USA 2 milion na Germany 1.3 milioni.
Ukiangalia tunakokwenda utagundua kuwa future ya magari na mafuta ni fupi sana na sio zaidi ya miaka kumi kutoka sasa magari ya mafuta yatakuwa machache kuliko ya umeme duniani kote na hivyo soko la mafuta litaanguka.
Ndio kusema uwekezaji mkubwa ambao Tanzania na Uganda wanauweka kwenye bomba la mafuta ni upotevu wa fedha za maskini wa nchi hizi. Nani anawashauri viongozi wa nchi hizi?! Maaskofu katoliki acheni kuunga mkono msilolijua! Fuatilieni mambo yanayoendelea katika ulimwengu wa technologia ya engine za umeme na hydrogen, la sivyo mnachangia kuwafukarisha watanzania!
Nina uhakika bomba la mafuta la Hoima-Tanga litakuja kutumia kusafirisha maji ya kumwagilia kutoka ziwa Victoria na sio mafuta.
[emoji7][emoji7]Usitishwaji wa matumizi ya mafuta lazima kuendane na usitishwaji wa utengenezaji wa magari yanayotumia mafuta, sasa tujiulize, uwepo wa magari yanayotumia mafuta bado tutaendelea kuwa nayo kwa miaka mingapi ijayo?
Nionavyo, hii issue ni process, na kama ni process hatuwezi kusubiri mpaka siku tusiyoijua ili matumizi ya magari yanayotumia umeme yaanze kufanya kazi.
Kama tumeshaingia gharama kwenye shughuli za uchimbaji mafuta, basi tuendelee na uchimbaji mpaka pale hali ya mambo itakapobadilika kwenye soko, ili angalau turudishe sehemu ya gharama tulizokwisha ingia, kuliko kujidai tunashindana na dunia ambayo hatuujui mwisho wake.
[emoji120][emoji120]Kwa Afrika tutaendelea yatumia Mafuta hadi 2070
Kama bado kuna magari ya mwaka 1983 ambayo ni miaka 40iliyopita sembuse 2070 huko
[emoji1787][emoji1787][emoji120][emoji7][emoji7]Mkiendaga shule huwa mnasahau uhalisia wa maisha ya kwenu? Hadi 2021 hapa Tanzania kulikuwa na magari 7 tu katika watu 1000 ambapo USA ni magari 840 katika watu 1000. Na katika hayo magari 7 yote ni mtumba. Kwa takwimu hizo utaona ni kiasi gani tuko nyuma kabisa ya wakati. Sisi tupo kwenye level ambayo bado gari ni anasa na hatumudu. Bado tuna safari ndefu mno. Pia sio lazima malengo ya Ulaya/Amrica yafanane na yetu. Wakati wao wanajiwekea malengo ya kuachana na magari ya mafuta sisi ndo tunafikiria kuachana na kuni & mkaa.
Magari yanayotumiwa Africa yanatengebezwa na hao mabwanyenye na wameashaanza kupunguza utengenezaji wa magari ya mafuta na sasa wanaongeza utengenezaji wa magari ya umeme. Unaelewa nini maana yake au unaandika kisiasa tu?Mkipewa hela na mabosi wenu wa magharibi kuleni tu na familia zenu wala sisi mishipa haitupigi....ila MISHIPA inapwita pale tu mnapotaka kutufanya "mazwazwa" tuyaamini "matango pori" ya mabwana zenu hao.....
UCHIMBAJI WA MAFUTA ULIMWENGUNI
Ilikuwa ni bora TU binadamu asingeyachimba mafuta toka hapo AWALI;kwani yalipochimbwa tu UHARIBIFU WA MAZINGIRA UKAANZA....
Wao wameshajenga chumi zao zaidi ya karne moja leo hii ninyi "vibaraka koko" mnatutaka tucheze MAPAMBIO YENU?!!!![emoji849][emoji849][emoji849]
HILI HALIKUBALIKI KWETU WENYE FAHAMU NJEMA
HILI HALITOKUBALIKA KWA KILA ASIYEKUWA MGONJWA WA WODI NAMBA 14 YA DHARURA PALE HOSPITALI YA AFYA YA AKILI MIREMBE MJINI DODOMA.
HITIMISHO:
TUTAYACHIMBA MAFUTA YETU KWA FAIDA YETU NA WALA SI YA MABWANYENYE WACHACHE ULIMWENGUNI.
#SiempreJMT
#SiempreEAC
#SiempreSSH
#MAMAKAJA[emoji7][emoji7]
?Sasa ww inchi yako imeendelea?
Wao unaamini wameendelea lakini wamegundua kitu mbadala kwahiyo ni lazima wauze ili waendelee kuishia,hakuna sababu nyingine.Ninaandika kwa mara nyingine kuhusu jambo hili ambalo wengi wenu hamtapenda kulisikia. Naandika kama mzalendo kwa nchi yangu Tanzania na sina interest nyingine yoyote kibiashara katika jambo hili. Naandika kwa kifupi tu hapa.
Ukweli ni kwamba dunia inakwenda kwa kasi sana. Mambo ya climate change sasa ni dhahiri na nchi zilizoendelea zimeonesha nia thabiti ya kuachana na mafuta ya miambani (fossil fuels) ambayo huchafua hewa na mazingira na kusababisha kuongezeka kwa joto na madhara ambatanishi.
