Ntalewisegete
Member
- Oct 20, 2019
- 56
- 47
Vipi kuhusu shekh Ponda au hujawahimsikiliza?by the way tusiangalie nani kasema nini ila je hoja IPO?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amini unatenda mema kiasi kwamba tume ikifika kuhoji itaona usafi wa utawala awamu hiiChadema mnataka kutupeleka kwenye udini na hao maaskofu wenu. Mkiambiwa na chama cha kidini mnakataaga lakini kila uchaguzi mnatumia udini na ukasikazini.
Hii coincidence vipi maaskofu wenye asili ya ukasikazini wanakuwa na stand moja na chadema? Hii ni conspiracy na ni udini plus ukabila
Hakuna jaji ambaye hayupo attached na ccm, hapo kinachotakiwa time huru iundwe na viongozi wa dini zote.Kuna jaji ambaye hayupo attached na maccm ?
Mtanyooka tuu bado ya Trump. HajaamkaChadema mnataka kutupeleka kwenye udini na hao maaskofu wenu. Mkiambiwa na chama cha kidini mnakataaga lakini kila uchaguzi mnatumia udini na ukasikazini.
Hii coincidence vipi maaskofu wenye asili ya ukasikazini wanakuwa na stand moja na chadema? Hii ni conspiracy na ni udini plus ukabila
Hakuna, chama ni cha maaskofu hiko kumbe
Huu ndio wakati wa nyie mnaoamini mna hali nzuri kuthibitisha hilo na tuwaone pale Magogoni November.CCM ina hali mbaya kila mahali kuanzia mitandaoni mpaka uraiani.
Maaskofu gani hao tujuze!Wakiongea kupitia BBC maasikofu na wachungaji wamesema wanasikitishwa na hali inayoendelea Tanzania juu ya matukio ya watu kushambuliwa na hata kuvunjwa mikono. wanasema wanataka iundwe tume huru ya kijaji kwa kuwatumia majaji wastaafu.
Wanasema majaji wastaafu wanaweza kutokuwa na upendeleo wakitoa report yao pia wameonya iwapo haitafanyika na kutoa haki sawa kwa wote taifa litagawanyika
Wameongeza kuwa pamoja na kwamba sio watu wa siasa ila wanao wajibu wa kukemea maovu maana wanao umizwa ni moja ya waumini wao ivyo ni wajibu wao kuikumbusha serikali kama kuna mambo hayaendi vizuri wayarekebishe haraka wasisubiri mpaka amani itoweke.
Chanzo: BBC.
Mbaya zaidi hao maaskofu ndiyo wanaamulisha police kuwapiga watu,wanawatuma wasiojulikana kutesa,kuteka,kupoteza na hata kunyanganya haki ya kuishi na Kisha kuizuia sirikali kufanya uchunguzi wa matukio hayo.Yaani is like nchi haina serikali wala viongozi
Si ndo mume wenu siku hizi
RubbishChadema mnataka kutupeleka kwenye udini na hao maaskofu wenu. Mkiambiwa na chama cha kidini mnakataaga lakini kila uchaguzi mnatumia udini na ukasikazini.
Hii coincidence vipi maaskofu wenye asili ya ukasikazini wanakuwa na stand moja na chadema? Hii ni conspiracy na ni udini plus ukabila
Hata tukikubaliana wana kosa, kuna sheria inayosema aliyekosea anastahili adhabu ya kupigwa, kuvunjwa mikono au kuuawa, na adhabu hiyo inatolewa na askari magereza?Kwanza jiuliza mbona hajapigwa heche Wala zito au mama yako wamepigwa wao ndio utajua wanakosa au HAWANA. Bams,
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukaskazin anautumia mamako.Chadema mnataka kutupeleka kwenye udini na hao maaskofu wenu. Mkiambiwa na chama cha kidini mnakataaga lakini kila uchaguzi mnatumia udini na ukasikazini.
Hii coincidence vipi maaskofu wenye asili ya ukasikazini wanakuwa na stand moja na chadema? Hii ni conspiracy na ni udini plus ukabila
Bams,
Umeandika gazeti zima lakini hakuna hoja hata moja! Jiulize kwanza kwa nini walipigwe hao mashoga tuuu? Unajua wana lugha chafu sana hao wakina dada as if siyo wanawake! Unakwenda sehemu nyeti then unataka kuleta siasa! Lazima upigwe tu. Duniani kote sehemu nyeti ukileta cha kuleta lazima upate kipigo no way!
Chadema mnataka kutupeleka kwenye udini na hao maaskofu wenu. Mkiambiwa na chama cha kidini mnakataaga lakini kila uchaguzi mnatumia udini na ukasikazini.
Hii coincidence vipi maaskofu wenye asili ya ukasikazini wanakuwa na stand moja na chadema? Hii ni conspiracy na ni udini plus ukabila
Utakuwa wew ni mdini au mkabila, wao wanaongelea kuhusu uchunguzi wewe unaongela ukabila sijui udini, hivi hizi akili ccm huwa mnazitoa wapi?Chadema mnataka kutupeleka kwenye udini na hao maaskofu wenu. Mkiambiwa na chama cha kidini mnakataaga lakini kila uchaguzi mnatumia udini na ukasikazini.
Hii coincidence vipi maaskofu wenye asili ya ukasikazini wanakuwa na stand moja na chadema? Hii ni conspiracy na ni udini plus ukabila
Mimi pia nimejiuliza hivi huko ccm huwa wanalishwa nini!!! Mana akili zao wanazijua wao tuHebu tuondolee utopolo wako hapa, Chadema inahusikaje hapa? Hivi huko CCM huwa mnakunywa maji ya chooni mbona kila anayesimama anatoa pumba tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
K
Kumbe sio maaskofu kweli? Ni kama ile X ray picture ya uongo?
Wanafanya hivi ili kupata kuhurumiwa!
Wakiongea kupitia BBC maasikofu na wachungaji wamesema wanasikitishwa na hali inayoendelea Tanzania juu ya matukio ya watu kushambuliwa na hata kuvunjwa mikono. wanasema wanataka iundwe tume huru ya kijaji kwa kuwatumia majaji wastaafu.
Wanasema majaji wastaafu wanaweza kutokuwa na upendeleo wakitoa report yao pia wameonya iwapo haitafanyika na kutoa haki sawa kwa wote taifa litagawanyika
Wameongeza kuwa pamoja na kwamba sio watu wa siasa ila wanao wajibu wa kukemea maovu maana wanao umizwa ni moja ya waumini wao ivyo ni wajibu wao kuikumbusha serikali kama kuna mambo hayaendi vizuri wayarekebishe haraka wasisubiri mpaka amani itoweke.
Chanzo: BBC.
Haijalishi aliyesema anatoka kaskazini au kusini, swala ni kwamba alichosema ni ukweli. Ukweli ni kuwa tunahutaji tume huru ya uchunguzi wa matendo haya na usuluhishi. Kisha tume huru ya uchaguzi. Kwani Chadema inahusika kivipi hapo? Chadema ni chama cha kaskazini au cha Taifa? Acha uccm jadili hoja ya maaskofu.Chadema mnataka kutupeleka kwenye udini na hao maaskofu wenu. Mkiambiwa na chama cha kidini mnakataaga lakini kila uchaguzi mnatumia udini na ukasikazini.
Hii coincidence vipi maaskofu wenye asili ya ukasikazini wanakuwa na stand moja na chadema? Hii ni conspiracy na ni udini plus ukabila
Unauelewa finyu sana kuliko hata abiria wa ccm, au mimi ndiyo sikuelewi?