Watoto wa sister walipokwenda uni formular niliyowapa ni kikombe kimoja cha mchele vikombe viwili vya maji chumvi kijiko cha kulia mafuta, moto mdogo funika. Hapa kukosea labda iwe mchele mpyaWali ni kuupika ni mtihani mkuu, yaan tangu kuupanda kwenye majaruba hadi kuupika ni mtihani! [emoji36]
sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app
Shida ya kande kumix mahindi na maharage au dengu na ziive kwa pamoja ndio MSALA!Cjui kwann swala la
Makande limewashinda wengi yan wakat n kitu simple
Sana kushinda hata ugali
[Color= yellow]Triple A[/color]
Kabisa aiseehqhaha hakuna mtoto wa kiume anaweza kupika hii gheton
Wewe Dada kama hutajali utupe mrejesho wamekuja wangapi pmhahaha mabachela mpo?????????
Hahahaaa shida yako huwa unazigeuza, tambi hazigeuzwi ukipika hahahahaaa daaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]lakini ni pilau sio...?Mkuu mimi kitu cha pilau hadi leo siiwezi kuikorofisha ikakaa poa...naishiaga kupika ya kawaida sana daaah
Hahahhha [emoji23][emoji23]Kitu ambacho mabachela wengi wanachokiweza ni kuchemsha chai ya rangi na kupika tambi tu.
Kataeni au mkubali.
% kubwa ya wanaomudu kupika baadhi ya vyakula ni aidha wale waliokulia kwa dada zao au walioondoka kwenda kuanza maisha wakiwa wametoka makwao (kwa wazazi wao) wakiwa 22-25+.
Waliobaki wote ni tambi na chai ya rangi tu
ya kawaida iliyonuna[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]lakini ni pilau sio...?
post using my macbook air using jamiiforums app
Kumbe upo hapa jiran tuoane bas unipikie kitam zaidsolution ni kuoa tu..........
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asee!ya kawaida iliyonuna
Sent from my iPhone 5s using Tapatalk
ndio hivyo mkuu maisha ya ubachela hayo..ila nitafanya mpango nivute Mama ndani niondokane na adha hii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]asee!
post using my macbook air using jamiiforums app
kumbe tupo wengiChapati mie nahisi kuja kuzijua mpaka nitumiwe wataalam kuroka china
Delta Force