Baadhi ya nchi za Ulaya kama Norway magari ya umeme yanazidi yale ya petrol/dizel na lengo ni kuondoa magari yatumiayo mafuta ifikapo 2030. Lengo hili limewekwa na nchi nyingi za Ulaya. China inaongoza kwa wingi wa magari ya umeme duniani ikiwa na magari milioni 7, ikifuatiwa na USA 2 milion na Germany 1.3 milioni.
Ukiangalia tunakokwenda utagundua kuwa future ya magari na mafuta ni fupi sana na sio zaidi ya miaka kumi kutoka sasa magari ya mafuta yatakuwa machache kuliko ya umeme duniani kote na hivyo soko la mafuta litaanguka.
Ndio kusema uwekezaji mkubwa ambao Tanzania na Uganda wanauweka kwenye bomba la mafuta ni upotevu wa fedha za maskini wa nchi hizi. Nani anawashauri viongozi wa nchi hizi?! Maaskofu katoliki acheni kuunga mkono msilolijua! Fuatilieni mambo yanayoendelea katika ulimwengu wa technologia ya engine za umeme na hydrogen, la sivyo mnachangia kuwafukarisha watanzania!
Nina uhakika bomba la mafuta la Hoima-Tanga litakuja kutumia kusafirisha maji ya kumwagilia kutoka ziwa Victoria na sio mafuta.
leUnapotosha! Vita vya Iraq, Libya, Syria, Afghanistan na vikwazo wanavyowekewa Iran ni nchi tajiri kutaka kumonopolyse na kumiliki visima vingi vya mafuta na gesi! Mafuta hayatumiki kwenye magari tu.. Yanatumika katika products nyingi - mbolea, plastics, kuzalisha umeme etc. Hivyo bado yana hitajika kwa wingi sana.
Wazungu ameshindwa vita ya Ukrania kwa sababu Urusi ina mafuta mengi na gasi. Ukitaka kuachana na mafuta ni pale utakapo ona OPEC wamevunja ushirikiano wao. Lakini kwa sasa, bado wanadumisha shirikisho lao.
Usiwasikilize wazungu hawatutakii mema. Hii climate change haiwahusu OPEC? Inatuhusu sisi tu? Je! Kuna nchi imefanikiwa kupoza climate change? Hamna! Ni njia ya kupunguza maendeleo ya poor countries. Usiwasikilize.
Weka kumbukumbu utaniambia in five years tatizo watanzania tupo nyuma ya kila kitu haya tusubiri tuone.Mafuta bado yatatumika sana tu huku Afrika na duniani kote. Wakati nchi kama USA wana reserve ya mafuta ya miaka 50 wewe unasema miaka 10 mafuta yatakuwa hayatumiki!!? Nafikiri umekariri tu baada ya kusoma taarifa za magari ya umeme.
?Wewe unayachimba wapi?
Asante Fadhili, naona unataka tuendelee kuwa watumwa wa Waarabu!Ninaandika kwa mara nyingine kuhusu jambo hili ambalo wengi wenu hamtapenda kulisikia. Naandika kama mzalendo kwa nchi yangu Tanzania na sina interest nyingine yoyote kibiashara katika jambo hili. Naandika kwa kifupi tu hapa.
Ukweli ni kwamba dunia inakwenda kwa kasi sana. Mambo ya climate change sasa ni dhahiri na nchi zilizoendelea zimeonesha nia thabiti ya kuachana na mafuta ya miambani (fossil fuels) ambayo huchafua hewa na mazingira na kusababisha kuongezeka kwa joto na madhara ambatanishi.
Baadhi ya nchi za Ulaya kama Norway magari ya umeme yanazidi yale ya petrol/dizel na lengo ni kuondoa magari yatumiayo mafuta ifikapo 2030. Lengo hili limewekwa na nchi nyingi za Ulaya. China inaongoza kwa wingi wa magari ya umeme duniani ikiwa na magari milioni 7, ikifuatiwa na USA 2 milion na Germany 1.3 milioni.
Ukiangalia tunakokwenda utagundua kuwa future ya magari na mafuta ni fupi sana na sio zaidi ya miaka kumi kutoka sasa magari ya mafuta yatakuwa machache kuliko ya umeme duniani kote na hivyo soko la mafuta litaanguka.
Ndio kusema uwekezaji mkubwa ambao Tanzania na Uganda wanauweka kwenye bomba la mafuta ni upotevu wa fedha za maskini wa nchi hizi. Nani anawashauri viongozi wa nchi hizi?! Maaskofu katoliki acheni kuunga mkono msilolijua! Fuatilieni mambo yanayoendelea katika ulimwengu wa technologia ya engine za umeme na hydrogen, la sivyo mnachangia kuwafukarisha watanzania!
Nina uhakika bomba la mafuta la Hoima-Tanga litakuja kutumia kusafirisha maji ya kumwagilia kutoka ziwa Victoria na sio mafuta.
Watanzania wajinga sana. Mimi nafuatilia hiyo transition to electrical vehicles pamoja na projection zake. Wewe unafikiri kimhemko.Acha ujinga wako kwa hiyo hayo mafuta yapelekwe wap?