jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Kwahiyo babu na bibi zetu wapo mbinguni au motoni?ALLAH SW ahukumu mtu ambaye hakufikishiwa ujumbe,yeye si Kama wale ambao hawafikishi elimu ya Sheria kwa watu Kisha huwahukumu kwa makosa ambayo hawakujua no makosa
#MaendeleoHayanaChama