ALLAH SW ahukumu mtu ambaye hakufikishiwa ujumbe,yeye si Kama wale ambao hawafikishi elimu ya Sheria kwa watu Kisha huwahukumu kwa makosa ambayo hawakujua no makosa
Waliotangulia mbele ya haki kabla ya hizi dini ndio wapo na Mungu wa kweli Mbinguni. Hizi dini zimejitengenezea Mungu wao, ingekuwa kweli hapangekuwa na mgawanyiko kiasi hicho.