Mabachela: Ni chakula gani kigumu kupika geto?

Ukhuty hata achari natengeneza mwenyewe
Achari ya ndim
Achari ya mbirimbi
Na achari ya embe
Japo achari ya embe mwanzomwanzo ikikua ikinizingua kidoogo uchanganyaji wake wa viungo

Sent from Calculator Phone vesion007
 
Ai weewe! utaoa kwa sababu ya kufuliwa au kuoshewa vyombo tu? Si uajiri tu mjakazi?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Huyo mjakaz cjui kama
Ntamuacha salama
Maana atakua anakuja kufua
Kila week end to

[Color= yellow]Triple A[/color]
 

Aiseeeee!!! Hapo ndo wanaume
Tunaonaga n mlima usiona mwisho
Unapanda



[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Hahhahha
Pole sana mkuu.
Tambi ni maji yako tu na mixture ya sukari na chumvi.
Labda usiweke vile vikorombwezo.
Dhaaaa!!! Yan hii ndo nataka
Nikafunzwe home wakat huu
Naenda likizo mpaka nihakikishe
Nmejua kuipika dhaaa!!

Napenda sana hii kitu aisee

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Ukiugeuza kila baada ya dk 6 siutakuwa uji huo wali unageuza mara moj tu bas
 
Ukhuty hata achari natengeneza mwenyewe
Achari ya ndim
Achari ya mbirimbi
Na achari ya embe
Japo achari ya embe mwanzomwanzo ikikua ikinizingua kidoogo uchanganyaji wake wa viungo

Sent from Calculator Phone vesion007
Safi
Cc usser[emoji7]
 
Dhaaaa!!! Yan hii ndo nataka
Nikafunzwe home wakat huu
Naenda likizo mpaka nihakikishe
Nmejua kuipika dhaaa!!

Napenda sana hii kitu aisee

[Color= yellow]Triple A[/color]
Nikufundishe hapa jukwaani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…