mkonongo1938
JF-Expert Member
- Jan 22, 2016
- 1,990
- 2,398
Rabda awachague na wabunge wa Ukawa nao waingie kwenye baraza la mawaziri tofauti na hapo atapangua mpaka achoke maana chama kimekuwa chakavu na waliopo kwenye chama nao wamechoka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo Kwa Sangoma anapiga Manyanga akiombea apewe nafasi ya kitwanga.Hahahahaa mkuu kavurugwa huyo. Sasa afanye tena zile tabia zake za kumuuza dada yake apate japo ujira kidogo kumuwezesha kisiasa.
Natumaini makubwa na Dr Magufuli safari hii atanikumbuka.Wakuu wa Mikoa nilisahaulika kiduchu,Makatibu Tawala wa Mikoa nikakoswa koswa sasa ni zamu yangu Wizara ya Mambo ya Ndani nataimudu bila mbwembwe sitakunywa Konyagi wala Safari chonde chonde Dr usinisahau katika ufalme wako.
January ndiyo ilikuwa injini ya ushindi wa CCMYupo Kwa Sangoma anapiga Manyanga akiombea apewe nafasi ya kitwanga.
Hahahaha afanye kuhamia huko kabisa ili apate full dozeYupo Kwa Sangoma anapiga Manyanga akiombea apewe nafasi ya kitwanga.
Hilo haliwezi kutokea Tanzania hii ya Magufuli maana anajua akimwaga ugali January atamwaga mboga, maji ya kunawa, ya kunywa na kutupa sahani jalalani Huku akienda kumshitakia Kwa zile kamati za Ufundi toka Gambia na kwingineko Duniani , ni vigumu kumgusa January Makamba na Kama asingekuwa Mbunge Leo hii angekuwa kampa cheo cha katibu mkuu kiongozi au hata ugavana BOT, chezea January Wewe .....Magufuli akimpiga chini January ndiyo nitaamini jamaa ni mtu anayefanya anachoamini. Uthubutu huo hana. Jamaa anamuogopa January kuliko hata panya wanavyoogopa paka.
Cooking oil nayo ipo mbioni kupanda bei na kuadimika. Maisha magumu sana mkuu.Magufuli ateue waziri wa sukari tumechoka kununua sukari sh 6000 kilo moja.
Hata mimi nadhani, bado anafanya vizuri na sidhani kama katika mawaziri waliokosea unaweza kumuweka humo. Wizara ya afya ni mtambuka, huwezi kuona impact baada ya mda mfupi wa yeye kuwa waziri, lakini nadhani Ummy anajitahidi.Ummy Mwalimu tumpe muda,...
Magufuli akimpiga chini January ndiyo nitaamini jamaa ni mtu anayefanya anachoamini. Uthubutu huo hana. Jamaa anamuogopa January kuliko hata panya wanavyoogopa paka.
Muulize Agnes Marwa pengine atatuambia nini kitafuata juu yake .Nape kapona?! Nimekwazika sana
Hilo haliwezi kutokea Tanzania hii ya Magufuli maana anajua akimwaga ugali January atamwaga mboga, maji ya kunawa, ya kunywa na kutupa sahani jalalani Huku akienda kumshitakia Kwa zile kamati za Ufundi toka Gambia na kwingineko Duniani , ni vigumu kumgusa January Makamba na Kama asingekuwa Mbunge Leo hii angekuwa kampa cheo cha katibu mkuu kiongozi au hata ugavana BOT, chezea January Wewe .....
magufuli akimgusa Januaty Makamba Dunia nzima itashangaa !! Maana Hilo ndilo JIPU Sugu kwake.Endelea kujitekenya na kucheka mwenyewe.... Subiri muda hutaamini macho yako
Acheni kumvika kilemba cha ukoka January ,Kakatwa Lowasa na nchi imetulia ndio ije kuwa kwa huyu January ?Unaweza kumuona ana bahati mbaya,lakini ndiye mwenye siri ya ushindi wa CCM.Yeye ndiye aliyeratibu vitengo vyote vilivyotumika kumpa ushindi mukulu,wasipomuangalia kwa jicho la tatu anaweza kumwaga mboga na ugali wote wakakosa msosi.
Hahahahahaaa jf noma sanaKwani wewe umeoleww? Maana tangu Minyoo akuvalishe pete ya uchumba yapata miaka mitatu sasa