Maaskofu na Mashekhe: Tunataka tume huru ya Kijaji kuchunguza matukio yanayoendelea Tanzania kati ya Serikali na Chama cha Upinzani

Maaskofu na Mashekhe: Tunataka tume huru ya Kijaji kuchunguza matukio yanayoendelea Tanzania kati ya Serikali na Chama cha Upinzani

Chadema mnataka kutupeleka kwenye udini na hao maaskofu wenu. Mkiambiwa na chama cha kidini mnakataaga lakini kila uchaguzi mnatumia udini na ukasikazini.

Hii coincidence vipi maaskofu wenye asili ya ukasikazini wanakuwa na stand moja na chadema? Hii ni conspiracy na ni udini plus ukabila
Amini unatenda mema kiasi kwamba tume ikifika kuhoji itaona usafi wa utawala awamu hii

Mtetezi wa wanyonge
Unganisha wanyonge na watu wa kaskazini waone weledi wako

Asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema mnataka kutupeleka kwenye udini na hao maaskofu wenu. Mkiambiwa na chama cha kidini mnakataaga lakini kila uchaguzi mnatumia udini na ukasikazini.

Hii coincidence vipi maaskofu wenye asili ya ukasikazini wanakuwa na stand moja na chadema? Hii ni conspiracy na ni udini plus ukabila
Mtanyooka tuu bado ya Trump. Hajaamka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakiongea kupitia BBC maasikofu na wachungaji wamesema wanasikitishwa na hali inayoendelea Tanzania juu ya matukio ya watu kushambuliwa na hata kuvunjwa mikono. wanasema wanataka iundwe tume huru ya kijaji kwa kuwatumia majaji wastaafu.

Wanasema majaji wastaafu wanaweza kutokuwa na upendeleo wakitoa report yao pia wameonya iwapo haitafanyika na kutoa haki sawa kwa wote taifa litagawanyika

Wameongeza kuwa pamoja na kwamba sio watu wa siasa ila wanao wajibu wa kukemea maovu maana wanao umizwa ni moja ya waumini wao ivyo ni wajibu wao kuikumbusha serikali kama kuna mambo hayaendi vizuri wayarekebishe haraka wasisubiri mpaka amani itoweke.

Chanzo: BBC.
Maaskofu gani hao tujuze!
Au Bagonza na genge lake?
Chadema ndiyo inapotea hivyo, labda mfungue kanisa pale Ufipa
 
Mbaya zaidi hao maaskofu ndiyo wanaamulisha police kuwapiga watu,wanawatuma wasiojulikana kutesa,kuteka,kupoteza na hata kunyanganya haki ya kuishi na Kisha kuizuia sirikali kufanya uchunguzi wa matukio hayo.Yaani is like nchi haina serikali wala viongozi
Mtanyooka tuu bado ya Trump. Hajaamka

Sent using Jamii Forums mobile app
Si ndo mume wenu siku hizi
 
Chadema mnataka kutupeleka kwenye udini na hao maaskofu wenu. Mkiambiwa na chama cha kidini mnakataaga lakini kila uchaguzi mnatumia udini na ukasikazini.

Hii coincidence vipi maaskofu wenye asili ya ukasikazini wanakuwa na stand moja na chadema? Hii ni conspiracy na ni udini plus ukabila
Rubbish
 
Chadema mnataka kutupeleka kwenye udini na hao maaskofu wenu. Mkiambiwa na chama cha kidini mnakataaga lakini kila uchaguzi mnatumia udini na ukasikazini.

Hii coincidence vipi maaskofu wenye asili ya ukasikazini wanakuwa na stand moja na chadema? Hii ni conspiracy na ni udini plus ukabila
Ukaskazin anautumia mamako.
 
Bams,
Umeandika gazeti zima lakini hakuna hoja hata moja! Jiulize kwanza kwa nini walipigwe hao mashoga tuuu? Unajua wana lugha chafu sana hao wakina dada as if siyo wanawake! Unakwenda sehemu nyeti then unataka kuleta siasa! Lazima upigwe tu. Duniani kote sehemu nyeti ukileta cha kuleta lazima upate kipigo no way!

Dunia yako inaishia wapi? Kuelewa hoja ya mtu, yenye weledi, mara nyingi inahitajo weledi angalao wa kiwango fulani. Kama huna weledi kabisa, hoja zote Duniani utaona hazina maana.

Strive for greatness, distance yourself from gormlessness.
 
