Maaskofu wamtembelea Freeman Mbowe gerezani, wasema yuko Imara kuendelea kupigania Katiba Mpya

Maaskofu wamtembelea Freeman Mbowe gerezani, wasema yuko Imara kuendelea kupigania Katiba Mpya

Sema Askofu Mwamakula...au Askofu Kula sijui. Maaskofu ni wengi na wao pia lazima credentials zao ziwe wazi. Hii ya kila mtu anapojisikia kuanzisha kanisa halafu kujipa uaskofu, nadhani sio sawa
Umwishia darasa la ngapi? Rudia tena kusoma.
 
Asante kwa taarifa.
Kesi ya Mbowe muiachie mahakama kwakuwa tayari imeshafunguliwa.

Ombi langu kwenu viongozi wa dini.
1.Mmuandikie ujumbe/waraka Sirro.
2.Mumuombe Mabeyo mkutane ana kwa ana mtoe hisia zenu.
NB!
Kama ambavyo mumeeleza kuwa tunachafuka kimataifa ni sahihi kabisa.
Kama Mabeyo hatawasikiliza basi nanyi itawapendeza sana mkubaliane viongozi wote wa dini kuanza kutoa elimu ya katiba mpya kwenye nyumba za Ibada kwa dk 5.
Amani kwenu!
Ni mawazo mazuri. Isipokuwa hapo kwenye mahakama maana hatuna mahakama bali kuna mahakama kiinimacho..
 
Kichwa kilitakiwa kusomeka hivi wanyakyusa wawili Mwamakula na Mwamalanga wamtembelea Mbowe mahabusu
 
Hawa maaskofu mbona wanatoa hitimisho la kipuuzi namna hii?

Kesi ya Mbowe imeshafikishwa mahakamani, sasa wanawashwa na nini tena kuanza kusema eti inachafua taswira ya nchi!??

Kwani kuna ambae yupo juu ya sheria, au kuwa Mwenyekiti wa chama cha siasa inakupa kinga ya kutokushitakiwa kwa jambo lolote lihusulo uvunjaji wa sheria?

Pia, tunapohubiri kuheshimu misingi ya demokrasia, utawala bora na haki za binadamu,,, sasa kwann kwa Sabaya iwe ni sawa kwamba Serikali inatenda na kufuata utawala bora ila kwa Mbowe imekuwa sio tena kutenda haki bali uonevu? Double standard

Mbowe huyu huyu alikataza watu wasije msiba wa Kaka yake kisa kuepusha maambukizi kwa Jamii yake, ila baada ya mazishi akakimbilia Mwanza kufanya mkusanyiko bila kujali kuwa huko kutapelekea kueneza maambukizi. Kwahyo akaona Jamii ya wana Mwanza wacha wafe tu ilimradi mrengo wake kisiasa utimie. Ila nyie Maaskofu uchwara mkakaa kimya

Kwa double standard hizi, ni wazi nyie maaskofu uchwara mnatumikia upande mmoja na sio kutumikia wananchi wote

Watanzania wenzangu tuweni makini na hawa kina kibweteres' type waliopo Tanzania.
Wewe huenda una uwendawazimu. Waache wenye akili timamu wajadili hoja.

Bahati mbaya nchi haina mahakama bali kuna kitengo cha Serikali dhalimu kilichopewa kazi ya mahakama ambacho hufanya kazi kwa maelekezo ya serikali dhalimu.
 
Leo tarehe 8 Agosti 2021, sisi Askofu Emmaus Mwamakula na Askofu William Mwamalanga ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Maaskofu na Mashehe kuhusu Maadili, Amani na Haki, tuliongoza Ujumbe Maalum wa Viongozi wa Dini kutembelea Magereza na Mahabusu Mkoani Dar es Salaam kwa lengo la kuwajulia hali mahabusu wa kisiasa. Katika sehemu zote tulizokwenda, tulipokelewa vizuri na kufanisha lengo lengo kwa kiasi kikubwa kama taarifa fupi hapa chini inavyoeleza:

