Mabachela wenzangu, mnapika vyakula gani vya haraka haraka?

Mabachela wenzangu, mnapika vyakula gani vya haraka haraka?

Kama utaunga sidhani kama ladha itapotea kivile

Mbinu nyingine kwa nyama, unaweza chemsha halafu unaweka chumvi nyingi, halafu ikiiva, hakikisha unaitunza kwenye sufuria ikiwa kavu (sio kwenye friji) , hii inakaa hata wiki bila kuharibika
Maharage na nyama ni sawa ila nayo yanapotezaga taste yakikaa sana frijini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ugali na mayai..
Unapiga ugali, unapika mayai. Ugali unalia kwenye sufulia na mayai unachanganya umo umo.. Flampeni kwa mwezi inaoshwa mara moja sababu huwa haichafuki.
Unakuwa na kazi ya kuosha sufulia tu

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dah! Hapa binamu kwa kweli hii ni push to start

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah kwahio mie mtoto wa uswahilini tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!?

Sawa kila mtu abaki na imani yake ila mie binafsi chakula kikilala frijini siinjoy kukila. Kama huamini pika maharage fresh kisha kula yakitoka jikoni tu usikie ladha yake kisha yalaze kwenye friji kesho yake uyapashe uone kama yatakuwa na ladha ile ile.?
Ladha hupotea kwa maharagwe, tunakulaga tu bora uyaweke bila kuunga na viungo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hebu ishi na zile ndizi mbichi.Unamenya unapitisha kisu katikat unaweka kwny mafuta.At the same time may be una Samaki mkavu kipande ni kumpasha tu.Kama una nyanya,vitunguu,tango,pilipili,parachichi unavikata chap then na ile ndizi fresh kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupika kila siku kunachosha fanya hivi kama una jokofu, wewe tenga siku upike vyakula tofauti tofauti kisha hifadhi kwenye jokofu, kazi yako inakua kuchota kidogo na kupasha kwenye Microwave tu.

Mtembelee Aroma of Zanzibar YouTube atakupa muongozo wa kupika vyakula mbali mbali mimi huyu ni mkombozi wangu.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Nimependa ulipoandika jokofu badala ya friji....[emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cabbage,Mshikaki 1,nyanya kubwa 1,kitunguu maji na mafuta.Kaanga vitunguu na nyanya,mimina Cabbage na mishikaki,koroga kidogo tia maji,dakika 10 tayari,pika Ugali kwenye gesi fasta mchana umepita...
kudadeki,nachukua hii..mpk mate yamenijaa
 
Chips...tabu kumenya viazi
Ndizi mzuzu za kukaanga + juice ...hazisumbui kumenya
Mchemsho wa ndizi na nyama... Hawa majirani zangu wanaita machalali ila tabu kumenya ndizi
Coffee/ Green tea zile za tea bags + mkate/cake


Simple way ni kula mgahawani kama unahisi tabu kuosha vyombo or process za upishi
migahawa sawa lkn nayo inachosha......Chips shughuli ntaenda vibandani,hayo mengine nafanya sana..shukrani
 
nunua nyama chemsha weka kweny friji kazi yako ina kua ni kuunga tu
ama uwe na soseji za kutosha kwenye friji yako hizi una weza ukawa una unga kweny tambi

uwe na trey ya mayai kienyeji ndani

uwe na tambi zile spaghet ama zile ndogo ndogo zenye ladha ya kuku kazi yako ni kuchemsha tu

una weza pia ukawa na viaz mviringo hiv una chemsha na kuunga na nyama una kula

weka dumu la maziwa fresh/mtind kweny frij

Sent using Xiaomi Redmi Note7 Pro
noted,ngoja nitafute jokofu sasa
 
Vyakula visivyo na mlolongo mrefu wa kuandaa na vyombo vichache sana vitumike...nimechoka ubwabwa(wa rice kuka)/tambi/ugali na nyama au mainiau mchemsho....vitu gani vingine huwa mnapika?asanteni
Fasta
IMG_20200515_124938_708.jpg


Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom