RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Hauko peke yako.Ahahaha kweli namuogopa hata sijui kwa nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hauko peke yako.Ahahaha kweli namuogopa hata sijui kwa nini
Sio kwa kujihami huko jamani hahahaAhahaha kweli namuogopa hata sijui kwa nini
Kumbe tupo wengi kiukweli huwa nakuogopa hata sijui kwa niniHauko peke yako.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Sio kwa kujihami huko jamani hahaha
Haha mtu anajihami hivyo jamani mweehHebu muulize huyu dada yako anacheka nini? Hivi una undugu na Sakayo ?
Yaani namwita tujadili mambo ya maendeleo anaanza kujihami nisimtongoze! Yaani hajanitendea haki kabisa.Haha mtu anajihami hivyo jamani mweeh
Nitakutoa woga.Kumbe tupo wengi kiukweli huwa nakuogopa hata sijui kwa nini
natafuta mume cc shunie[emoji124] [emoji124]Mi natamani nioe mdada wa humuhumu jamii forum
Hellow!
Rai yangu mwaka huu usiishe bila kuoa maana sisi ndugu zenu tuko tayari kuwachangia kwa chochote mnachohitaji ili kuepukana na huo ubachelor.
Wadada tunaendelea kuwaombea ili Mungu awasaidie mwaka huu usiishe Bure.
Tuko pamoja sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sikumbuki Chochote Ndugu Yangu
Naomba mchango wako nimempa ujauzito mwanafunzi anataka nimuoeHellow!
Rai yangu mwaka huu usiishe bila kuoa maana sisi ndugu zenu tuko tayari kuwachangia kwa chochote mnachohitaji ili kuepukana na huo ubachelor.
Wadada tunaendelea kuwaombea ili Mungu awasaidie mwaka huu usiishe Bure.
Tuko pamoja sana.
aiseee....inabidi tuyajenge vizuri @akhuty[emoji5]natafuta mume cc shunie[emoji124] [emoji124]
Bora hata uniite na mimi kwenye hayo majadiliano, nikiwepo atakuwa comfortable kidogo[emoji40] [emoji40]Yaani namwita tujadili mambo ya maendeleo anaanza kujihami nisimtongoze! Yaani hajanitendea haki kabisa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Bora hata uniite na mimi kwenye hayo majadiliano, nikiwepo atakuwa comfortable kidogo[emoji40] [emoji40]
Ahahhah ndio huyo ametoka kwa bwananatafuta mume cc shunie[emoji124] [emoji124]
Hapana Rrondo jamanUnampigia debe eeh..
Utanitoaje sasaNitakutoa woga.