UKONGA: Tulipata muda wa kuongea na Freeman Mbowe. Tulimpa ujumbe wa viongozi wa dini na baadaye tukapata nafasi ya kumsikiliza. Alitueleza kuwa hali yake ya kiafya ilikuwa nzuri kabisa na kwamba hakuwa na shida ye yote na 'wenyeji wake' ambao ni Askari wa Jeshi la Magereza pale Ukonga. Alieleza kusikitishwa kwake jinsi walinzi wake 3 amabo ni wanajeshi wanaoshitakiwa pamoja naye katika Kesi ya Ugaidi walivyopata mateso kupitia mikono ya Jeshi la Polisi na kuwekwa ndani kwa kipindi cha mwaka mzima. Anasema aliamua kuwa na walinzi waliokuwa ni Askari wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) ili kuimarisha ulinzi wake baada ya kushambuliwa na kuvunjwa mguu kule Dodoma. Ameeleza pia kutokuridhishwa na kitendo cha Jeshi la Polisi kuendelea kuwakamata na kuwaweka mahabusu viongozi wa CHADEMA wanaojitokeza kusikiliza Kesi yake Mahakamani. Hata hivyo, amewashukuru Watanzania wote wanaoendelea kumuombea nchi nzima nzima. Amewataka Watanzania wote kuungana katika kuandika Katiba Mpya!

MBURAHATI: Baada ya kutoka Ukonga, tuliwatembelea mahabusu ambao ni viongozi 12 wa CHADEMA wanaoshikiliwa katika Kituo cha Polisi cha Mburahati ambao walikamatwa Segerea wakiwa wanafanya Kikao cha Ndani. Tulikuta hali isiyo nzuri ya mahusiano kati ya mahabusu wale na Askari waliokuwa zamu wa Kituo cha Mburahati. Tulishughulikia changamoto ile kwa njia ya mazungumzo na sala na hatimaye kurejesha mahusiano na pande zote mbili ziliweza kusameheana. Mazingira hayakuruhusu kuwaona mahabusu wote lakini tulifanikiwa kuonana na viongozi wao 3 ambao ni Gerva Lyenda, Asenga na Mwita. Pia, tuliruhusiwa kuonana na mahabusu 2 wanawake. Mwishoni, tuliwaona mahabusu 2 ambao ni watu wazima akiwemo mzee wa miaka 74 ambao walipelekwa Hospitali kwa matibabu. Leo ilikuwa siku ya 6 tangu wakamatwe pasipo kufikishwa Mahakamani.

CENTRAL POLICE: Tulifika jioni sana kule Posta. Kwa sababu ya muda, tuliruhusiwa kuonana na kiongozi wao ambaye ni Katibu Mkuu wa BAWACHA, Catherine Ruge. Alitueleza changamoto ambayo tuliweza kuifikisha kwa Afisa wa Jeshi la Polisi ambaye alituhakikishia kuwa ataishughulikia. Leo ilikuwa siku ya 4 tangu wakamatwe pasipo kufikishwa Mahakamani. Catherine alitueleza kuwa kulikuwa na mahabusu 30 waliokamatwa walipokwenda kuhudhuria Kesi ya Mbowe katika Mahakama ya Kisutu. Alieleza kuwa baadhi ya waliokamatwa hawakuwa wanachama wa CHADEMA, bali walisombwa tu katika kamatakata. Alieleza zaidi kuwa wengi wa waliokamatwa ndugu zao hawajui kuwa walikuwa wamekamatwa.

Muono wetu kama viongozi wa dini kuhusu ziara hiyo ni kama ifuatavyo: Kitendo cha kuwakamata na kuwaweka ndani viongozi na wanachama wa CHADEMA kwa sababu zilizoelezwa kinalipaka matope Jeshi la Polisi na kinazidi kuinajisi Katiba ya Nchi. Kesi ya Freeman Mbowe inalichafua Taifa letu machoni duniani. Tunafahamu pia kuwa kuna viongozi na wafuasi wengine wa CHADEMA waliokamatwa mikoani kwa sababu za kudai Katiba Mpya. Kudai Katiba Mpya sio jinai.

