gemseeker23
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 354
- 246
sio kweli yesu hakuacha kanisa na isitoshe hakuwahi kuingia kanisani kanisa ni la yule muungwana aliekuwa akiwauwa je ni nani huyoYesu Kristo ndiye mkuu wa kanisa kwa msingi wa uumbaji na ukombozi wa mwanadamu.
Asili ya kanisa ni Yesu Kristo mwenyewe.