Ha haaaa poleeeeJana nimetulia zangu getoni, mara nje naskia mboga mboga! Roho ikafurahi nikasema ngoja leo nichemshe mboga mboga. Najikoki kutoka tuu naskia jamaa anakomaa..."Mbogaa mbooooga kina mama humo ndani" mbogaa mbogaa kina dada humo ndani "mbogamboooga mashangazi jamani!!! Kiukweli nilighairi pale pale.
Ha haaaa poleeee
[emoji23][emoji23] mi kinachonizingua ni kuosha vyombo na nikipika naishia kuonja pale pale jikoni mpaka chakula kikiiva nakua nshashiba
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi mimi mpaka leo sijui kutoa kitu cha pilauMkuu mimi kitu cha pilau hadi leo siiwezi kuikorofisha ikakaa poa...naishiaga kupika ya kawaida sana daaah
Mkuu una bek3 nn? Mbona nyumba safi hiviii kama hakai bachelor?. Hyo meza sidhan kama naikaliaga..fridge ina maji,juice,myonise nikija na mkate au chips yai nashushia na juice na maji aisee itabidi jiko lije fasta
Mkuu una bek3 nn? Mbona nyumba safi hiviii kama hakai bachelor?
Hadi nmeogopa mkuu, hapo nahisi mende na nzi wanaona hata haya wameziba midomo na macho kwa mikono!!!Mhmm jamaaaa msafii aisee
Mkuu we piga puli tu, sa unaoa ya nini?
[emoji13] [emoji13] [emoji13] kabisaa,maana kuna wahenga tungeishasogeza zulia kufuata kochi.lazima ungeona kiatu hapo au hata T-shirt.Mkuu una bek3 nn? Mbona nyumba safi hiviii kama hakai bachelor?
Mkuu dah umeniotea santa lucia nazitandika sana tuKitu ambacho mabachela wengi wanachokiweza ni kuchemsha chai ya rangi na kupika tambi tu.
Kataeni au mkubali.
% kubwa ya wanaomudu kupika baadhi ya vyakula ni aidha wale waliokulia kwa dada zao au walioondoka kwenda kuanza maisha wakiwa wametoka makwao (kwa wazazi wao) wakiwa 22-25+.
Waliobaki wote ni tambi na chai ya rangi tu
Hahahah hizo lazima yani[emoji13] [emoji13] [emoji13] kabisaa,maana kuna wahenga tungeishasogeza zulia kufuata kochi.lazima ungeona kiatu hapo au hata T-shirt.
Hongera.Mkuu dah umeniotea santa lucia nazitandika sana tu