Maaskofu matamko yenu yametosha sasa, ni muda umefika muende kwa Msajili wa Vyama vya Siasa mfungue chama chenu

Maaskofu matamko yenu yametosha sasa, ni muda umefika muende kwa Msajili wa Vyama vya Siasa mfungue chama chenu

Friends and Our Enemies,

Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana. Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?

Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.

Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.

Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA, wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni, tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
Yaani kulaani kudhuru watu na kusababisha vifo kwa sababu tu ya uchaguzi huu mdogo wewe unaona ni jambo baya? Sasa wameshasema hivyo, utawanya nini?
 
Yaani kulaani kudhuru watu na kusababisha vifo kwa wahanga wa kisiasa wewe unaona ni jambo baya? Sasa wameshasema hivyo, utawanya nini?
Hatuna cha kuwafanya Zaid ya kuwaambia wavue magauni kisha wavae magwanda waingie ulingoni.
 
Friends and Our Enemies,

Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana. Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?

Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.

Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.

Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA, wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni, tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
Muone huyu mjinga kama Lucas Mwashambwa.
 
unaujua ukubwa wa serikali na nguvu zake? Serikali ikiamua kufanya mambo yake hufanya hakuna wa kuizuia ila wa kuikemea na kuitolea MATAMKO wapo na wataendelea kuikemea inapoonekana inafanya sivyo
Kijana umekuwa brainwashed au ni upofu wako tu??,, eti ukubwa wa serikali na nguvu zake!!!!!,,, kuwa na kiasi Bwana mdogo,,, Nguvu ya serikali Huwa hasemwi hivi Kwa nje Nguvu ya serikali ni watu na Kwa ndani Tunafanya Mambo YETU bila hype za namna hii,, nyie endeleeni na ubishi wenu tu lakin usifike kipimo hiki,,, everything run by human has its own limits,,, Take care,,, arrogance siyo sehemu ya system ya watu wastaarabu,,,
 
Tatizo serikali inawalea sana hawa wapuuzi,kazi ya taasisi za kidini ni kulea watu kiroho na sio kutwa kurumbana na wana siasa.
Taratibu kijana,,, patient ni tabia ya watu wastaarabu,,,wewe pia ni mpuuz kama hao wenzako unaowaita wapuuz,,
 
BAKWATA na Shehe wa Mkoa [DSM] wakiwa wanasifia hampigi kelele.
Mkikemewa mnalalamika...
Mtekeni basi Ruwaich pamoja na Bagonza - nyie si mabingwa.
Shoo juzi alipomsifia Mama mbona hukusema anyamaze..mnapenda kusikia mambo yanayofurahisha nafsi zenu.Hamjui hata demokrasia ni nini
 
Friends and Our Enemies,

Kuendelea kuwapuuzia MAASKOFU kwa hizi fujo zao wanazoendelea nazo eti kwa kujificha kwao nyuma ya kivuli cha uzalendo na kuwasemea wananchi kunaleta ukakasi sana. Kwanza Tokea lini MAASKOFU wakawa na uchungu na Taifa hili?

Kipindi hiko watu wanapigania uhuru wa nchi hii kanisa halikua na habari hata chembe na vugu vugu hilo na badala yake walikuwa baridi wakiunga mkono mkoloni kwa kuwa ndie hasa alikuwa anawapa wao kipaombele KATIKA Kila nyanja zikiwemo Afya,Elimu na kadhalika.

Ni kawaida yao MAASKOFU kuwa kimbele mbele hasa Regime zikiwa sizo za wanakondoo wao.

Tunawaambia MAASKOFU waache choko choko na fujo,kama wanaitaka SIASA waende kwa MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA, wapewe utaratibu wa kufungua CHAMA chao ili waingie ulingoni, tujue moja kazi YENU ni kuongoza Wana kondoo wenu au kupambana na serikali?
Tatizo uislamu umeingia kwa upanga hivyo bila mauaji uisilamu haujakamilika, ni vigumu sana kumsikia muisilamu safi akikemea mauaji yanayofanywa dhidi ya wananchi wasio na hatia.
 
Tatizo uislamu umeingia kwa upanga hivyo bila mauaji uisilamu haujakamilika, ni vigumu sana kumsikia muisilamu safi akikemea mauaji yanayofanywa dhidi ya wananchi wasio na hatia.
Na ukristo Ile vita vya Crusade walipigana kwa kutumia Nini?

Viwembe au??

Makafiri tumieni akili lasivyo mtaendelea kufungishwa ndoa za machoko.
 
Hakuna baya juu ya hilo ila tatizo ni kuwa wanafanya harakati zao kwa mgongo wa viongozi wa dini badala ya kutoa maoni kama raia wa kawaida.
Hii tabia ya viongozi wa dini kuingilia siasa yalisha pigwa marufuku katika nchi nyingi sana maana wanagawa watu.
Hivi uko serious unachukizwa na viongozi wa dini kuingilia siasa? Ni lini umewahi kuonyesha kuchukizwa na Hilo?
Huyu chawa👇 vipi?
Screenshot_20241129-140243.jpg
 
Gentleman,
umeeleza jambo la maana kwa uzito unaostahili kabisa..

ni dhahiri ikiwa kazi ya kuhubiri neno la Mungu imewashinda, ni vyema wakaanzisha chama cha siasa na kuomba usajili,

halafu makanisa yao ndiyo yakawa ofisi za hicho chama chao, ambapo ubatizo na maungamo yawe yanatolewa kwenye mikutano ya hadhara🐒
Mkumbuke chanzo cha yote haya ni wanasiasa. Utasikia viongozi wa dini ombeeni nchi☺️☺️
 
Wana ushawishi kwa nani hawa wezi tuh??

MATAMKO yao juu ya DP World yamesaidia Nini?Serikali iliacha kuendelea na plan Ile eti kisa MAASKOFU hawataki?mbona wameendelea na wameufyata mkia?

MATAMKO yao juu ya vugu vugu la maasai ngorongoro yameishia wapi? serikali imerudi nyuma au imeendelea na plans zake,hao wapuuzi hakuna wa kumtishia nyau watambue.
Sasa kama hayana maana...wewe kinakuuma nini..si utulie waendelee kupoteza muda tu...
Kama ambavyo wewe limekuchoma, ukatoka huko ukakurupuka humu - na wenzako waliofanya dhuluma hasahasa kwenye huu uchaguzi - taarifa wanaipata na wanaumia kwa kihoro.
 
Anatakiwa atoe maoni yake kama raia wa kawaida na sio atoe maoni akiwa amejivika koti la kiongozi wa dini unakuwa una wagawa watu.

Walio tenganisha dini na siasa hawakuwa wapumbavu.
Lini masheikh wameanza kutenganisha dini na siasa?👇
Screenshot_20241129-140243.jpg
 
Na ukristo Ile vita vya Crusade walipigana kwa kutumia Nini?

Viwembe au??

Makafiri tumieni akili lasivyo mtaendelea kufungishwa ndoa za machoko.
Hizo ndoa zilianzia kwa wajomba zenu ambao walibuni mtindo wa utayari kwa kuvaa msuli bila chupi, na wakajiwekea watwana wa kujiridhisha umende wao. Tabia ys umende ilikuwa ikifanyika pwani ya Afrika Mashariki kuanzia Lamu, Mombasa, visiwa vya Pemba na Unguja na Dar es Salaam ambako wajomba zenu toka Oman walikuwa wakija kwa majahazi na kujipatia watwana bure.
Ungejua historia ya chanzo cha hayo uliyoyataja wala usingeyaandika.
 
Back
Top Bottom