Ni kwa sababu hiyo, tunatoa wito wa kuachiliwa huru kwa mahabusu wote pasipo masharti ye yote. Kuendelea na Kesi ya Mbowe hakuijengei heshima nchi yetu. Hivyo, tunatoa wito kwa Serikali kuifuta Kesi hiyo kwani kuendelea nayo na kuendelea kukamata watu wanaodai Katiba Mpya ni kujenga mazingira ya kutibua utulivu nchini. Sisi Maaskofu tuliofanya ziara hiyo tumefanya hivyo tukiwawakilisha viongozi wengine wa dini na tumetimiza wajibu wetu (Ezekieli 33:1-20).

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula - Kwa niaba ya Viongozi wa Dini waliotembelea Gereza la Ukonga, Mahabusu ya Mburahati na Mahabusu ya Central Police, Dar es Salaam.
Duh!! Awamu hii [ia CDM bado wanaandamwa!!! Ila Raisi alisema yeye na mwendazake ni kitu kimoja. Kuna vitu kweli wanafanana ila la tozo hapana.
 
Ama kweli maisha bila watu wapuuzi hayana ladha.

Yaani mwamakula amekuwa kiongozi wa kiroho wa watu fulani!!!pathetic.
 
Sema Askofu Mwamakula...au Askofu Kula sijui. Maaskofu ni wengi na wao pia lazima credentials zao ziwe wazi. Hii ya kila mtu anapojisikia kuanzisha kanisa halafu kujipa uaskofu, nadhani sio sawa
Mungu Yehova mwenye watu wake anasema NI SAWA maana imeandikwa;

"....Enendeni ulimwenguni pote mkaihubiri Injlili kwa viumbe vyote..........." [MARKO 16:15]

Inashangaza kidogo wewe kupingana na agizo hili la YESU KRISTO..

The key sentence hapa ni " kila mtu kwenda ulimwenguni kote kuihubiri injili - habari njema kwa kila kiumbe.."

HOW?

Serikali za kibinadamu zikaweka utaratibu wa kufanya haya mambo kusajili kila kikundi cha dini ili kihubiri injili...

Kwa hiyo "kuundwa kwa vikundi vya kidini na watu kujipa uongozi wa aidha mchungaji au askofu" it doesn't matter, ni utaratibu wa kibinadamu tu ku - harmonize mambo...

Kinacho - matter ni INJILI YA KRISTO kuhubiriwa ulimwenguni kote kwa kila kiumbe..

Na ofcoz mimi ningependa kila mtaa na kwa kila balozi wa nyumba 10 kuwe na kanisa lenye mchungaji na askofu ili kuwezesha injili ihubiriwe kwa kila mtu...
 
Sema Askofu Mwamakula...au Askofu Kula sijui. Maaskofu ni wengi na wao pia lazima credentials zao ziwe wazi. Hii ya kila mtu anapojisikia kuanzisha kanisa halafu kujipa uaskofu, nadhani sio sawa
Kavunja Sheria gani ya nchi Hii??
Twende kwa Katiba na Sheria!
Tusiende kwa Hisia na Chuki binafsi!
Kama kuna Sheria kaivunja unayo Haki ya kumpeleka kwa Pilato na apate Haki yake nitakuona ww ni mbora,!
 
Leo tarehe 8 Agosti 2021, sisi Askofu Emmaus Mwamakula na Askofu William Mwamalanga ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Maaskofu na Mashehe kuhusu Maadili, Amani na Haki, tuliongoza Ujumbe Maalum wa Viongozi wa Dini kutembelea Magereza na Mahabusu Mkoani Dar es Salaam kwa lengo la kuwajulia hali mahabusu wa kisiasa. Katika sehemu zote tulizokwenda, tulipokelewa vizuri na kufanisha lengo lengo kwa kiasi kikubwa kama taarifa fupi hapa chini inavyoeleza:

