Mabachela: Ni chakula gani kigumu kupika geto?

Mabachela: Ni chakula gani kigumu kupika geto?

db92c3c232331b3ac105f568feaf7975.jpg
nyote wapenda pilau karibuni tule
Daaaadeki. Na nikiweza kupika hii kitu naitisha Uchaguzi mkuu

CC Mayamahaw

Hii Simu Sio Ile, Hii Ni Hii
 
Mzazi kitu chapati aiseeh hii theory zake zote kichwani nimezipiga kinoma kwa Bi Mkubwa mara nyingi alikuwa ananianzishia kuchanganya madude mi namalizia kuzisukuma kwenye kibao chake na kuziweka kwa moto.


Kila day nataka kujilipua kigetogeto nikamate ngano toka mwanzo hadi mwisho.

Ila day tu soon nitajilipua mzazi.
Lol, zikiiva nishtue jombaaa napendaga sana hayo mazaga zaga.

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Siku hizi unazama youtube una search chakula utakacho unacopy maujuzi kwa utaratiibu.
Sema kitu cha birian aiseee sijakipatia kbs halaf nakipenda sana, daaaah!!

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Mzazi kitu chapati aiseeh hii theory zake zote kichwani nimezipiga kinoma kwa Bi Mkubwa mara nyingi alikuwa ananianzishia kuchanganya madude mi namalizia kuzisukuma kwenye kibao chake na kuziweka kwa moto.


Kila day nataka kujilipua kigetogeto nikamate ngano toka mwanzo hadi mwisho.

Ila day tu soon nitajilipua mzazi.
Kwa lugha hii hakika mimi ni mhenga!
 
Hakuna neno inabidi iyo siku utakuwa unaonja kama mule mule au nimepuyanga kazi
Oyooooo kwenye sekta ya kuonja nipo vizuri.... sema unaweza kweli kutoa zile lainiiiii... mimi ngano ilinishinda kupika zaidi ya tambi tu.

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Oyooooo kwenye sekta ya kuonja nipo vizuri.... sema unaweza kweli kutoa zile lainiiiii... mimi ngano ilinishinda kupika zaidi ya tambi tu.

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Hahahahaha basi gude nitakupandia tu kitu kikinuka kigetoni uje ufanye yako.
 
Kwa lugha hii hakika mimi ni mhenga!
Lugha ya kibabe kwa kua anaongea na mabachela wenzie,
ila akiwa anaongea na mrembo kama wewe lazima anyooshe kiswahili. lol

Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
 
Back
Top Bottom