THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
- Thread starter
- #41
Kumbe haulifaham hilo??Kwa hiyo wakati wa Biashara ya utumwa Mashehe ndio walikuwa wapo kipaumbele kupigania Uhuru ?
Ustadh Mtwa Mkwawa alikuwa parokia yule?Abushiri bin sultan w Tanga alikuwa kafiri?
Tafuta historia ujue,kanisa katoliki halikushiriki kivyovyote kwenye kupigania uhuru wa nchi hii,eti Leo wanajifanya wazalendo na Wana uchungu,uchungu Gani kama vipi SI wakazae tuh.