UKONGA: Tulipata muda wa kuongea na Freeman Mbowe. Tulimpa ujumbe wa viongozi wa dini na baadaye tukapata nafasi ya kumsikiliza. Alitueleza kuwa hali yake ya kiafya ilikuwa nzuri kabisa na kwamba hakuwa na shida ye yote na 'wenyeji wake' ambao ni Askari wa Jeshi la Magereza pale Ukonga. Alieleza kusikitishwa kwake jinsi walinzi wake 3 amabo ni wanajeshi wanaoshitakiwa pamoja naye katika Kesi ya Ugaidi walivyopata mateso kupitia mikono ya Jeshi la Polisi na kuwekwa ndani kwa kipindi cha mwaka mzima. Anasema aliamua kuwa na walinzi waliokuwa ni Askari wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) ili kuimarisha ulinzi wake baada ya kushambuliwa na kuvunjwa mguu kule Dodoma. Ameeleza pia kutokuridhishwa na kitendo cha Jeshi la Polisi kuendelea kuwakamata na kuwaweka mahabusu viongozi wa CHADEMA wanaojitokeza kusikiliza Kesi yake Mahakamani. Hata hivyo, amewashukuru Watanzania wote wanaoendelea kumuombea nchi nzima nzima. Amewataka Watanzania wote kuungana katika kuandika Katiba Mpya!

MBURAHATI: Baada ya kutoka Ukonga, tuliwatembelea mahabusu ambao ni viongozi 12 wa CHADEMA wanaoshikiliwa katika Kituo cha Polisi cha Mburahati ambao walikamatwa Segerea wakiwa wanafanya Kikao cha Ndani. Tulikuta hali isiyo nzuri ya mahusiano kati ya mahabusu wale na Askari waliokuwa zamu wa Kituo cha Mburahati. Tulishughulikia changamoto ile kwa njia ya mazungumzo na sala na hatimaye kurejesha mahusiano na pande zote mbili ziliweza kusameheana. Mazingira hayakuruhusu kuwaona mahabusu wote lakini tulifanikiwa kuonana na viongozi wao 3 ambao ni Gerva Lyenda, Asenga na Mwita. Pia, tuliruhusiwa kuonana na mahabusu 2 wanawake. Mwishoni, tuliwaona mahabusu 2 ambao ni watu wazima akiwemo mzee wa miaka 74 ambao walipelekwa Hospitali kwa matibabu. Leo ilikuwa siku ya 6 tangu wakamatwe pasipo kufikishwa Mahakamani.

CENTRAL POLICE: Tulifika jioni sana kule Posta. Kwa sababu ya muda, tuliruhusiwa kuonana na kiongozi wao ambaye ni Katibu Mkuu wa BAWACHA, Catherine Ruge. Alitueleza changamoto ambayo tuliweza kuifikisha kwa Afisa wa Jeshi la Polisi ambaye alituhakikishia kuwa ataishughulikia. Leo ilikuwa siku ya 4 tangu wakamatwe pasipo kufikishwa Mahakamani. Catherine alitueleza kuwa kulikuwa na mahabusu 30 waliokamatwa walipokwenda kuhudhuria Kesi ya Mbowe katika Mahakama ya Kisutu. Alieleza kuwa baadhi ya waliokamatwa hawakuwa wanachama wa CHADEMA, bali walisombwa tu katika kamatakata. Alieleza zaidi kuwa wengi wa waliokamatwa ndugu zao hawajui kuwa walikuwa wamekamatwa.

Muono wetu kama viongozi wa dini kuhusu ziara hiyo ni kama ifuatavyo: Kitendo cha kuwakamata na kuwaweka ndani viongozi na wanachama wa CHADEMA kwa sababu zilizoelezwa kinalipaka matope Jeshi la Polisi na kinazidi kuinajisi Katiba ya Nchi. Kesi ya Freeman Mbowe inalichafua Taifa letu machoni duniani. Tunafahamu pia kuwa kuna viongozi na wafuasi wengine wa CHADEMA waliokamatwa mikoani kwa sababu za kudai Katiba Mpya. Kudai Katiba Mpya sio jinai.

Ni kwa sababu hiyo, tunatoa wito wa kuachiliwa huru kwa mahabusu wote pasipo masharti ye yote. Kuendelea na Kesi ya Mbowe hakuijengei heshima nchi yetu. Hivyo, tunatoa wito kwa Serikali kuifuta Kesi hiyo kwani kuendelea nayo na kuendelea kukamata watu wanaodai Katiba Mpya ni kujenga mazingira ya kutibua utulivu nchini. Sisi Maaskofu tuliofanya ziara hiyo tumefanya hivyo tukiwawakilisha viongozi wengine wa dini na tumetimiza wajibu wetu (Ezekieli 33:1-20).

