Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poleee.tafuta mchepukoNimeoa miaka 10 iliyopta,nilijua nimemaliza...lkn majukumu yamenipeleka sehemu nyingine. Kila kitu kimerudi sifuri,facken
sawa mkuuMkuu hebu ishi na zile ndizi mbichi.Unamenya unapitisha kisu katikat unaweka kwny mafuta.At the same time may be una Samaki mkavu kipande ni kumpasha tu.Kama una nyanya,vitunguu,tango,pilipili,parachichi unavikata chap then na ile ndizi fresh kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
😋😋
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mkate na chai
Inafutwa na tishu tu umemalizaUgali na mayai..
Unapiga ugali, unapika mayai. Ugali unalia kwenye sufulia na mayai unachanganya umo umo.. Flampeni kwa mwezi inaoshwa mara moja sababu huwa haichafuki.
Unakuwa na kazi ya kuosha sufulia tu
Sasa kila siku utakua unakula ugali mayai?Ugali na mayai..
Unapiga ugali, unapika mayai. Ugali unalia kwenye sufulia na mayai unachanganya umo umo.. Flampeni kwa mwezi inaoshwa mara moja sababu huwa haichafuki.
Unakuwa na kazi ya kuosha sufulia tu
Mim nimesha vuka hii stage nampa ujuzi kijana [emoji3]
Hahah kwahio mie mtoto wa uswahilini tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!?
Sawa kila mtu abaki na imani yake ila mie binafsi chakula kikilala frijini siinjoy kukila. Kama huamini pika maharage fresh kisha kula yakitoka jikoni tu usikie ladha yake kisha yalaze kwenye friji kesho yake uyapashe uone kama yatakuwa na ladha ile ile.?
Ugali mayai unakaba sana kooni aisee.Ugali na mayai..
Unapiga ugali, unapika mayai. Ugali unalia kwenye sufulia na mayai unachanganya umo umo.. Flampeni kwa mwezi inaoshwa mara moja sababu huwa haichafuki.
Unakuwa na kazi ya kuosha sufulia tu
Yalale ila sio kwenye freezerMaharage yakilala ndo yanazidi utamu boss
Tuko wengi,labda nieke kikiwa kibichi na kisikae mda mrefi 3_4days.Utakuta watu wanasema unachemsha maharage mengi yaweke kwenye fridge inabaki kuunga Tu lakini sioni kama yanakuwaga mazuri.Hahah kwahio mie mtoto wa uswahilini tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!?
Sawa kila mtu abaki na imani yake ila mie binafsi chakula kikilala frijini siinjoy kukila. Kama huamini pika maharage fresh kisha kula yakitoka jikoni tu usikie ladha yake kisha yalaze kwenye friji kesho yake uyapashe uone kama yatakuwa na ladha ile ile.?