Mabachela: Ni chakula gani kigumu kupika geto?

Mabachela: Ni chakula gani kigumu kupika geto?

Hii inakuwa na kaharufu flani ka nyanya ambazo hazijaiva vizuri inanikera.

Kama nyama ni nyingi ya kutodha, ndizi chuku chuku huwa tamu pia kwa sababu ya supu nzito. Ila isiwekwe nyanya kabisa, carrots, hoho na vitunguu vinatosha
Hivi watu wanaweka nyanya kwenye ndizi!!

Mie naweka karoti,hoho,kitunguu na pilipili mbuzi baaasi
 
Mapishi ni mengi mno. Nyanya mbili tatu huwekwa.
Unajua hata pilau yawekwa nyanya pia?
Kuishi ni kujifunza.
Hivi watu wanaweka nyanya kwenye ndizi!!

Mie naweka karoti,hoho,kitunguu na pilipili mbuzi baaasi
 
Mapishi ni mengi mno. Nyanya mbili tatu huwekwa.
Unajua hata pilau yawekwa nyanya pia?
Kuishi ni kujifunza.
Hahaa umenikumbusha ,
Mie nilizoea kuweka nyanya kwenye pilau
Siku moja shemeji yako akanikuta naandaa vitu vya pilau zikiwemo nyanya

Akanisema pilau haiwekwi nyanya inakuwa na uchachu
Ndipo nikajifunza
 
Pilau yatiwa nyanya moja tu mama, unless mchele mwingi. Kila mtu na pishi lake lakini, haidhuru.
Hahaa umenikumbusha ,
Mie nilizoea kuweka nyanya kwenye pilau
Siku moja shemeji yako akanikuta naandaa vitu vya pilau zikiwemo nyanya

Akanisema pilau haiwekwi nyanya inakuwa na uchachu
Ndipo nikajifunza
 
alikeni madem zenu wakakinukishe huko magetoni

Sometimes it feel good kula kile mkono wako binafsi umeandaa. Mimi ilinibidi niende extra mile ya kujifunza kupika kama nilivyokuwa navila home baada ya kuwa nalalia kiepe kila siku kutokana na kuona vyakula vya mitaani siridhiki navyo.
 
Nilitokea kuchukia ndizi kutokana na kukosa waandaji wazuri. Mama alikua akipika ndizi nyama au utumbo usipokula unayako moyoni. Lakini mpaka leo nina zaidi ya mwaka sijaonja pishi hili. Natamani ila siwezi kulipika kufikia kiwango kile.
 
Nina imani mabachela tuko wengi sana humu.

Katika suala la kupika na kuosha vyombo huwa ni habari ingine. Vipi wewe mkuu ni msosi gani kuupika au kuuandaa huwa unakupa mawazo sana japo unaupenda. Na ukiula mahala unahisi umekosewa kupika sio kama ungeupika japo hujawahi kuutest geto.

Mimi bana WALI naupenda ila kuuandaa hadi utoke ni hatari sana. Halafu nikiwa nakula kitaa huwa mwepesi sana kuwalaumu wahudumu wali haujaiva au wamepika bokoboko au una mawe.

Wewe je msela wa geto nini kinasumbua jikoni?
Mkuu mmi gheto ugali ndo naupigaga chap ila mambo ya wali cfagilii
 
Tuacheni utani naomba kufundishwa, kupika wali mzuri kingine kupika dagaa ase huwa nashindwa, wataalamu mkuje mnielekeze.
 
Back
Top Bottom