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula - Kwa niaba ya Viongozi wa Dini waliotembelea Gereza la Ukonga, Mahabusu ya Mburahati na Mahabusu ya Central Police, Dar es Salaam.
Mungu wa mbinguni awabariki viongozi wetu wa dini.
 
Kuwatembelea wafungwa/watuhumiwa magerezani/ polisi, wagonjwa hospitalini , wajane na wale wote walio katika shida na mateso na kuwapa faraja bila kujali wamefikaje huko ni ibada tosha kwa mwenyezi Mungu. Kwa hiyo niwapongeze hao maaskofu kwani wametimiza kile ambacho biblia takatifu inatufundisha. Lakini napata shida sana na kanisa langu ambalo ndio taasisi kubwa sana ya kidini ya kikristo nchini kwenye suala kama hili walau la kuwatembelea watuhumiwa tu kuhakikisha wanapata stahili zao wakiwa kwenye vituo vya polisi na kupelekwa mahakamani kwa wakati hautalisikia kabisa badala yake siku hizi limegeuka kanisa la sadaka, michango na zaka. Na siku hizi kuna tozo mbalimbali mpya kabisa ambazo hazikuwepo kabisa miaka mitano iliyopita ili mradi ni pesa pesa tu.

Wanasahau kuwa watoa sadaka na zaka ndio hao hao wanaopitishwa kwenye tanuru la moto bila kupata utetezi wao viongozi wa dini ambao ndio wanasilikizwa zaidi kuliko sisi watu wa kawaida. Na ikitokea muumini kafariki utawaona mbio wanaenda kuendesha ibada kwa sababu wanajua kuwa watapata sadaka. Ifike mahali sasa sisi waumini tuwaombee wao badala ya wao kutuombea sisi ili mwenyezi Mungu mwingi wa rehema awape mwanga ili wajue wajibu wao na nguvu zao kibiblia ni nini katika jamii inayotaabika bila kujali jamii hiyo imefikaje hapo katika hayo mateso.
 
Sema Askofu Mwamakula...au Askofu Kula sijui. Maaskofu ni wengi na wao pia lazima credentials zao ziwe wazi. Hii ya kila mtu anapojisikia kuanzisha kanisa halafu kujipa uaskofu, nadhani sio sawa
Kama hujui kitu kaa kimya. Moravian Ni kanisa la tangu zama na zama.

Moravian church, Protestant church founded in the 18th century but tracing its origin to the Unitas Fratrum (“Unity of Brethren”) of the 15th-century Hussite movement in Bohemia and Moravia.
 
Leo tarehe 8 Agosti 2021, sisi Askofu Emmaus Mwamakula na Askofu William Mwamalanga ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Maaskofu na Mashehe kuhusu Maadili, Amani na Haki, tuliongoza Ujumbe Maalum wa Viongozi wa Dini kutembelea Magereza na Mahabusu Mkoani Dar es Salaam kwa lengo la kuwajulia hali mahabusu wa kisiasa. Katika sehemu zote tulizokwenda, tulipokelewa vizuri na kufanisha lengo lengo kwa kiasi kikubwa kama taarifa fupi hapa chini inavyoeleza:

UKONGA: Tulipata muda wa kuongea na Freeman Mbowe. Tulimpa ujumbe wa viongozi wa dini na baadaye tukapata nafasi ya kumsikiliza. Alitueleza kuwa hali yake ya kiafya ilikuwa nzuri kabisa na kwamba hakuwa na shida ye yote na 'wenyeji wake' ambao ni Askari wa Jeshi la Magereza pale Ukonga. Alieleza kusikitishwa kwake jinsi walinzi wake 3 amabo ni wanajeshi wanaoshitakiwa pamoja naye katika Kesi ya Ugaidi walivyopata mateso kupitia mikono ya Jeshi la Polisi na kuwekwa ndani kwa kipindi cha mwaka mzima. Anasema aliamua kuwa na walinzi waliokuwa ni Askari wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) ili kuimarisha ulinzi wake baada ya kushambuliwa na kuvunjwa mguu kule Dodoma. Ameeleza pia kutokuridhishwa na kitendo cha Jeshi la Polisi kuendelea kuwakamata na kuwaweka mahabusu viongozi wa CHADEMA wanaojitokeza kusikiliza Kesi yake Mahakamani. Hata hivyo, amewashukuru Watanzania wote wanaoendelea kumuombea nchi nzima nzima. Amewataka Watanzania wote kuungana katika kuandika Katiba Mpya!

