The conceited
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 440
- 496
Mandazi na chapati wakuu nimejaribu kukaa karibu na mama lkn kila nikienda getoni lazma nikosee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaamm hata chapat napika hakuna kitu easy kwangu kwangu km chapat
kbsHaaaa
Tuma kitchen foil, mifuko ya plastic sio mizuri kwa afyaMkuu wali unataka timing ya moto tu
Pale ushachemsha maji na takacheemka ukiweka mchele acha uive maji takianza kuaukia tu hapo hapo punguza moto kabxaaa half funikia kwa mfuko wa rambo tu huku ukiiva kwa moto mdooogo
Vizuri ikiwa unauchungulia kila baada ya dakika 6 ivi unaugeuza hapo mambo yanakua bomba[emoji3]
Tuma kitchen foil, mifuko ya plastic sio mizuri kwa afya
hahaahhaa leo siku yangu imeisha vzurUGALI BWANA!
Nakumbuka siku moja nimejaribu kupika ugali tatizo sasa likawa kwenye kuula
Nikawa najiuliza huu naunywa au nakula?Maana uji si uji ugali si ugali
Me hadi Leo Natamani Ndizi Nyama, Ila kupika Issue
Ubachelor Shida Sana.
Au achemshe nyamaNikupe recipe rahisi kabisa. Chemsha nyama ama kuku, weka kando. Kaanga kitunguu, kikiwa brown tia binzari kidogo na nyama kaanga kiasi then weka nyanya chache. Zikiiva tia supu ya kutosha na ndizi zako zilizomenywa na kuoshwa. Zikikaribia kuiva weka nazi ya azam na punguza moto ili nazi isikatike.
Voilaaaa[emoji13]
Au achemshe nyama
Akatie kila kitu
Aweke na ndizi kabisa.