Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Mmmh!mseto wa karanga
mahitaji: karanga mbichi1/4 kilo
mchele 1/2 kilo
osha karanga zako vizuri, pima maji wastani kwenye sufuria , weka karanga hizo, chumvi na mafuta, funika vichemke kama dk 10, kisha weka mchele wako huko , hakikisha tuu wali wako haukauki saana, huu msoc unaezapiga na chai au maziwa na ni fasta tuu