MBURAHATI: Baada ya kutoka Ukonga, tuliwatembelea mahabusu ambao ni viongozi 12 wa CHADEMA wanaoshikiliwa katika Kituo cha Polisi cha Mburahati ambao walikamatwa Segerea wakiwa wanafanya Kikao cha Ndani. Tulikuta hali isiyo nzuri ya mahusiano kati ya mahabusu wale na Askari waliokuwa zamu wa Kituo cha Mburahati. Tulishughulikia changamoto ile kwa njia ya mazungumzo na sala na hatimaye kurejesha mahusiano na pande zote mbili ziliweza kusameheana. Mazingira hayakuruhusu kuwaona mahabusu wote lakini tulifanikiwa kuonana na viongozi wao 3 ambao ni Gerva Lyenda, Asenga na Mwita. Pia, tuliruhusiwa kuonana na mahabusu 2 wanawake. Mwishoni, tuliwaona mahabusu 2 ambao ni watu wazima akiwemo mzee wa miaka 74 ambao walipelekwa Hospitali kwa matibabu. Leo ilikuwa siku ya 6 tangu wakamatwe pasipo kufikishwa Mahakamani.

CENTRAL POLICE: Tulifika jioni sana kule Posta. Kwa sababu ya muda, tuliruhusiwa kuonana na kiongozi wao ambaye ni Katibu Mkuu wa BAWACHA, Catherine Ruge. Alitueleza changamoto ambayo tuliweza kuifikisha kwa Afisa wa Jeshi la Polisi ambaye alituhakikishia kuwa ataishughulikia. Leo ilikuwa siku ya 4 tangu wakamatwe pasipo kufikishwa Mahakamani. Catherine alitueleza kuwa kulikuwa na mahabusu 30 waliokamatwa walipokwenda kuhudhuria Kesi ya Mbowe katika Mahakama ya Kisutu. Alieleza kuwa baadhi ya waliokamatwa hawakuwa wanachama wa CHADEMA, bali walisombwa tu katika kamatakata. Alieleza zaidi kuwa wengi wa waliokamatwa ndugu zao hawajui kuwa walikuwa wamekamatwa.

Muono wetu kama viongozi wa dini kuhusu ziara hiyo ni kama ifuatavyo: Kitendo cha kuwakamata na kuwaweka ndani viongozi na wanachama wa CHADEMA kwa sababu zilizoelezwa kinalipaka matope Jeshi la Polisi na kinazidi kuinajisi Katiba ya Nchi. Kesi ya Freeman Mbowe inalichafua Taifa letu machoni duniani. Tunafahamu pia kuwa kuna viongozi na wafuasi wengine wa CHADEMA waliokamatwa mikoani kwa sababu za kudai Katiba Mpya. Kudai Katiba Mpya sio jinai.

Ni kwa sababu hiyo, tunatoa wito wa kuachiliwa huru kwa mahabusu wote pasipo masharti ye yote. Kuendelea na Kesi ya Mbowe hakuijengei heshima nchi yetu. Hivyo, tunatoa wito kwa Serikali kuifuta Kesi hiyo kwani kuendelea nayo na kuendelea kukamata watu wanaodai Katiba Mpya ni kujenga mazingira ya kutibua utulivu nchini. Sisi Maaskofu tuliofanya ziara hiyo tumefanya hivyo tukiwawakilisha viongozi wengine wa dini na tumetimiza wajibu wetu (Ezekieli 33:1-20).

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula - Kwa niaba ya Viongozi wa Dini waliotembelea Gereza la Ukonga, Mahabusu ya Mburahati na Mahabusu ya Central Police, Dar es Salaam.
Hivi Mwamakula ni Askofu wa Chadema au ni Askofu wa nini? Maana siku hizi mtu akijisikia kuanzisha kijikanisa tu anajiita Askofu
 
Asante kwa taarifa.
Kesi ya Mbowe muiachie mahakama kwakuwa tayari imeshafunguliwa.