Chadema mnataka kutupeleka kwenye udini na hao maaskofu wenu. Mkiambiwa na chama cha kidini mnakataaga lakini kila uchaguzi mnatumia udini na ukasikazini.

Hii coincidence vipi maaskofu wenye asili ya ukasikazini wanakuwa na stand moja na chadema? Hii ni conspiracy na ni udini plus ukabila

Kwani kuna kiongozi ambaye hana kabila au dini hapa nchini, wewe ndiyo unashindwa kujibu hoja unafichama kwenye udini. Jibu hoja acha kuleta maneno ya udini sijui ukabila ambao siyo sehemu ya hoja. Badala ya kusoma hoja unaangalia kabila la mtu aliyetoa hoja huko ni kufilisika kimawazo. Iundwe tume huru ya kijaji ili kujuwa wale wabunge waliokamatwanje ya geti na kuanza kupigwa kama walifanya fujo yoyote au ulipangwa mkakati wa kuwapiga ili kumfurahisha meko.
 
Chadema mnataka kutupeleka kwenye udini na hao maaskofu wenu. Mkiambiwa na chama cha kidini mnakataaga lakini kila uchaguzi mnatumia udini na ukasikazini.

Hii coincidence vipi maaskofu wenye asili ya ukasikazini wanakuwa na stand moja na chadema? Hii ni conspiracy na ni udini plus ukabila
Utakuwa wew ni mdini au mkabila, wao wanaongelea kuhusu uchunguzi wewe unaongela ukabila sijui udini, hivi hizi akili ccm huwa mnazitoa wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
K

Kumbe sio maaskofu kweli? Ni kama ile X ray picture ya uongo?
Wanafanya hivi ili kupata kuhurumiwa!

Tatizo hujasikiliza BBC ndo maana unasema hivo maana wamehoji kiongozi jana jioni na akafafanua vizuri bila kuegemea chama chochote lakini sababu ya upenzi wa chama ndo maana unasema hivo.
 
Kuna hawa maaskofu wa Chadema, wanaamini wao ndio maaskofu pekee Tanzania hakuna maaskofu wengine, kuna hawa "Tume ya haki za Binadamu" Kwao binadamu ni Chadema tu, wangine wote wana haki ya kutotendewa sawa mfano yule Binti Salome aliye uwawa Arusha,
Ila wakitendewa Chadema wanapaza midomo yao kama matarumbeta.

Mpaka unajiuliza hivi haya mashirika yako hapa Nchini kwa ajili ya upinzani au
Watanzania.
Kuna janga la corona huko duniani, account za mitandao ya kijamii ya vijana wanaotumwa na Chadema haizungumzii hilo ila uchaguzi na upuuzi wao wa tume huru.!
Na picha ya maigizo ya Ester Bulaya.!
Shame on you.! Watanzani wenye hii Nchi wanafahamu walipo na wanakokwenda njaa zenu haziwezi kuwayumbisha kamwe.
Wakiongea kupitia BBC maasikofu na wachungaji wamesema wanasikitishwa na hali inayoendelea Tanzania juu ya matukio ya watu kushambuliwa na hata kuvunjwa mikono. wanasema wanataka iundwe tume huru ya kijaji kwa kuwatumia majaji wastaafu.

Wanasema majaji wastaafu wanaweza kutokuwa na upendeleo wakitoa report yao pia wameonya iwapo haitafanyika na kutoa haki sawa kwa wote taifa litagawanyika

Wameongeza kuwa pamoja na kwamba sio watu wa siasa ila wanao wajibu wa kukemea maovu maana wanao umizwa ni moja ya waumini wao ivyo ni wajibu wao kuikumbusha serikali kama kuna mambo hayaendi vizuri wayarekebishe haraka wasisubiri mpaka amani itoweke.

Chanzo: BBC.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema mnataka kutupeleka kwenye udini na hao maaskofu wenu. Mkiambiwa na chama cha kidini mnakataaga lakini kila uchaguzi mnatumia udini na ukasikazini.

Hii coincidence vipi maaskofu wenye asili ya ukasikazini wanakuwa na stand moja na chadema? Hii ni conspiracy na ni udini plus ukabila
Haijalishi aliyesema anatoka kaskazini au kusini, swala ni kwamba alichosema ni ukweli. Ukweli ni kuwa tunahutaji tume huru ya uchunguzi wa matendo haya na usuluhishi. Kisha tume huru ya uchaguzi. Kwani Chadema inahusika kivipi hapo? Chadema ni chama cha kaskazini au cha Taifa? Acha uccm jadili hoja ya maaskofu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom