Maaskofu Katoliki Malawi, Zambia, Kenya wamepinga waraka wa Papa Francis, Kwanini maaskofu Tanzania wapo kimya wakati hata waumini hatuungi mkono ?

Na hizo Nchi zote umetaja..!

Ziliweza kukiondoa Chama tawala (Kilicholeta Uhuru) Madarakani...!
 
Pole sana! Sisi wanakanisa tunaolewa tunadunda bila wasiwasi. Nyie wenye shida ya kuelewa shauri yenu na endeleeni kuhangaikia yasiyowahusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…