Ombi langu kwenu viongozi wa dini.
1.Mmuandikie ujumbe/waraka Sirro.
2.Mumuombe Mabeyo mkutane ana kwa ana mtoe hisia zenu.
NB!
Kama ambavyo mumeeleza kuwa tunachafuka kimataifa ni sahihi kabisa.
Kama Mabeyo hatawasikiliza basi nanyi itawapendeza sana mkubaliane viongozi wote wa dini kuanza kutoa elimu ya katiba mpya kwenye nyumba za Ibada kwa dk 5.
Amani kwenu!
umeandika vizuri Ila nilipoona umsema tunachafuka kimataifa Basi umeahanikela mkuu.kwani hayo mataifa ya nje sisi tangu lini tunaingiliaga Mambo yao ya ndani!??, mauaji ya black Americans,kila siku ,ulishaona USA inababaika na kelele za ndg zetu wanaouawa na maaskali polis wakizungu!?, Huu no ujinga na upungufu wa akili timamu ,kwa suala lako la ndani ya nchi hata
Kama ni haki yako,kuanza kuwaangalia mataifa ya nje yanasemaje kuhusu mikakati yenu!, Suala la katiba ni kwa maslahi (Kama yapo) ya watanzania sio mataifa ya nje.watz Kama wewe na hao maaskofu wanaosema tunachafuka nje ndo haohao ,watapewa na wazungu Nini kiwe kwenye katiba mpya!!! stupid!!,hao mataifa ya nje wanazo mikakati yao mfano foreign policy abt Africa ,hizo policy wanazipanga si kwa kuwatazama nyny stupid African's! wanaweka foreign policy for their own good & benefits .Kama tunahitaji katiba let's talk &take consideration abt us ,and not keep watching how that stupid Intruders are saying!!
 
Leo tarehe 8 Agosti 2021, sisi Askofu Emmaus Mwamakula na Askofu William Mwamalanga ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya Maaskofu na Mashehe kuhusu Maadili, Amani na Haki, tuliongoza Ujumbe Maalum wa Viongozi wa Dini kutembelea Magereza na Mahabusu Mkoani Dar es Salaam kwa lengo la kuwajulia hali mahabusu wa kisiasa. Katika sehemu zote tulizokwenda, tulipokelewa vizuri na kufanisha lengo lengo kwa kiasi kikubwa kama taarifa fupi hapa chini inavyoeleza:

UKONGA: Tulipata muda wa kuongea na Freeman Mbowe. Tulimpa ujumbe wa viongozi wa dini na baadaye tukapata nafasi ya kumsikiliza. Alitueleza kuwa hali yake ya kiafya ilikuwa nzuri kabisa na kwamba hakuwa na shida ye yote na 'wenyeji wake' ambao ni Askari wa Jeshi la Magereza pale Ukonga. Alieleza kusikitishwa kwake jinsi walinzi wake 3 amabo ni wanajeshi wanaoshitakiwa pamoja naye katika Kesi ya Ugaidi walivyopata mateso kupitia mikono ya Jeshi la Polisi na kuwekwa ndani kwa kipindi cha mwaka mzima. Anasema aliamua kuwa na walinzi waliokuwa ni Askari wa Jeshi la Wananchi (JWTZ) ili kuimarisha ulinzi wake baada ya kushambuliwa na kuvunjwa mguu kule Dodoma. Ameeleza pia kutokuridhishwa na kitendo cha Jeshi la Polisi kuendelea kuwakamata na kuwaweka mahabusu viongozi wa CHADEMA wanaojitokeza kusikiliza Kesi yake Mahakamani. Hata hivyo, amewashukuru Watanzania wote wanaoendelea kumuombea nchi nzima nzima. Amewataka Watanzania wote kuungana katika kuandika Katiba Mpya!

