Weka wali kweny ricecooker weka chai yako pemben wali ukiiva pakua weka kweny feni upoe fasta ukishapoa chukua chai piga fasta au unaweza nunua ndondo kwa mamantilie ukija unamwagia juu unapiga
Ukichoka wali chai nunua kiungo cha pilau cha 100 na mshikaki wa jero changanya kwenye ricecooker vizur vikiiva ni pilau tayar halina mbwembee chukua nyanya moja kata kata piga shushia na maji
Mm nilijenga urafiki na wale wamama wanaouza mboga za majan so nikitaka nampigia simu ananikatia katia kabisa nikichukua nikuosha weka kwenye jungu chukua nyanya moja kitunguu changany vyote na mafuta wela vyote zungusha dk 6 had 8 tayar
Sent using
Jamii Forums mobile app