Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,570
- 10,517
Hapa labda, maharage na nyama achemshe ya wiki, halafu kazi yake inakuwa kuunga tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Uvivu wako wa kupika usikufanye ule makapi. Mavyakula yaliolala kwenye fridge hayanaga ladha.
Best thing ni kuacha uvivu. Pika chakula freshi ule freshi.
Sent using Jamii Forums mobile app