Maaskofu matamko yenu yametosha sasa, ni muda umefika muende kwa Msajili wa Vyama vya Siasa mfungue chama chenu

Maaskofu matamko yenu yametosha sasa, ni muda umefika muende kwa Msajili wa Vyama vya Siasa mfungue chama chenu

MATAMKO yao wapeleke Vatican.

Sisi hatuna haja nayo,na waraka zao wakachambie mavi,sisi hatuna haja nazo...

Wakae wakitambua hizi siyo zama za kuungama kwa kanisa,tushatoka huko .
Vatican si cha serikali ya tz, matamko yanapelekea kwa muhusika na wahahusika period
No kufumbia macho upumbav
 
Pole sana maaskafu haswa wa katholic hawana uchawa na unafki, wanachosema ni ukweli always.
Isitoshe daily wanawachana waumini ukweli max pro iwe kanisani or jumuiya
Pole kama huwez ku take that, only waseminary wataelewa
Watawadanganya huko huko parokiani,sisi kwetu hao ni wahuni tuh kama wahuni wengine,

Mwanaume anakaa eti miaka na miaka bila kuoa kisha akili zake ziwe sawa?mwisho wake wanageuka kuwa machoko,hakuna mtu atakuwa na time nao,wanapoteza muda wao tuh.
 
Vatican si cha serikali ya tz, matamko yanapelekea kwa muhusika na wahahusika period
No kufumbia macho upumbav
Lengo lao limeshafahamika,hizo ni kelele za chura tuh,serikali inaendelea na kazi kama kawaida.
 
Friends and Our Enemies,

Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana. Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?

Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.

Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.

Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA, wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni, tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
Kazi yetu ni kupambana na waizi wa Nchi kama ww
 
Friends and Our Enemies,

Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana. Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?

Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.

Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.

Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA, wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni, tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
Sawa endeleeni kuua Wapinzani kwa raha zenu. Then mnywe kisusio cha damu zao kwa kutii kiu yenu.
 
Wewe ndie unasema,kumbe hao MAASKOFU kutwa kushinda kwenye vizimba vya kanisa kuleta fujo na taharuki nchini hapa kumbe kisa huyu mama siyo kondoo wao siyo??

Waambie hao nguchiro safari hii tutakula nao sahani moja.
Ule sahani moja na nani? Utaishia hapahapa kwenye keyboard
 
Mpumbavu wewe. Ibilisi kaa kimya na uovu wako.

Punguani mkubwa wewe. Hata hujui kuwa ticket ya mwalimu Nyerere kwenda kudai uhuru iligharamiwa ba Kanisa.

Mjinga wewe, hujui kuwa hata mwalimu Nyerere alipofukuzwa kazi ya uwalimu, familia yake ilihifadhiwa na kugharamiwa na Kanisa pale Tosamaganga, kupitia shirika la Mtakatifu Consolata.

Ninyi mashetani wadhulumu haki za wananchi msidhani maneno yenu haya ya kishetani yatawakatisha tamaa viongozi wa dini wanaosimama katika haki.
Mustakabali wa nchi ndiyo ataujuwa Padri Kitima? Mbona ya kwake yanamshinda!!

Aamue moja avue mavazi ya altareni kama Dr Slaa aje kwenye mapambano. Asitumie madhabahu kutetea itikadi yake kisiasa.

Nami pia ni MKATOLIKI kindakindaki na natoa zaka na sadaka kwa muujibu wa amri za kanisa. Nasali Parokia ya Msewe
 
Mustakabali wa nchi ndiyo ataujuwa Padri Kitima? Mbona ya kwake yanamshinda!!

Aamue moja avue mavazi ya altareni kama Dr Slaa aje kwenye mapambano. Asitumie madhabahu kutetea itikadi yake kisiasa.

Nami pia ni MKATOLIKI kindakindaki na natoa zaka na sadaka kwa muujibu wa amri za kanisa. Nasali Parokia ya Msewe
Asante sana, MAASKOFU wavue magauni wavae magwanda....mbona simple tuuh.
 
serikali yenyewe inatumia dini kufanya mambo yake. Waumini huambiwa watii mamlaka maana yatoka kwa mungu, wanakuwa wapole na wenyenyekevu kwa serikali. Kwa hiyo kuna miingiliano ili kudhibiti nidhamu ya wananchi. Hata serikali hukemea viongozi wa dini wasioendana na matakwa yao
Hayo ndo makosa yanayo endelea kufanywa na serikali ya nchi hii.
Katika nchi yenye mchanganyiko mkubwa wa kidini na kimadhehebu hutakiwi kurusuhu kivyovyote viongozi wa dini kupata ushawishi wa kisiasa.
 
Umeongea vizur sana,hakuna aliekatazwa kutoa maoni wala kukosoa,ila MAASKOFU wamekuwa kero shenzy Hawa,Kila siku kwenye vizimba vya dini mara serikali hiviii mara serikali vileee ...wanataka Nini??

Kazi yao ni kubishana na serikali au kuongoza kondoo??
Tatizo serikali inawalea sana hawa wapuuzi,kazi ya taasisi za kidini ni kulea watu kiroho na sio kutwa kurumbana na wana siasa.
 
Friends and Our Enemies,

Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana. Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?

Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.

Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.

Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA, wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni, tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
TEC wamekuwa wakitoa waraka wa kukemea MAOVU ya serikali nyakati zote. Kukemea MAOVU ni wajibu wa Kila mwananchi mzalendo. WEZI siku zote hawapendi kuambiwa UKWELI.
 
Friends and Our Enemies,

Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana. Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?

Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.

Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.

Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA, wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni, tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
Wewe kweli ni MJINGA na BUMUNDA,POPOMA MKUBWA.

Siku ikimwagika damu zaidi nchi ikawa kwenye machadfuko mtarudi kusema ,taasisi za dini KANISA limekaa kimyaa wakati viashiria vilipoanza.

Kanisa linakemea uvunjifu wa amani,udanganyifu kwenye uchaguzi,
Mauaji ya watu katika uchaguzi.

Siku akifa mamako au MUME WAKO ,ndiyo utaelewa maana ya matamko ya kanisa ya kuonya.

Wewe na SHOST wako Faiza Foxy,mnaaongozwa na UDINI,uislamu,kwa vile Rais ni muislamu,

Nakuambia siku mambo yakiharibika tunakufa wote, waislamu na wakristu!

Endelea kufurahia ujinga.Umewahi kujiuliza kwanini waislamu hawatoi matamko??

Wanaona hayawahusu yanayoendelea.

Siku itafika patakuwa hakuna mtu wa kutoa Tamko.
 
Bibilia inatutaka tusishuhudie uovu.Hivyo,Maaskofu wanakemea maovu Kwa watawala maana wakikaa kimya itaonekana wanaunga mkono maovu ya awamu hii ya sita inayoongoza Kwa ukatili
Mwambie ukweli huyu chawa hajielewi kabisa!
 
Umemaliza

TUNAWAUNGA MKONO HAWA WASOMI AMBAO WANASIMAMIA MASLAHI YA WATANZANIA. NI JUKUMU LAO KUKEMEA UOZO NA UHUNI WA SERIKALI BILA WOGA WALA KUPINDISHA MANENO. TAIFA LINATAKA WATU KAMA HAWA NA SIYO WALE WA UBWABWA NA NJAA WANAOHONGEKA.
Wasomi Gani?

We Toka lin msomi akapewa amri ya kutooa na yeye akakubali?
 
Back
Top Bottom