Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Ni huzuni kwa kweli![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio tuwe wengi, tufunge ndoa halali ya kidini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni huzuni kwa kweli![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio tuwe wengi, tufunge ndoa halali ya kidini.
Na hizo Nchi zote umetaja..!Hizi nchi zote zinaongea na kuelewa kiingereza kilichotumika kwenye waraka kuliko Tanzania na hadi zinapochukua uamuzi wa kupinga waraka hazijakurupuka, wameona waraka una matatizo, Iweje Papa aseme Ndoa iendelee kuwa ya Mwanaume na Mwanamke alafu kwa wakati huo huo anatoa ruhusa kwa makasisi kutoa baraka kwa wapenzi walio katika mahusiano ya jinsia moja ?
Baraza la maaskofu wa Malawi limetupilia mbali kabisa ombi la Papa Francis kuruhusu makasisi kuwapa baraka wapenzi walio katika mahusiano ya jinsia moja, Maaskofu hao wameweka msimamo wao hawatatoa baraka ya aina yoyote.
View attachment 2848629
Nao Baraza la maaskofu nchini Zambia wanaona anachofanya Papa sio sahihi na wamemwekea maandiko kabosa kwamba haawewezi kutoa baraka za aina yoyote za kitakatifu.
View attachment 2848630
View attachment 2848631
Kenya nao the same
View attachment 2848632
View attachment 2848633
Pole sana! Sisi wanakanisa tunaolewa tunadunda bila wasiwasi. Nyie wenye shida ya kuelewa shauri yenu na endeleeni kuhangaikia yasiyowahusu.TIMEWEISHA WAAMBIA UKWELI WOTE KUHUSU HILO KANISQ KAHABA.
ASOMAYE NA AFAHAMU, SINA DENI KWA MUNGU.
Je, Kanisa Katoliki ndiye mnyama wa nne duniani wa Unabii wa Daniel na Ufunuo?
Mnyama wa kitabu cha Ufunuo Watu wengi hawafahamu kuwa mnyama ni nani, na wengi wamejihusisha naye bila wao wenyewe kujua kama wanashiriki na mnyama. Lakini Mungu hajatuacha gizani, hivyo, kwa kupitia neno lake (Maadiko Matakatifu) tunaweza kumfahamu mnyama huyu aliyelezwa katika kitabu cha...www.jamiiforums.com
Argentina.Alichukuliwa Rio De Janeiro, [emoji1054]