Maazimio ya Mkutano kati ya Msajili wa Vyama vya Siasa na Wadau wa Siasa

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
HAYA NDIYO MAAZIMIO YA MKUTANO WA MSAJILI NA VYAMA VYA SIASA JUU YA HALI...

 
huu mkutano ni Aibu bora ya waliosusia
naona leo wanafunga mkutano Zitto kaukacha pengne haridhiki na haya maazimio ambayo ni ya kuchekesha
 
huu mkutano ni Aibu bora ya waliosusia
naona leo wanafunga mkutano Zitto kaukacha pengne haridhiki na haya maazimio ambayo ni ya kuchekesha
Zitto atoe mrejesho, 1) amekubalina na kuhusika na maazimio?
2) .kwa nini hakuwepo maazimio ya kisomwa?
3) au utume wake unakoma kutumika na watawala kwenye kuvuruga nguvu ya upinzani tu.?
 
Zitto atoe mrejesho, 1) amekubalina na kuhusika na maazimio?
2) .kwa nini hakuwepo maazimio ya kisomwa?
3) au utume wake unakoma kutumika na watawala kwenye kuvuruga nguvu ya upinzani tu.?
Zitto si kasema kajitenga kutokana na kuumwa corona.?
 
HAYA NDIYO MAAZIMIO YA MKUTANO WA MSAJILI NA VYAMA VYA SIASA JUU YA HALI...

Katiba mpya ndio dawa ya yote, mengine yote ni kelele tu za kuibeba CCM maiti. Matumizi mabaya ya kodi zetu kwa vikao HARAMU.
 
Vyama michongo - uchaguzi ukifika wanatumiwa na CCM kuwekea vyama vya kweli mapingamizi!! Watanzania wamekwishawaelewa zamani. Huyu Mkangara ndiye alisema uchaguzi wa 2020 ulikuwa poa (kupitia ki-NGO chake)! Labda wachonge wengine. Hawa vinyago wa zamani tunawajua vizuri sana.
 
Aminia kiongozi
 
usikute hawa wazee hawajui kama mambo wanayojadili tayari yapo kwenye katiba na sheria. mnazunguka nini wakati mchawi anajulikana? mchawi ni serikali ya CCM
Kwahiyo mambo ya katiba mpya tena ndo bye bye?
 
Msamalia mwema mmoja anisaidie kusamarize madude hayo.
Sina bando la kuangalia video
 
Zitto si kasema kajitenga kutokana na kuumwa corona.?
Zito ni mjanja sana. Hakutaka ahesabiwe pamoja na wajinga wanaojadili mambo ambayo katiba ilikwishayawekea utaratibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…