Maaskofu na Mashekhe: Tunataka tume huru ya Kijaji kuchunguza matukio yanayoendelea Tanzania kati ya Serikali na Chama cha Upinzani

Wasitumie mwamvuli wa dini wajitokeze tu hadharani maana hao inaonesha dhahiri ni viongozi vivuli wa CHADEMA na si viongozi wa dini kama wanavyojinasibu
 
Hazikutoshi ongeza akili kidogo hata za kuku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujasoma kuwa ni kamati ya viongozi wa dini ndiyo iliyotoa tamko hilo? Hiyo kamati inajumuisha viongozi wawakilishi toka dini zote na madhehebu yote.
Hakuna kamati ya uongozi wa dini zote Tanzania labda uliko huko!
 
Bams

Kwa bahati mbaya sana, uliyoandika hapo juu #14 ni kama umeyatupa tu jalalani au yamechukuliwa na upepo na kutokomea kusikofahamika.

Hivi, JF hapawezi pakawepo na utaratibu maalum wa ku'highlight' michango ya kipekee kabisa kama huu uliouweka hapa watu waka'focus' juu yake na kuyatafakari yaliyoandikwa humo?

Najua kuna ile "Sticky" hapo juu.

Nazungumzia "HIGHLIGHT",hata ya siku moja au wiki hivi.

Hivi vyombo hivi vya serikali havioni kabisa kwamba wanakiuka sheria?
 
Kuchunguza tukio ndio kufunja amani ? hii IQ yako nimeipenda
 
Wasitumie mwamvuli wa dini wajitokeze tu hadharani maana hao inaonesha dhahiri ni viongozi vivuli wa CHADEMA na si viongozi wa dini kama wanavyojinasibu
Yatakapo kukuta utalazimishwa kuyasema,huu kipofu sababu u mnufaika
 
Na
Na nyinyi mkome kutufanya watanzania wote hatuna akili. Tuna macho, masikio so tunajua kufanya tathimini.
 
Kitima ana moral values kumevaluate magu?

Kwani majaji ndiyo wanatoa haki pekee?
Kwa nn isiwe tume ya wanasheria wabobezi wenye Nguvu kuliko wazee.

Hatuhitaji tume tunataka taarifa ya tume ya haki za binadamu ktk haya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…