Tetesi: Maaskofu Katoliki wadaiwa kukutana na kujadili juu ya mkataba wa Serikali ya Samia na waarabu wa DP World

Tetesi: Maaskofu Katoliki wadaiwa kukutana na kujadili juu ya mkataba wa Serikali ya Samia na waarabu wa DP World

Hawa wamedekeshwa miaka mingi na kujiona kichwa kikubwa kutaka kuingilia yasio wahusu.
Kama kuna tatizo la bandari, ni tatizo la watanzania wote na kuna njia na taasisi za dola kushughulikia ikiwamo bunge, mahakama, serikali au baraza la mawaziri n.k
Hii ta TEC kushupalia ni uchochezi ambao hauwezi kuvumilika.
Tulieni hivyo hivyo, kama hizo taasisi za kusimamia zimekaa kama bosheni acha ma infulensa wa kidini waingilie. Maana hamna taasisi imara hii bongo kila kitu upuuzi tu.
 
Wewe wasema uhai gani umetishiwa ? Unauza rasilimali nyeti hivyo ......bila huruma ? Maslahi kikundi kidogo tu cha watu wengine kama mafala....acha sautiya watu itutetee..
Hivi unajua walokole wamekuwa wengi siku hizi na wanatokea hukohuko catholic baada ya kuona Hilo siyo kanisa Bali ni utapeli tu na ubabe usiyokiwa na maana. Lini kanisa likatunishiana msuli na serikali wakati hata mungu ameshasema ya kaisali mpe kaisali na ya mungu yabaki kuwa ya mungu. Kanisa limekiw ala kiasiasa zaidi kuliko mambo ya rohoni. Ndo mana watu wanatafuta rescue kupitia ulokole au wanamtafuta mungu wa kweli kupitia ulikole
 
Hivi unajua walokole wamekuwa wengi siku hizi na wanatokea hukohuko catholic baada ya kuona Hilo siyo kanisa Bali ni utapeli tu na ubabe usiyokiwa na maana. Lini kanisa likatunishiana msuli na serikali wakati hata mungu ameshasema ya kaisali mpe kaisali na ya mungu yabaki kuwa ya mungu. Kanisa limekiw ala kiasiasa zaidi kuliko mambo ya rohoni. Ndo mana watu wanatafuta rescue kupitia ulokole au wanamtafuta mungu wa kweli kupitia ulikole
Kuuzwa bandari ....wewe unasemaje ? Tuamzie hapo
 
Hiyo siyo kazi ya Kanisa katika nchi ya Kidemokrasia. Kanisa la Congo linafanya kazi hizo kwa sababu Congo haina Katiba ya Rais, bunge na mahakama. Hivyo hivyo Somalia na Kossovo na Nicaragua. Sisi hivyo vyote vipo. Serkali ni halali, Rais kachaguliwa kwa Ilani yake, Bunge likapitisha. CHADEMA wakapinga mahakamani wakashindwa. TEC si Supreme Court, hawapo kwenye mlolongo wa maamuzi. Kama hii ni kweli, watajidharilisha.
Kwahio kama Raisi yupo na katiba ipo akifanya mambo ya hovyo asiambiwe au watu wasilalamike kwa sababu nchi iko kwenye mwamvuli wa demokrasia au sio? Stupid mofo!
Hao TEC wasingeingilia kama bunge lingefanya kazi yake kiweledi. Taasisi zote zinafanya kazi kichwa. unategemea nini hapo?
 
Mbona mapadre wengi ni vilaza Sasa. Mi nakumbuka niliyosoma nao seminari ambao walikuwa na uwezo mdogo ndo wakiamua kwenda upadre kama last option. Vipanga wote Huwa hawaendagi huko.
Yaani na wewe unajiita kipanga? Pili huufahamu hata ukatoliki vizuri unataka kujitia tu mkatoliki jina.

Binadamu anastages za kukua, na kupevuka. Unafikiria uvulana wako badala ya kifikiria utuuzima na ndio maana unawaza ukipanga vs ukilaza.

Kazi ya padri na malezi ya kiroho sio kufanya chemia au hesabu. Na ndio maana wapo waliosomea hayo na wanafundisha, wanatibu, n.k mfano: Google padri Henry Rimisho (P.hD). Hii itakusaidia kujia ni padri, ni mwanajeshi na Archtecture na Lecturer. Lakini pia ni padri mwenye karama nyingi ikiwemo exorcisim
 
Hivi unajua walokole wamekuwa wengi siku hizi na wanatokea hukohuko catholic baada ya kuona Hilo siyo kanisa Bali ni utapeli tu na ubabe usiyokiwa na maana. Lini kanisa likatunishiana msuli na serikali wakati hata mungu ameshasema ya kaisali mpe kaisali na ya mungu yabaki kuwa ya mungu. Kanisa limekiw ala kiasiasa zaidi kuliko mambo ya rohoni. Ndo mana watu wanatafuta rescue kupitia ulokole au wanamtafuta mungu wa kweli kupitia ulikole
Wewe ni mwongo hasa. Waumini wa mamanisa ya kilokole wabatokea zaidi Lutheran, Anglican, AIC na Morovian. Ni nadra sana kumwona mkatoliki akihamia makanisa ya kilokole.

Na hiyo ya kusema ya Kaizar mpeni kaizar, naona wengi mnaokota maneno bila kuelewa content. Ni sawa mtu, awape watoto juice, halafu awaambie, "kunyweni mtosheke", halafu walevu wakaenda kunywa konyagi au gongo, wakidai wameambiwa wanywe mpaka watosheke.

