Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Mbichi au alikwisha kaangwa?Kupika Mchuzi Wa Samaki Sijui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbichi au alikwisha kaangwa?Kupika Mchuzi Wa Samaki Sijui
Sema chochoteSijui niseme nini
sure,mkuu..dagaa,na..wali.nahitaji..sana,kujifunza.Unahitaji kweli kujifunza kupika dagaa au unazuga?
Dagaa, ni kiasi upendacho kama unakula na vichwa au laa toa vichwa chambua vizuri,sure,mkuu..dagaa,na..wali.nahitaji..sana,kujifunza.
msaada
Nashukuru sana mkuu, kama hutojali unaweza kunimalizia na wali.Dagaa, ni kiasi upendacho kama unakula na vichwa au laa toa vichwa chambua vizuri,
Kisha (kupua) amabayo ni kuwakaanga kidogo wakavu hivyo hivyo,
Baada hapo tia maji acha kama daki 2 hivi wasafishe vizuri weka katika chombo kingine kisafi,
Chukua ndimu au limau kipande kamulia humo tulia hapo,
Chukua sufuria lako bandika jikoni tia mafuta yakipata moto,
Tia kitunguu chako ambacho ulishakata, kiiva kiasi weka dagaa wako tia chumvi,
Kaanga mpaka uone maji yako yamekauka angalia usiunguze si unajua gase,
Baada ya hapo nyanya yako uliokwisha anadaa tia mule funika muda kidogo,
Koroga vizuri hapo wewe kama watakauka sana ni wewe laa utaona hii mboga ipo tayari ruksa,
Then enjoy your food
ulijuajeKumbe ww ndo unawekaga maji hadi anafufuka [emoji3]
Hahaha [emoji120] [emoji120] [emoji120] nikipata nafasi nitaandika tenaNashukuru sana mkuu, kama hutojali unaweza kunimalizia na wali.
duuh!! ugali easy sana mkuuPilau siwezi na ugali
acha uongo mkuuMaharage ukiondoka yanaungua au mkaa unaisha halafu unayakuta hayajiva.. Ukikaa kusubiri utaongeza mkaa mpaka unachukia huku ukijisahau kidogo yanaungua
Inaboaga sana yani mkuuMIMI SIPENDI HARUFU YA KITUNGUU INAYOBAKI KATIKA MIKONO