Mimi ugali kupika ni inshu mpaka leo nisipo pika mbichi basi ni mabonge mabonge full...Mm najua kusonga ugali tu mboga kupika na vyakula vingine sijui..
Niilishi na mshikaji yy alikua anajua kupika mboga ila ugali hawez sobga so tukawa tunagawana majukumu, yy mboga mm ugali..!
hahahaaaaaaaa nitakuja na kibao kabisa unifundishe na kusukuma nisije pika zile zenye masikionjoo nikufundishe hahah
Vaykula vyote, isipokuwa maji ya kuoga na Chai.Nina imani mabachela tuko wengi sana humu.
Katika suala la kupika na kuosha vyombo huwa ni habari ingine. Vipi wewe mkuu ni msosi gani kuupika au kuuandaa huwa unakupa mawazo sana japo unaupenda. Na ukiula mahala unahisi umekosewa kupika sio kama ungeupika japo hujawahi kuutest geto.
Mimi bana WALI naupenda ila kuuandaa hadi utoke ni hatari sana. Halafu nikiwa nakula kitaa huwa mwepesi sana kuwalaumu wahudumu wali haujaiva au wamepika bokoboko au una mawe.
Wewe je msela wa geto nini kinasumbua jikoni?
Acha hizo man, utakuja kupika sumu bure.Mzazi kitu chapati aiseeh hii theory zake zote kichwani nimezipiga kinoma kwa Bi Mkubwa mara nyingi alikuwa ananianzishia kuchanganya madude mi namalizia kuzisukuma kwenye kibao chake na kuziweka kwa moto.
Kila day nataka kujilipua kigetogeto nikamate ngano toka mwanzo hadi mwisho.
Ila day tu soon nitajilipua mzazi.
Safi sana bachelor. Kitu hot
kwmba hakikulika au?Kuna siku mother alisafiri tukabaki na mshua ilikuwa hatari. Tukalilia wali, mshua akazama jikoni. Mhmm kitu kilivokuja mezani balaaa.
ni rahisi sana kuandika hizi theory lakini ukiingia jikoni unaishia kuungua na kuharibu rasilimali i.e mchele, mafuta, gesi , muda nkKwa mabachela wanaishindwa kupika wali. Tumia hesabu ndogo tu. Si lazima uwe na rice cooker. Kiasi cha maji ya kupikia mchele ukaiva ni mara mbili ya kiasi cha mchele unaotaka kuupika. Kama umepima kikombe kimoja cha mchele (level), basi pima maji kwa kikombe hicho au kingine chenye ujazo huo. Kumbuka kupunguza moto mchele unapokaribia kuiva.
Kumbuka, kuna grades mbalimbali za mchele. Utaratibu huu unaweza ukakataa kwa baadhi ya mchele. Ila, siyo kwamba hautaiva, unaweza kuwa boko kidogo au ukapungukiwa na maji kodogo. Soma mazingira haya halafu utaamua ama kuongeza au kupunguza maji kidogo.
Hakuna sababau ya kula tena wali bokoboko au ambao haujaiva vizuri.
Wewe jamaa sio kwamba hujui kupika wali ila usichojua ni kukadiria maji.. tafuta mdada akuelekeze jinsi ya kukadiria.Nina imani mabachela tuko wengi sana humu.
Katika suala la kupika na kuosha vyombo huwa ni habari ingine. Vipi wewe mkuu ni msosi gani kuupika au kuuandaa huwa unakupa mawazo sana japo unaupenda. Na ukiula mahala unahisi umekosewa kupika sio kama ungeupika japo hujawahi kuutest geto.
Mimi bana WALI naupenda ila kuuandaa hadi utoke ni hatari sana. Halafu nikiwa nakula kitaa huwa mwepesi sana kuwalaumu wahudumu wali haujaiva au wamepika bokoboko au una mawe.
Wewe je msela wa geto nini kinasumbua jikoni?
Mbona mimi napikaKitu ambacho mabachela wengi wanachokiweza ni kuchemsha chai ya rangi na kupika tambi tu.
Kataeni au mkubali.
% kubwa ya wanaomudu kupika baadhi ya vyakula ni aidha wale waliokulia kwa dada zao au walioondoka kwenda kuanza maisha wakiwa wametoka makwao (kwa wazazi wao) wakiwa 22-25+.
Waliobaki wote ni tambi na chai ya rangi tu
Tupohahaha mabachela mpo?????????
Mke nae akiwa hana mood ya kuzipikaje?solution ni kuoa tu..........
Sijawahi jaribuHata Ile ya kumimina huwezi!
Hongera basiMbona mimi napika
Kama unapika wa mabonge mabonge, Basi uweke unakoroga uji kwanza, Halafu unachanganya na maji ya kusongea ugali jikoni, koroga vizuri mpaka yatakapochemka vizuri, punguza uji kidogo, tia unga wako, Acha upogome kwa kupanda juu, Anza kuusonga utakuwa si mgumu mlaini wastani na mtamu kinyama.Mimi ugali kupika ni inshu mpaka leo nisipo pika mbichi basi ni mabonge mabonge full...
Ni kawaida kwa mpishi yeyote, Hilo humtokea pale anapopika akaivisha sasa ktk kuonja huwa anahisi chakula alichopika si kitamu au hakina ladha, Lakini ukimuonjesha jirani au mtu ambaye hajakipika atasema KIKO VIZURI SANA.Na chakula ukpka mwanaume ukikila unakiona tu cha kawaida lakn kikipkwa na mdada ni balaaaaaaaaaa