Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Duh hadi wewe unakulaga makande?Makande labda kwenye pressure cooker ila mkaa utakesha.
Ila makande ya kwenye mkaa matamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh hadi wewe unakulaga makande?Makande labda kwenye pressure cooker ila mkaa utakesha.
Ila makande ya kwenye mkaa matamu
NdiyoDuh hadi wewe unakulaga makande?
Maharage na nyama ni sawa ila nayo yanapotezaga taste yakikaa sana frijini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Dah! Hapa binamu kwa kweli hii ni push to startUgali na mayai..
Unapiga ugali, unapika mayai. Ugali unalia kwenye sufulia na mayai unachanganya umo umo.. Flampeni kwa mwezi inaoshwa mara moja sababu huwa haichafuki.
Unakuwa na kazi ya kuosha sufulia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ladha hupotea kwa maharagwe, tunakulaga tu bora uyaweke bila kuunga na viungoHahah kwahio mie mtoto wa uswahilini tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!?
Sawa kila mtu abaki na imani yake ila mie binafsi chakula kikilala frijini siinjoy kukila. Kama huamini pika maharage fresh kisha kula yakitoka jikoni tu usikie ladha yake kisha yalaze kwenye friji kesho yake uyapashe uone kama yatakuwa na ladha ile ile.?
Duu kisa kuosha vyombo tu! oa tu mkeo atakuwa anaosha hivyo vyomboUgali na mayai..
Unapiga ugali, unapika mayai. Ugali unalia kwenye sufulia na mayai unachanganya umo umo.. Flampeni kwa mwezi inaoshwa mara moja sababu huwa haichafuki.
Unakuwa na kazi ya kuosha sufulia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunasubiria awamu hii ipite....
Manina.hahahaUgali na mayai..
Unapiga ugali, unapika mayai. Ugali unalia kwenye sufulia na mayai unachanganya umo umo.. Flampeni kwa mwezi inaoshwa mara moja sababu huwa haichafuki.
Unakuwa na kazi ya kuosha sufulia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
NoodlesSuper ...
Tambi ndogo ndogo zipi? Unasemea zile za macaroni au
Mboga unapikia kwenye Frying Pan, ugali sufuria zile ngumuSalut nyng kwako mkuu umetisha [emoji23][emoji23] sema nn mkuu, hvyo vyombo uktumia ikifika mwaka 1 vitupe nunua vngne maana vtakuwa na hali mbaya sana plus kutoboka kabsa [emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimependa ulipoandika jokofu badala ya friji....[emoji3]Kupika kila siku kunachosha fanya hivi kama una jokofu, wewe tenga siku upike vyakula tofauti tofauti kisha hifadhi kwenye jokofu, kazi yako inakua kuchota kidogo na kupasha kwenye Microwave tu.
Mtembelee Aroma of Zanzibar YouTube atakupa muongozo wa kupika vyakula mbali mbali mimi huyu ni mkombozi wangu.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
kudadeki,nachukua hii..mpk mate yamenijaaCabbage,Mshikaki 1,nyanya kubwa 1,kitunguu maji na mafuta.Kaanga vitunguu na nyanya,mimina Cabbage na mishikaki,koroga kidogo tia maji,dakika 10 tayari,pika Ugali kwenye gesi fasta mchana umepita...
migahawa sawa lkn nayo inachosha......Chips shughuli ntaenda vibandani,hayo mengine nafanya sana..shukraniChips...tabu kumenya viazi
Ndizi mzuzu za kukaanga + juice ...hazisumbui kumenya
Mchemsho wa ndizi na nyama... Hawa majirani zangu wanaita machalali ila tabu kumenya ndizi
Coffee/ Green tea zile za tea bags + mkate/cake
Simple way ni kula mgahawani kama unahisi tabu kuosha vyombo or process za upishi
noted,ngoja nitafute jokofu sasanunua nyama chemsha weka kweny friji kazi yako ina kua ni kuunga tu
ama uwe na soseji za kutosha kwenye friji yako hizi una weza ukawa una unga kweny tambi
uwe na trey ya mayai kienyeji ndani
uwe na tambi zile spaghet ama zile ndogo ndogo zenye ladha ya kuku kazi yako ni kuchemsha tu
una weza pia ukawa na viaz mviringo hiv una chemsha na kuunga na nyama una kula
weka dumu la maziwa fresh/mtind kweny frij
Sent using Xiaomi Redmi Note7 Pro
ma.mae😀Ugali na mayai..
Unapiga ugali, unapika mayai. Ugali unalia kwenye sufulia na mayai unachanganya umo umo.. Flampeni kwa mwezi inaoshwa mara moja sababu huwa haichafuki.
Unakuwa na kazi ya kuosha sufulia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
FastaVyakula visivyo na mlolongo mrefu wa kuandaa na vyombo vichache sana vitumike...nimechoka ubwabwa(wa rice kuka)/tambi/ugali na nyama au mainiau mchemsho....vitu gani vingine huwa mnapika?asanteni