Mabachela wenzangu, mnapika vyakula gani vya haraka haraka?

Mabachela wenzangu, mnapika vyakula gani vya haraka haraka?

mseto wa karanga
mahitaji: karanga mbichi1/4 kilo
mchele 1/2 kilo
osha karanga zako vizuri, pima maji wastani kwenye sufuria , weka karanga hizo, chumvi na mafuta, funika vichemke kama dk 10, kisha weka mchele wako huko , hakikisha tuu wali wako haukauki saana, huu msoc unaezapiga na chai au maziwa na ni fasta tuu
Mmmh!
 
Mi.nakushauri mboga ya fasta. Dagaa zilizokaangwa, kachumbari yenye matango na caroti ukiweza mix na parachichi ndani yake, haina haj yakupik jikoni jipe dakik kdha tu wakati maji ya ugali yanachemka we fanya kuuchanganya mchanganyiko wa mboga zako... utanishkuru maana hadi mchuzi ni humo humo. NB ugali kula ukiw wamoto maan mboga zitakua za baridi!

Kwa haraka utakua umepika ugali only. Hiyo ni mchana.

Usiku tafuta chombo cha plastiki chenye mfuniko. weka mchele wako uliouosha changnya chumvi na mafuta humohumo then funik chombo chako katika sufuria la maji yanayochemka, baada ya hapo unawwza kurudi JF ukaendelea kuchati mpaka km nusu saa au lisaa hivi unaweza kuutoa mchele wako ukiwa wali tayari Na maji ukayatumia kwa mishe nyingine, hapo najua mboga hauwezi kosa, unanunua maharage ya shng 500 tuu kama upo Dar!

NB: jribu kwanza ukiwa umeshiba!!
[emoji2299][emoji2299]
 
Kupika kila siku kunachosha fanya hivi kama una jokofu, wewe tenga siku upike vyakula tofauti tofauti kisha hifadhi kwenye jokofu, kazi yako inakua kuchota kidogo na kupasha kwenye Microwave tu.

Mtembelee Aroma of Zanzibar YouTube atakupa muongozo wa kupika vyakula mbali mbali mimi huyu ni mkombozi wangu.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Olewa wewe. Uwe unampikia mumeo,

Uvivu tu umekujaaa
 
Mm pia kupika ina nichosha hasa nikiwa alone nikipika chakula hakina radha kabisa nahic mateso nabaki tu kununua msosi kwa Mama ntilie simple tu,nikiwa nataka kula chakula nikipendacho naweka order kwa mazaa wa chakula mapema tu nampa ela yake ya msosi ,siku inapita fresh hakuna kupoteza mda,
Uoe sasa, muda ndio huu.
 
Nunua nutela, nunua mkate mzur mlaini, blue band. Uwe na kahawa na nido. Asee utaishi maisha rahis snaa, yaani we ni kuchemsha maj tu na kupaka mkate kwisha. Hyo u apiga asubuh na usiku, kama simple snack.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana taifa lina watu legelege sana. Wenzenu wanakula mlo kamili full maprotein, mawanga, mavitamini C kibao. Ndio maana timu zetu zikicheza na watu wenye shibe zao tunapigwa tu. Ukute mchezaje asubuhi kanywa chai ya rangi na vitumbua
 
Ugali na mayai..
Unapiga ugali, unapika mayai. Ugali unalia kwenye sufulia na mayai unachanganya umo umo.. Flampeni kwa mwezi inaoshwa mara moja sababu huwa haichafuki.
Unakuwa na kazi ya kuosha sufulia tu
Aisee
 
Vyakula visivyo na mlolongo mrefu wa kuandaa na vyombo vichache sana vitumike. Nimechoka ubwabwa (wa rice kuka)/tambi/ugali na nyama au mainiau mchemsho. Vitu gani vingine huwa mnapika?

Asanteni
ugali wa chumvi,+ limao+pilipili, note: hapa unapika tuu ugali then unachukua kibakuli unakamulia limao unaweka na pilipili na chumvi kidogo, karibu mezani. Ukienda kukata gogo nenda na fanta orange kabisa ya kukupunguzia maumivu
 
ugali wa chumvi,+ limao+pilipili, note: hapa unapika tuu ugali then unachukua kibakuli unakamulia limao unaweka na pilipili na chumvi kidogo, karibu mezani. Ukienda kukata gogo nenda na fanta orange kabisa ya kukupunguzia maumivu
Aisee
 
ugali wa chumvi,+ limao+pilipili, note: hapa unapika tuu ugali then unachukua kibakuli unakamulia limao unaweka na pilipili na chumvi kidogo, karibu mezani. Ukienda kukata gogo nenda na fanta orange kabisa ya kukupunguzia maumivu
Duh..Sasa si bora hiyo fanta ndio ulie ugali tu?
 
Hua nanunua kiti Moto Cha 2000,Kisha nnasonga ugali
Weekend nkiwa sijaingia mzigoni
Nnapika wali asubuhi na nyama au chochote
 
Back
Top Bottom