ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,879
- 41,971
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Acheni umbea, this is mens talk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Acheni umbea, this is mens talk
Kalale uko dogo[emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Daaaadeki. Na nikiweza kupika hii kitu naitisha Uchaguzi mkuunyote wapenda pilau karibuni tule![]()
Acha tu mke ni muhimu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lol, zikiiva nishtue jombaaa napendaga sana hayo mazaga zaga.Mzazi kitu chapati aiseeh hii theory zake zote kichwani nimezipiga kinoma kwa Bi Mkubwa mara nyingi alikuwa ananianzishia kuchanganya madude mi namalizia kuzisukuma kwenye kibao chake na kuziweka kwa moto.
Kila day nataka kujilipua kigetogeto nikamate ngano toka mwanzo hadi mwisho.
Ila day tu soon nitajilipua mzazi.
Kwa lugha hii hakika mimi ni mhenga!Mzazi kitu chapati aiseeh hii theory zake zote kichwani nimezipiga kinoma kwa Bi Mkubwa mara nyingi alikuwa ananianzishia kuchanganya madude mi namalizia kuzisukuma kwenye kibao chake na kuziweka kwa moto.
Kila day nataka kujilipua kigetogeto nikamate ngano toka mwanzo hadi mwisho.
Ila day tu soon nitajilipua mzazi.
Hakuna neno inabidi iyo siku utakuwa unaonja kama mule mule au nimepuyanga kaziLol, zikiiva nishtue jombaaa napendaga sana hayo mazaga zaga.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Mkuu mbona nimenyoosha lugha vyema tu hapo.Kwa lugha hii hakika mimi ni mhenga!
Nipo njoo uniokoe na huu ukapela paulina wangu..!hahaha mabachela mpo?????????
Oyooooo kwenye sekta ya kuonja nipo vizuri.... sema unaweza kweli kutoa zile lainiiiii... mimi ngano ilinishinda kupika zaidi ya tambi tu.Hakuna neno inabidi iyo siku utakuwa unaonja kama mule mule au nimepuyanga kazi
Hahahahaha basi gude nitakupandia tu kitu kikinuka kigetoni uje ufanye yako.Oyooooo kwenye sekta ya kuonja nipo vizuri.... sema unaweza kweli kutoa zile lainiiiii... mimi ngano ilinishinda kupika zaidi ya tambi tu.
Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
Ai weewe! utaoa kwa sababu ya kufuliwa au kuoshewa vyombo tu? Si uajiri tu mjakazi?Tutaoa kwa sababu ya
Kufuliwa na kuosha,vyombo tu
Triple A
Your wrong nawashikaji zangu wawili wanazisukuma vyema tuu afu uhez wazania though binafsi niliishia za majihqhaha hakuna mtoto wa kiume anaweza kupika hii gheton
In sha Allah... Ukiivisha usisahau kunikaribisha.Usintamanishe wewe looh kesho nitapika inshaallah[emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]
Lol, aminiaaaaaHahahahaha basi gude nitakupandia tu kitu kikinuka kigetoni uje ufanye yako.
Lugha ya kibabe kwa kua anaongea na mabachela wenzie,Kwa lugha hii hakika mimi ni mhenga!