Mabachela: Ni chakula gani kigumu kupika geto?

Mabachela: Ni chakula gani kigumu kupika geto?

Jana nimetulia zangu getoni, mara nje naskia mboga mboga! Roho ikafurahi nikasema ngoja leo nichemshe mboga mboga. Najikoki kutoka tuu naskia jamaa anakomaa..."Mbogaa mbooooga kina mama humo ndani" mbogaa mbogaa kina dada humo ndani "mbogamboooga mashangazi jamani!!! Kiukweli nilighairi pale pale.
Ha haaaa poleeee
 
Vyote hata chai...mi nd9 mana nikihamiaga mtaa mpya natafuta kademu kakunipikia na kunifanyia usafi halafu mi nakalipa dudu...kuonya vyombo ni kazi ya kijinga sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ec06068c5e2c12aca40a05b3b62986e2.jpg
. Hyo meza sidhan kama naikaliaga..fridge ina maji,juice,myonise nikija na mkate au chips yai nashushia na juice na maji aisee itabidi jiko lije fasta
Mkuu una bek3 nn? Mbona nyumba safi hiviii kama hakai bachelor?
 
Labda biriani kupika ndio tatizo..ila naipenda sana hasa siku za ijumaa kama leo kuna sehemu lazima nipitie mchana..nadhani Kwa waliokaa Tanga wananielewa..
 
Kitu ambacho mabachela wengi wanachokiweza ni kuchemsha chai ya rangi na kupika tambi tu.
Kataeni au mkubali.
% kubwa ya wanaomudu kupika baadhi ya vyakula ni aidha wale waliokulia kwa dada zao au walioondoka kwenda kuanza maisha wakiwa wametoka makwao (kwa wazazi wao) wakiwa 22-25+.
Waliobaki wote ni tambi na chai ya rangi tu
Mkuu dah umeniotea santa lucia nazitandika sana tu
 
Back
Top Bottom