MBURAHATI: Baada ya kutoka Ukonga, tuliwatembelea mahabusu ambao ni viongozi 12 wa CHADEMA wanaoshikiliwa katika Kituo cha Polisi cha Mburahati ambao walikamatwa Segerea wakiwa wanafanya Kikao cha Ndani. Tulikuta hali isiyo nzuri ya mahusiano kati ya mahabusu wale na Askari waliokuwa zamu wa Kituo cha Mburahati. Tulishughulikia changamoto ile kwa njia ya mazungumzo na sala na hatimaye kurejesha mahusiano na pande zote mbili ziliweza kusameheana. Mazingira hayakuruhusu kuwaona mahabusu wote lakini tulifanikiwa kuonana na viongozi wao 3 ambao ni Gerva Lyenda, Asenga na Mwita. Pia, tuliruhusiwa kuonana na mahabusu 2 wanawake. Mwishoni, tuliwaona mahabusu 2 ambao ni watu wazima akiwemo mzee wa miaka 74 ambao walipelekwa Hospitali kwa matibabu. Leo ilikuwa siku ya 6 tangu wakamatwe pasipo kufikishwa Mahakamani.

CENTRAL POLICE: Tulifika jioni sana kule Posta. Kwa sababu ya muda, tuliruhusiwa kuonana na kiongozi wao ambaye ni Katibu Mkuu wa BAWACHA, Catherine Ruge. Alitueleza changamoto ambayo tuliweza kuifikisha kwa Afisa wa Jeshi la Polisi ambaye alituhakikishia kuwa ataishughulikia. Leo ilikuwa siku ya 4 tangu wakamatwe pasipo kufikishwa Mahakamani. Catherine alitueleza kuwa kulikuwa na mahabusu 30 waliokamatwa walipokwenda kuhudhuria Kesi ya Mbowe katika Mahakama ya Kisutu. Alieleza kuwa baadhi ya waliokamatwa hawakuwa wanachama wa CHADEMA, bali walisombwa tu katika kamatakata. Alieleza zaidi kuwa wengi wa waliokamatwa ndugu zao hawajui kuwa walikuwa wamekamatwa.

Muono wetu kama viongozi wa dini kuhusu ziara hiyo ni kama ifuatavyo: Kitendo cha kuwakamata na kuwaweka ndani viongozi na wanachama wa CHADEMA kwa sababu zilizoelezwa kinalipaka matope Jeshi la Polisi na kinazidi kuinajisi Katiba ya Nchi. Kesi ya Freeman Mbowe inalichafua Taifa letu machoni duniani. Tunafahamu pia kuwa kuna viongozi na wafuasi wengine wa CHADEMA waliokamatwa mikoani kwa sababu za kudai Katiba Mpya. Kudai Katiba Mpya sio jinai.

Ni kwa sababu hiyo, tunatoa wito wa kuachiliwa huru kwa mahabusu wote pasipo masharti ye yote. Kuendelea na Kesi ya Mbowe hakuijengei heshima nchi yetu. Hivyo, tunatoa wito kwa Serikali kuifuta Kesi hiyo kwani kuendelea nayo na kuendelea kukamata watu wanaodai Katiba Mpya ni kujenga mazingira ya kutibua utulivu nchini. Sisi Maaskofu tuliofanya ziara hiyo tumefanya hivyo tukiwawakilisha viongozi wengine wa dini na tumetimiza wajibu wetu (Ezekieli 33:1-20).

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula - Kwa niaba ya Viongozi wa Dini waliotembelea Gereza la Ukonga, Mahabusu ya Mburahati na Mahabusu ya Central Police, Dar es Salaam.
HUYU MWAMAKULA HANA JIPYA ANASEMA VIONGOZI WA DINI UTAFIKIRI NI WA DINI KWELI KUMBE NI YEYE MCHUMIATUMBO NA HUYO MWENZAKE NDIYO WAMEJIFANYA KAMA WALIENDA VIONGOZI WEEENGI WA DINI HAO WANAJUIKANA NI WANA SIASA NA NDIYO MAANA WAMESEMA WALIENDA KUTEMBELEA MAHABUSU WA KISIASA MWAMAKULA HANA JIPYA NI NJAA TU INAMSUMBUA ACHA MBOWE AKUMBANE NA SHERIA NA UKOME KUWAHUSISHA MAASKOFU WENGINE AMBAO NI WACHUNGA KONDOO WE ENDELEA NA SIAS ZAKO TU
 
Back
Top Bottom