Maaskofu matamko yenu yametosha sasa, ni muda umefika muende kwa Msajili wa Vyama vya Siasa mfungue chama chenu

Maaskofu matamko yenu yametosha sasa, ni muda umefika muende kwa Msajili wa Vyama vya Siasa mfungue chama chenu

THE BIG SHOW

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2012
Posts
16,950
Reaction score
13,527
Friends and Our Enemies,

Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana. Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?

Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.

Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.

Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA, wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni, tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
 
Mara Leo waje na DP World,kesho waje na la wamasai shida YENU Nini?
Kukaa kimya kwa huu utawala siyo kwamba eti unawaogopa kama mnavyodhani,hamna mamlaka ya kuipangia serikali kitu chochote,hapa siyo Vatican tambueni.
 
Friends and Our Enemies,
Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana.
Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?

Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.

Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.

Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA,wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni,tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
HApana hivi sasa ni muda wa kusajili chama cha chawa.
 
Mara Leo wake na DP World,kesho waje na la wamasai shida YENU Nini?
Kukaa kimya kwa huu utawala siyo kwamba eti unawaogopa kama mnavyodhani,hamna mamlaka ya kuipangia serikali kitu chochote,hapa siyo Vatican tambueni.
Wanatumia haki yao ya kikatiba na kamwe hawez nyamaza
Ukristo umejengwa kwenye msingi wa kusimamia haki
 
Bibilia inatutaka tusishuhudie uovu.Hivyo,Maaskofu wanakemea maovu Kwa watawala maana wakikaa kimya itaonekana wanaunga mkono maovu ya awamu hii ya sita inayoongoza Kwa ukatili
Uovu Gani MAASKOFU wenyewe ni wezi tuh, MAASKOFU wameshiriki hadi kupokea mgao wa fedha haramu za Escrow kipindi kile wanajifanya wazalendo uzalendo wautoe wapi?
 
Friends and Our Enemies,
Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana.
Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?

Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.

Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.

Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA,wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni,tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
Gentleman,
umeeleza jambo la maana kwa uzito unaostahili kabisa..

ni dhahiri ikiwa kazi ya kuhubiri neno la Mungu imewashinda, ni vyema wakaanzisha chama cha siasa na kuomba usajili,

halafu makanisa yao ndiyo yakawa ofisi za hicho chama chao, ambapo ubatizo na maungamo yawe yanatolewa kwenye mikutano ya hadhara🐒
 
Friends and Our Enemies,
Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana.
Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?

Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.

Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.

Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA,wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni,tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
Mawazo yenu yalivyo👇
IMG-20241128-WA0211.jpg
 
Mara Leo wake na DP World,kesho waje na la wamasai shida YENU Nini?
Kukaa kimya kwa huu utawala siyo kwamba eti unawaogopa kama mnavyodhani,hamna mamlaka ya kuipangia serikali kitu chochote,hapa siyo Vatican tambueni.
Huna uwezo wa kuwatisha viongozi wa dini wanaosimama katika viapo vyao.

Unasema eti serikali haiwaogopi, kwani hiyo serikali itawafanya nini, wakati hawajavunja sheria yoyote ya nchi? Au ule ushetani wenu wa kuteka na kuua watu ndiyo dhihirisho kuwa hamuwaogopi watu wanaonena ukweli?

Mfahamu tu kuwa, kadiri mnavyozidisha ushetani wenu, ndivyo sauti za wenye haki zitakavyoongezeka.
 
Sisi Mashehe tunasema mama anaupiga mwingi.

Nani kama Mama?

Nchi inaenda vizuri , hakuna utekaji hizo ni drama tu hakuna wizi wa kura na pia vifo tutasikitika kwa watakaofia India tu.

Akifa kwa drama za kutekwa tunasema "kifo ni kifo"

Mitano tena kwa mama.
images - 2024-11-29T074339.648.jpeg
images - 2024-11-29T074435.282.jpeg
 
Friends and Our Enemies,
Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana.
Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?

Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.

Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.

Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA,wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni,tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
TUNAWAUNGA MKONO HAWA WASOMI AMBAO WANASIMAMIA MASLAHI YA WATANZANIA. NI JUKUMU LAO KUKEMEA UOZO NA UHUNI WA SERIKALI BILA WOGA WALA KUPINDISHA MANENO. TAIFA LINATAKA WATU KAMA HAWA NA SIYO WALE WA UBWABWA NA NJAA WANAOHONGEKA.
 
Gentleman,
umeeleza jambo la maana kwa uzito unaostahili kabisa..

ni dhahiri ikiwa kazi ya kuhubiri neno la Mungu imewashinda, ni vyema wakaanzisha chama cha siasa na kuomba usajili,

halafu makanisa yao ndiyo yakawa ofisi za hicho chama chao, ambapo ubatizo na maungamo yawe yanatolewa kwenye mikutano ya hadhara🐒
Screenshot_2024-11-29-07-51-54-982_com.android.chrome~2.jpg

SISI TUNAPENDA WATU WA NAMNA HII. HAWA HUWA HAWANA AKILI NJAA TU ZINAWASUMBUA. NA HAWA HUWA HAWACHANGANYI DINI NA SIASA. NA TUVIKUNDI TWA VIONGOZI WA DINI WENGINE WENYE NJAA NA MATAPELI. HAO HUWA NDO TUNAKUBALIANA NAO.
 
Friends and Our Enemies,
Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana.
Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?

Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.

Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.

Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA,wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni,tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
Tukitafuta wehu 10 wanaoongoza kwa wehu hapa Tanzania, huchomoki kwenye nafasi ya kwanza.
 
Wanatumia haki yao ya kikatiba na kamwe hawez nyamaza
Ukristo umejengwa kwenye msingi wa kusimamia haki
Hakuna baya juu ya hilo ila tatizo ni kuwa wanafanya harakati zao kwa mgongo wa viongozi wa dini badala ya kutoa maoni kama raia wa kawaida.
Hii tabia ya viongozi wa dini kuingilia siasa yalisha pigwa marufuku katika nchi nyingi sana maana wanagawa watu.
 
Back
Top Bottom