Biblia haisomwi kama kitabu cha hadithi za Abunuasi.
 
Kuuzwa bandari ....wewe unasemaje ? Tuamzie hapo
Hakuna bandari iliyouzwa hivi unajua maana ya kuuzwa wewe. Mambo yameshafafanuliwa kuwa na uwekezaji tena wenye kikimo halafu mnakuja na ngojera zenu wa Hawa viumbe wanaojiita TEC?. Mbona pale airport Kuna Swiss port, DHL nk lakini hamsemi kwamba airport imeuzwa? Mpaka vyakula vya kwenye ndege ni kampuni ya ujerumani lakini sionagi kelele kama hizi
 
Hivi unajua walokole wamekuwa wengi siku hizi na wanatokea hukohuko catholic baada ya kuona Hilo siyo kanisa Bali ni utapeli tu na ubabe usiyokiwa na maana. Lini kanisa likatunishiana msuli na serikali wakati hata mungu ameshasema ya kaisali mpe kaisali na ya mungu yabaki kuwa ya mungu. Kanisa limekiw ala kiasiasa zaidi kuliko mambo ya rohoni. Ndo mana watu wanatafuta rescue kupitia ulokole au wanamtafuta mungu wa kweli kupitia ulikole
Umewahi kuisoma ile IGA kati ya serikali ya Tanzania na DPW?
 
Habarini wapendwa kanisa kama taasisi imara itakaa na kupitia kwa kina kile walichokikosoa kwenye mkataba wa dp world na samia km kweli yamefanyiwa kazi au kiini nacho tu.

Ikumbukwe mkataba haujaonyeshwa kwa umma ila viongozi wamekuwa wakitamka yale yaliyomo kwenye mkataba.

Kwa kuwa bunge halitimizi wajibu wake kanisa linawajibu wa kufanya kazi bila kuwa na konakona.

Katibu wa TEC alitoa muda kwa Maaskofu kupitia mikataba iliyosainiwa kabla ya kukutana.

Mungu ni mwema.
Shida ya kutofanya jimai ndo inaleteleza yote haya...maana akili inakuwa naturally unstable..

Papa aruhusu tu ndoa kwa kweli Kwa Hawa viongozi wetu
 
Umewahi kuisoma ile IGA kati ya serikali ya Tanzania na DPW?
Soma investment analysis ndo utajua maana ya uwekezaji sema malawyer wengi ni vilaza ndo mana darasani waliokuwa wengi hawana uwezo ndo wanaosoma arts na baadae law. Kila kilaza darasani hukimbilia arts Sasa ndo mana hata analytical skills hamnaga kabisa
 
Soma investment analysis ndo utajua maana ya uwekezaji sema malawyer wengi ni vilaza ndo mana darasani waliokuwa wengi hawana uwezo ndo wanaosoma arts na baadae law. Kila kilaza darasani hukimbilia arts Sasa ndo mana hata analytical skills hamnaga kabisa
Nimekuuliza swali usinijibu kwa kuniuliza swali, nakuuliza tena; umewahi kuisoma ile IGA kati ya serikali ya Tanzania na DPW?
 
Hivi kesi zao za kuwalawiti watoto wadogo na kutembea na wake za watu zikianzishwa, watapona kweli? Maana wanakujaga kuomba yasiende mbele, na serikali inayapoza
 
Habarini wapendwa kanisa kama taasisi imara itakaa na kupitia kwa kina kile walichokikosoa kwenye mkataba wa dp world na samia km kweli yamefanyiwa kazi au kiini nacho tu.

Ikumbukwe mkataba haujaonyeshwa kwa umma ila viongozi wamekuwa wakitamka yale yaliyomo kwenye mkataba.

Kwa kuwa bunge halitimizi wajibu wake kanisa linawajibu wa kufanya kazi bila kuwa na konakona.

Katibu wa TEC alitoa muda kwa Maaskofu kupitia mikataba iliyosainiwa kabla ya kukutana.

Mungu ni mwema.
Hao wapuuzi nao wasituchoshe,Tanzania sio Mali ya Katoliki
 
Nimekuuliza swali usinijibu kwa kuniuliza swali, nakuuliza tena; umewahi kuisoma ile IGA kati ya serikali ya Tanzania na DPW?
Mi siyo mtaalami wa mambo ya sheria vyohivyo na wewe pia. Wanasheria wa serikali wameshalitolea ufafanuzi hilo
 
Mi siyo mtaalami wa mambo ya sheria vyohivyo na wewe pia. Wanasheria wa serikali wameshalitolea ufafanuzi hilo
Ajabu sana, swali moja dogo tu umeshindwa kulijibu mara tatu!, sijakuuliza habari ya utaalamu wa sheria hapa, nimekuuliza ule mkataba wa IGA kati ya serikali ya Tz na DPW umewahi kuusoma? au hata kuusoma tu mpaka mtu awe mwanasheria?!
 
Ajabu sana, swali moja dogo tu umeshindwa kulijibu mara tatu!, sijakuuliza habari ya utaalamu wa sheria hapa, nimekuuliza ule mkataba wa IGA kati ya serikali ya Tz na DPW umewahi kuusoma? au hata kuusoma tu mpaka mtu awe mwanasheria?!
Nimekwambia siwezi kukiby mi nimecoma BSc in economics sijasoma sheria. Muulize katika angle za uchumi nitakujibi mijarabu kabisa
 
Back
Top Bottom