mmh
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,910
- 5,084
Kuna udini mkubwa chadema. Kila siku maaskofu halafu walewale kama sio munga basi shoo au yule mwingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna udini mkubwa chadema. Kila siku maaskofu halafu walewale kama sio munga basi shoo au yule mwingine
Na kwanini kila siku ni maaskofu tu?Kuna udini mkubwa chadema. Kila siku maaskofu halafu walewale kama sio munga basi shoo au yule mwingine
Mwenzao wa congo hakufanikiwa !naona hawa nao wanatujaribu!Kuna udini mkubwa chadema. Kila siku maaskofu halafu walewale kama sio munga basi shoo au yule mwingine
Si maaskofu pekee wapo Watanzania wengi waungwana wakiwemo ccm hawapendi ujinga huu wa zama za giza kuharibu umoja na ustawi wa taifa letu.Na kwanini kila siku ni maaskofu tu?
Jipeni tu moyoCCM ina hali mbaya kila mahali kuanzia mitandaoni mpaka uraiani.
Umeelewa ninachozungumzia mkuu...?Si maaskofu pekee wapo Watanzania wengi waungwana wakiwemo ccm hawapendi ujinga huu wa zama za giza kuharibu umoja na ustawi wa taifa letu.
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM ina hali mbaya kila mahali kuanzia mitandaoni mpaka uraiani.
Mkuu,kuna hoja ya ukweli juu ya wanachokisema au lah!Chadema mnataka kutupeleka kwenye udini na hao maaskofu wenu. Mkiambiwa na chama cha kidini mnakataaga lakini kila uchaguzi mnatumia udini na ukasikazini. Hii coincidence vipi maaskofu wenye asili ya ukasikazini wanakuwa na stand moja na chadema? Hii ni conspiracy na ni udini plus ukabila
Kabisa, hawa maasikofu wa kaskazini wamezidi viherehere.Chadema mnataka kutupeleka kwenye udini na hao maaskofu wenu. Mkiambiwa na chama cha kidini mnakataaga lakini kila uchaguzi mnatumia udini na ukasikazini. Hii coincidence vipi maaskofu wenye asili ya ukasikazini wanakuwa na stand moja na chadema? Hii ni conspiracy na ni udini plus ukabila
Kuna askofu aliyekanusha kuwa hakuandika?Wana ule mtindo wao wa kusema anaandika askofu fulan fulani, lakini cha ajabu sijawahi ona hayo wameandika wapi zaidi ya kuyaona kutoka kwa wafuasi wa chadema...
Hama nchi mkuu! Ila hayo ni maoni yao tu kama wananchi wengine. We dont care tusubiri October 2020 Watz wataamua.Kama unaona haya yanayoendelea ni sawa basi ni wazi sasa Baraza la Maaskofu Tanz kutoa Waraka wa Pasaka unaolenga ccm kutompitisha JPM kama mgombea Urais Oct. 2020.
Madai ya Maaskofu ni kwamba JPM ameshindwa kuwaunganisha Watz kama Taifa moja. Yeye ndiye amekuwa kinara wa ubaguzi kwa baadhi ya Watz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbaya zaidi hao maaskofu ndiyo wanaamulisha police kuwapiga watu,wanawatuma wasiojulikana kutesa,kuteka,kupoteza na hata kunyanganya haki ya kuishi na Kisha kuizuia sirikali kufanya uchunguzi wa matukio hayo.Yaani is like nchi haina serikali wala viongoziChadema mnataka kutupeleka kwenye udini na hao maaskofu wenu. Mkiambiwa na chama cha kidini mnakataaga lakini kila uchaguzi mnatumia udini na ukasikazini.
Hii coincidence vipi maaskofu wenye asili ya ukasikazini wanakuwa na stand moja na chadema? Hii ni conspiracy na ni udini plus ukabila
Kwa hiyo hao maaskofu wamekuwa wanasiasa sio? Wagombee wao basiKama unaona haya yanayoendelea ni sawa basi ni wazi sasa Baraza la Maaskofu Tanz kutoa Waraka wa Pasaka unaolenga ccm kutompitisha JPM kama mgombea Urais Oct. 2020.
Madai ya Maaskofu ni kwamba JPM ameshindwa kuwaunganisha Watz kama Taifa moja. Yeye ndiye amekuwa kinara wa ubaguzi kwa baadhi ya Watz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Muache mzee anaumwa,Mara ya mwisho alikuwa amelazwa NairobiMajaji akina Agustino Ramadhani