Maaskofu Katoliki acheni kuunga mkono bomba la mafuta. Nchi za zilizoendelea zinaondokana na matumizi ya mafuta sisi ndio tunataka kuanza kuyachimba!

Una wazimu sio bure...Watu wakiwa wapo kweny international exhibition ya maonyesho ya Akili bandia sisi hata automation bado hata integration kati ya TPA na TRA kimfumo ni mbovu.

Tanzania kutotumia mafuta ni mpaka 2070 huko na wewe utakuwa ushakufa..
 
Watanzania wajinga sana. Mimi nafuatilia hiyo transition to electrical vehicles pamoja na projection zake. Wewe unafikiri kimhemko.
unafuatilia ila hujui kitu .! kwani nan asiyejua kama bado tunaimport magari ya ya miaka 2010 yaani tupo nyuma sana...
 
Watanzania wajinga sana. Mimi nafuatilia hiyo transition to electrical vehicles pamoja na projection zake. Wewe unafikiri kimhemko.
Kumbe wewe sio Mtanzania!

Kafi.e mbali.
 
Kwa taarifa yako tu na uweze kujua jinsi ulivyo mjinga je unajua ni nchi gani Africa Mashariki na Kati inaongoza kwa wingi wa magari ya umeme? Soma: Tanzania leads switch to EVs in East Africa
 
 
Tanzania linapita tu na wanaotaka hayo mafuta ni Total, wakuwaambia waachane nayo ni Total. Toa sababu zingine za kimazingira za kutufanya Tanzania tusishitikiane na Uganda kukamilisha lengo la Total.
 
Wanaopinga bomba la mafuta na mafuta kutochimbwa Uganda ni wasichana wasiokuwa na adabu. Mafuta hayawezi Acha kutumika.
 
unafuatilia ila hujui kitu .! kwani nan asiyejua kama bado tunaimport magari ya ya miaka 2010 yaani tupo nyuma sana...
Hivi wewe unafuatilia EV and battery technology pamoja na maendeleo ya kuhamia kwenye renewable energy yanayofanywa na nchi zilizoendelea, au unafuatilia vilabu ya soka Ulaya siku nzima.
 
Hivi unawazidi Maaskofu kwa uelewa ??! Wenzio wanafikiria Miaka 100 mbeleni.
 
Hivi unawazidi Maaskofu kwa uelewa ??! Wenzio wanafikiria Miaka 100 mbeleni.
πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„ Nimesoma yote waliyosoma na sayansi pia. Maaskofu wengi ni vilaza wakubwa wa mambo ya technology na science.
 

Wewe mleta mada ni popoma wa kutupwa! Please soma kwanza details za NET ZERO CARBON AMBITIONS 2050 na uilewe! Sio kudandia train [emoji577] kwa mbele !! Exploration, extraction, atmospheric distillation of liquid hydrocarbons will not cease by 2050 ! Kinacho fanyika ni kuhakikisha uzalishaji wa mafuta (liquid hydrocarbons) utakua balanced kuhakikisha hewa ya ukaa (carbon dioxide) itokanayo na matumizi ya bidhaa hiyo ina balance na matumizi yake kwa mimea and otherwise! Including carbon capture technologies !

Zaidi ya hapo bomba la mafuta la Uganda [emoji1254] kuja Tanzania [emoji1241] life span Yake ni 25 years only na mafuta yanakwisha na shughuli hiyo kuisha!

Acha upopoma read widely!
 
Wao wana achana na matumizi ya mafuta kwa sababu wamesha pata njia mbadala, lakini huku uswahilini serikali imeshindwa kufanya gesi kua nishati kuu ya matumizi majumbani ndio wataweza kwenye viwanda na magari?
 
Huwezi kutenganisha Dunia na Nishati ya Mafuta. Never.
 
Kama haiwezekani kabisa basi kuna uwezekano mdogo kwa magari ya umeme kuchukua nafasi ya magari ya mafuta ulimwenguni kwa siku za hivi karibuni.Hii ni kutokana na upatikanaji hafifu wa malighafi ya kutengenezea mabetri yanayotumika kwenye magari ya umeme na uwepo wa wazalishaji wachache wa magari ya umeme ulimwenguni wanaozalisha magari ya umeme kwa kasi ndogo.Bomba la mafuta halitakuwa na hasara kwa wawekezaji ikiwa mambo yataenda kama yalivyokusudiwa licha ya changamoto ya uzalishwaji wa magari yanayotumia umeme kwani uhitaji wa mafuta bado ni mkubwa kwa watumiaji wa magari na uendeshaji wa baadhi ya mitambo.

Nawasilisha,

Article.
 
Yaani binadamu tumechelewa sana kuzuia matumizi ya mafuta (Fueli), maana Ozone layer imeishaharibika mno....jamani hima hima tuzuie matumizi ya fueli na kupunguza gesi ukaa
Mitambo ya viwanda vya wazungu na wachina ndio vinaharibu mazingira, wazime mitambo km hali isipobadilika
 
Sijaona Maaskofu wa Kanisa Katoliki wanaingiaje hapa kwenye mada yako
 
Sidhani kama tutarudisha gharama za uwekezaji. Nashauri tuachane kabisa na mambo ya kubahatisha matrilioni ya shilingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…